Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Mke wangu akiwa nami 'full kununa' ila tukiwa na rafiki zangu anatabasamu na kucheka sana

Hyo ndo tafsir halis ya hawa ndugu zetu..unafki wa kiwango cha juu

Huwa simuelew demu wangu inapotokea tuko wote halaf akutane na rafik yake ..yaan jinsi watakavyoanza sifiana hapo..mara hee una glow tu..unapendeza jaman..sasa ngoja huyo rafik yake aondoke..utaskia...mhhh..huyu nae ndo kunenepaje hvyo...au aisee mbona mtoto wa kike yuko rafu hiv skuhiz..huwa namwangalia nacheka..utamskia..

"Niiiin"..

Mi nabak kusema..hapana mkuu sio kitu..well mi na dem wangu tunaitana "mkuu"
Hawa viumbe hawapendani wenyewe kwa wenyewe. Pia wanakuwa na urafiki feki
 
Yaani iko hivi

Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu. Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake.

Yaani ni kucheka mwanzo mwisho. Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh.

Sasa wakuu hiki ni nini?

Imekaaje hii.

Alikutaka wewe uwe mume kwa sababu zake na zimeexpire, haoni nuru tena ya uvunaji tena au amekinai kwa sababu si rafiki yako wa kweli na wa kudumu maisha yenu, unless iwe ni seasonal mnapokuwa na ugomvi ndani otherwise huyo kashaona alibugi hana cha kupoteza
 
Kihekima siri za ndoa hazipaswi kutolewa nje/kujulikana ovyo ovyo bila sababu maalumu.

Kila mwana ndoa anapaswa kuficha siri za ndoa yake.

Hiki kitendo cha kununiana mkiwa pekee yenu halafu mnachangamkiana mkiwa public ni mojawapo ya mbinu ya kutunza siri za ndoa.
Good inahitaji kujua hutokea hali na nyakati zote au ni muhimu
 
Hataki kuonyesha wageni ananunaga.... so shukuru tuu Mungu hata kwa hilo.
 
Yaani iko hivi

Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu. Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake.

Yaani ni kucheka mwanzo mwisho. Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh.

Sasa wakuu hiki ni nini?

Imekaaje hii.

Kuna shida mahala, mkabili atakwambia kila kitu
 
Kihekima siri za ndoa hazipaswi kutolewa nje/kujulikana ovyo ovyo bila sababu maalumu.

Kila mwana ndoa anapaswa kuficha siri za ndoa yake.

Hiki kitendo cha kununiana mkiwa pekee yenu halafu mnachangamkiana mkiwa public ni mojawapo ya mbinu ya kutunza siri za ndoa.
Hakika kabisa, hapa umenena maneno ya hekima na busara.
 
Yaani iko hivi

Ukiwa na mke wako mkiwa wawili hacheki kabisa yaani full kununiana full ukauzu. Ila sasa wakiwepo washkaji na marafiki zako wa wa kazini au hata mtaani unakuta tabasamu halikauki usoni mwake.

Yaani ni kucheka mwanzo mwisho. Bashasha za hapa na pale hatari yaani hadi unaona aahh.

Sasa wakuu hiki ni nini?

Imekaaje hii.

Mke mzuri sana huyu, yaani anajuwa namna ya kuji-tune ili akuridhishe wewe na ujinga wako. Hivi ungejisikiaje wanakuja marafiki zako halafu mkeo anawachunia? Nakuambia nenda kwa mkeo sasa hivi ukamuombe msamaha haraka sana la sivyo nakuja kumchukua awe wangu.
 
Mku mzuri sana huyu, yaani anajuwa namna ya Fuji-tune ili akuridhishe wewe na ujinga wako. Hivi ungejisikiaje wanakuja marafiki zako halafu mkeo anawachunia? Nakuambia nenda kwa mkeo sasa hivi ukamuombe msamaha haraka sana la sivyo nakuja kumchukua awe wangu.
Wife anaficha siri ya ndani.
 
Ni hivi kawaida mkiwa mmepishana maneno hata kugombana mkiwa wenyewe hamuwezi kuonyesha mbele ya wageni au watu wa nje inabidi muwe kawaida ila wakiondoka mjadala unaendelea ni kwa manufaa ya mahusiano yenu ili mjadala huohuo usijirudie tena mbeleni.Usitegemee uvuruge halafu ipite kirahisi tu au isahaulike bila kusuluhishwa.

Kitu kingine inawezekana humchekeshi,hutaniani nae upo serious sana...(you are not fun to be around).Au hamna maongezi ambayo yanampa amusement yaani your boring.
Jaribu kuloosen up na kuwa huru na mkeo,mtekenye,mtanie,flirt with her ndio raha ya huba.

Hali hii imeanza lini?Au ipo siku zote kwenye mahusiano yenu?
 
Back
Top Bottom