Mke wangu amekosa choo kwa siku saba, nisaidieni

Mke wangu amekosa choo kwa siku saba, nisaidieni

Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
Inategemeana na chakula anachokula.Unajua hawa wanawake wengi sio walaji na wanabagua sana chakula. Inawezekana tu mfumo ukawa umebadilika tumboni.
 
Dar, grean ndo ipojee
Majani ya chai tu
1714855071667.jpeg
 
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
Tumbo kumuuma lazima mwambie ale ndizi mbivu au papai na maji kwa wingi
 
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
Kama kuna watu anaishi nao hapo wampeleke hospitali haraka sana kule watampatia laxative fasta tu atahara. Sisi kwenye mifugo tunatumia mild enema kwa kuwapiga bomba na kuwajaza hizo laxative fasta tu nguruwe au ng'ombe anahara! Naamini hata huko hospitali watampiga bomba! Hii asijaribu kunywa dawa za kuharisha akiwa home naona wadau wanashauri anywe Castor oil, hii anaweza kuzidisha kipimo akahara kama bata! Aende hospitali!
 
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
Mkuu hilo tatizo dogo, mwambie aende Duka la dawa anunue Dawa inaitwa Bisacodyl.

Ndani ya nusu saa tu atakupa majibu chanya
 
Back
Top Bottom