Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Maziwa fresh mabichi anywe ni fasta tu
Laba kijijini kwa wamasai na wasukuma Yaani jamii za wafugaji asili lakini haya mijini naona kunywa mabichi ni hatari maana wanachoma madawa makali hao ng’ombe