Mke wangu amekosa choo kwa siku saba, nisaidieni

Mke wangu amekosa choo kwa siku saba, nisaidieni

Duuh kwa experience yangu maximum ni siku 3 ila kama hio kitu ipomsiku akienda kushusha si atapata madhara, mzigo utakuwa kama jiwe?
Watu wanakaa hadi wiki mbili hajashusha mzigo umekataa kutoka. Akitaka kushusha anaumia kama anataka kupitisha kichwa cha mtoto. Sasa kuna dawa anapewa hapo zingine anachomeka chini (ni kidonge) nyingine anakunywa ya maji na ya vidonge. Hapo atasikilizia masaa akienda huko toilet atashusha mzigo mwingi balaa.
 
Mkuu mchemshie hayo majani hilo tatizo litaisha.
 

Attachments

  • Screenshot_20240505-160830_1714914561244.jpg
    Screenshot_20240505-160830_1714914561244.jpg
    271.6 KB · Views: 6
Juice ya ukwaju dakika mbili ti prapapapaoataa
 
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari
Nawewe unaamini kabisa, yupo mbali mlete karibu uthibitishe
 
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari


Nenda sokoni sasa hivi, nunua papai lililoiva, nunua 2, osha vizuri kabisaaa, katakata na maganda yake, mpe ale zima, atatoa kila kitu na tumbo litakuwa jeupee… Haya sema asante
 
yanachukua muda gani kuleta majibu?
Inategemea, ila si zaidi ya masaa 2..I can recall vijana wangu walipokuwa watoto wadogo hiyo shida ilikuwa inawasumbua Sana so kijiko kimoja unampatia kama dawa basi ni ndani ya masaa 2 tu anashusha mzigo wote kwa spidi kubwa.

Kwa kuongezea tu apunguze vyakula vya Ngano na maji yakutosha apate.
 
Mwambie anywe maziwa freshi nusu Lita at once then ale na papai kipande kidogo Tu.then nisubiri mrejesho
 
Habari za usiku huu wana JF, naomba msaada wa haraka, mimi na mke wangu tupo mbali kidogo, leo ameniambia hajapata choo kwa siku saba, nimechanganyikiwa hapa sijui nifanyeje na tumbo linamuuma hatari

Tafuta mbegu za mlonge kavu kwa pamoja 20, Kama karanga meza , ataharisha sana , na akiwa anaharisha maji , anywe maji ya baridi sana , Kuharisha kutakata

Au nipigie tutamfanyia diagnosis na kumpatia dawa ambazo ni natural medicine ( TCM )
IMG_2276.jpg
 
Kama ni intestinal obstruction na yupo vijijini huko mtamzika soon!

Hapo mahali utumbo umejifunga pataoza.

Kukosa choo kukiambatana na maumivu ya tumbo na kiuno siyo ya kukaa nayo unakula et mapapai.
Nilifanyiwa operesheni kukatwa utumbo. Kidogo knife!
 
Back
Top Bottom