Mke wangu amekosa hisia na mimi baada ya kuweka uzazi wa mpango

Mke wangu amekosa hisia na mimi baada ya kuweka uzazi wa mpango

Adam joseph

New Member
Joined
Aug 30, 2024
Posts
1
Reaction score
7
Mimi ni kijana nina miaka 24 tafadhari nina shida.

Naomba unisaidie maana Nina mke na mtoto mmoja toka mke wangu amejifungua kiufupi Sina furaha na maisha kabisa maana baada ya kujifungua tu tulikwenda hospitali na tukaweka uzazi wa mpango lakini baada ya hapo mke wangu amekosa hisia na Mimi kabisa maana imekuwa mpaka Sasa hatuwezi kushiriki vizuri maana hata nikihitaji kukutana nae yeye hana muda na mimi kulingana hata nikikutana nae haoneshi hata ile hali ya kuwa anahisi yupo na mimi.

Please nisaidieni
 
Miaka 24 uzazi wa mpango wa nini kwa mke wa mtu.

Huo ndio umri wake wa kuzaa bila shida.

Mwanamke aliyeolewa mapema anatakiwa afike miaka 30 akiwa ana watoto wasiopungua watatu. ( labda kama mwanaume hutaki watoto wengi ama kipato huna cha kulea )

Maana fertility age ya mwanamke ipo kwenye 20s.
 
1. Uzazi wa mpango wa vipandikizi ni janga. Tumieni njia za asili kama Calender na Rythmic.
2. Kwa kuwa mkeo ananyonyesha hawezi kuwa na hisia kama alivyokuwa awali kutokana na hormones za uzazi kujikita kwenye kuzalisha maziwa.
3. Hiki ni kipindi muhimu kwako kuvumilia na kumsaidia mwenzako ili mvuke salama. Ukijikoroga ukatafuta mchepuko ndoa itasambaratikia mbali kwa kuwa mkeo atakosa kabisa umuhimu.
 
Mimi ni kijana nina miaka 24 tafadhari nina shida.

Naomba unisaidie maana Nina mke na mtoto mmoja toka mke wangu amejifungua kiufupi Sina furaha na maisha kabisa maana baada ya kujifungua tu tulikwenda hospitali na tukaweka uzazi wa mpango lakini baada ya hapo mke wangu amekosa hisia na Mimi kabisa maana imekuwa mpaka Sasa hatuwezi kushiriki vizuri maana hata nikihitaji kukutana nae yeye hana muda na mimi kulingana hata nikikutana nae haoneshi hata ile hali ya kuwa anahisi yupo na mimi.

Please nisaidieni
Njia ya kuchomoa imekushinda?
 
Uzazi wa mpango mwaya ni mzuri napia unajenga future yenu na watoto mlionao ila hizi vijiti au sindano ni mbaya sana kwani mtu anapata hedhi na kuchelewa kushika mimba jaribuni kama mtapata mtu wakienyeji awasaidie kufunga kizazi mkitaka kupata watoto anafungua . Sijasema ulichukilie serious . Hata dawa mtu anakunywa tu anapata hamu ya tendo mnagongana hadi basi
 
Sioni faida ya kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa tena wanandoa

Mpige mkeo siku zote, hizo siku 7 huwezi kuvumilia? Kama ukishindwa kumwaga chini nayo ni tabu?🤔
Kumwaga chini sio kwa kila me, Aachie sisimizi tu zifaidi hizo siku saba za hatari
 
1. Uzazi wa mpango wa vipandikizi ni janga. Tumieni njia za asili kama Calender na Rythmic.
2. Kwa kuwa mkeo ananyonyesha hawezi kuwa na hisia kama alivyokuwa awali kutokana na hormones za uzazi kujikita kwenye kuzalisha maziwa.
3. Hiki ni kipindi muhimu kwako kuvumilia na kumsaidia mwenzako ili mvuke salama. Ukijikoroga ukatafuta mchepuko ndoa itasambaratikia mbali kwa kuwa mkeo atakosa kabisa umuhimu.
rythmic ni nn nieleweshe
 
Kijana, miaka 24 mshaanza uzazi wa mpango, punguzeni uzungu.. Na kama ukitaka hivyo tumia calendar tu, siku mbovu unaepuka kama unajiweza unakojolea nje.
msiongee kama ni rahisi hivyo, kumbukeni kulea mtoto mdogo na kubeba mimba nyingine unazua stress juu ya stress kwa mama, kwa nn amkatili mtoto kaamua kujikinga kusogeza mtoto akue, sasa kukojolea nje ni kitu ya kuringia kweli? unajua kama majimaji ya mwanzo hua na vimbegu mbegu ukajikuta shababi la kukojolea nje kumbe mwanzon tu mimba tayari? wanaume elimu ya uzazi mnatakiwa muijue ni lazima
 
Mimi ni kijana nina miaka 24 tafadhari nina shida.

Naomba unisaidie maana Nina mke na mtoto mmoja toka mke wangu amejifungua kiufupi Sina furaha na maisha kabisa maana baada ya kujifungua tu tulikwenda hospitali na tukaweka uzazi wa mpango lakini baada ya hapo mke wangu amekosa hisia na Mimi kabisa maana imekuwa mpaka Sasa hatuwezi kushiriki vizuri maana hata nikihitaji kukutana nae yeye hana muda na mimi kulingana hata nikikutana nae haoneshi hata ile hali ya kuwa anahisi yupo na mimi.

Please nisaidieni
Mmeweka uzazi wa mpango mkiwa wadogo sana, nini kilipelekea mkaenda huko?
 
mtoa mada, kama mnaona hiyo njia anayotumia inaleta hizo effects mnaweza kubadili sio lazima akae na hiyo hiyo zipo njia nyingi mbona?
 
Akionja dudu la nje tu umekwisha
Kwisha
Kwisha
Kwisha.
Ninadhani ashaikinai ndoa na huenda anagawa nje.
Kama issue ya uzazi wa mpango nunua chumvi ya mawe kila baada ya sex achukue jiwe moja aingize kunako. Haina maumivu wala madhara. Maku yake itaongezeka ladha na hisia atapata
 
Mmeweka uzazi wa mpango mkiwa wadogo sana, nini kilipelekea mkaenda huko?
sisi tukishangia leba mara ya kwanza mnajua viapo tunavyojiapiza? yani ushakwenda ushaujua uchungu ushaleta kiumbe halaf unasema nirudi tena kule hapana ndio fasta unajikinga kwanza angalau mtoto akue huyu itakua ameeka kijiti mkewe ndio kina hizi mambo
 
Back
Top Bottom