min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Unafikiri kumwaga nnje ni rahisi?Hakuna jambo jepesi!
Chagua kumwagia nje au mkeo uke uwe wa baridi plus libido kidogo
Choose your hard
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri kumwaga nnje ni rahisi?Hakuna jambo jepesi!
Chagua kumwagia nje au mkeo uke uwe wa baridi plus libido kidogo
Choose your hard
hii ni nzuri haina kichocheo wanasema, na mwanamke awe na mwanaume huyohuyo mimi hiki kilinishinda sababu baba chanja akila mzigo naskia husema wanakigusa sasa mambo ya kutekenywa na vikamba ya nnNdio kitanzi
Choose your hardUnafikiri kumwaga nnje ni rahisi?
Wanawake wasome hapa watumie njia nyingine sindano ni hatari haifai, ndoa zimekufa uzazi pia, waliotukia wakiwa mabinti wengi wamekosa watoto sababu ya sindano, wenye kutaka kuongeza nao imeshindikanayaani na hospital nyingi za govt hazipatikan ni vijiti, vitanzi (kwa hospital za rufaa) condom sindano wanachomea huko private au maduka ya dawa
kama wewe ni ke unachagua kumwaga nje kama kuzima taa utakuja utiwe mimba ujute,Hakuna jambo jepesi!
Chagua kumwagia nje au mkeo uke uwe wa baridi plus libido kidogo
Choose your hard
Baada ya muda hakisikii baba chanja nae atakuwa na gobole😅😅😅jamani mi bado asubuhihii ni nzuri haina kichocheo wanasema, na mwanamke awe na mwanaume huyohuyo mimi hiki kilinishinda sababu baba chanja akila mzigo naskia husema wanakigusa sasa mambo ya kutekenywa na vikamba ya nn
sana na watoto wengi wa kike anaona achome moja akae miezi mitatu hajulikani kumbe madhara ni makubwa na sio kila dokta atakwambia madhara na faida wachache mno huwa waziWanawake wasome hapa watumie njia nyingine sindano ni hatari haifai, ndoa zimekufa uzazi pia, waliotukia wakiwa mabinti wengi wamekosa watoto sababu ya sindano, wenye kutaka kuongeza nao imeshindikana
nna shost yangu hii njia amedumu nayo miaka mitano na aliwwka cha miaka kumi katoa juz anasema amechoka mumewe anakigusaBaada ya muda hakisikii baba chanja nae atakuwa na gobole😅😅😅jamani mi bado asubuhi
Tatizo wabishi akili fupi, na ile urahisi wa kutega mkono wakachomwa, wanaume wenyewe hawa!! 😅😅😅 wao hawatumii hayo mavitu unachoma mstareheke starehe yenyewe hamuili, ukikosa mtoto ndo akuonyeshe rangi zote!sana na watoto wengi wa kike anaona achome moja akae miezi mitatu hajulikani kumbe madhara ni makubwa na sio kila dokta atakwambia madhara na faida wachache mno huwa wazi
Mnaoiweza hongereni mi siiamini baada ya kunipiga tukio matata sanaWithdrawal ndio njia bora ya uzazi, bahati mbaya sio me wote wanaiweza.
yaani ni mtihani kwa kweliTatizo wabishi akili fupi, na ile urahisi wa kutega mkono wakachomwa, wanaume wenyewe hawa!! 😅😅😅 wao hawatumii hayo mavitu unachoma mstareheke starehe yenyewe hamuili, ukikosa mtoto ndo akuonyeshe rangi zote!
Ukamleta junia bila kutaka🤣🤣, hapo mwenye changamoto ni Me, sio wote wanaweza. Nina 10+yrs na nashukuru sijawahi kuvurunda.Mnaoiweza hongereni mi siiamini baada ya kunipiga tukio matata sana
Wana magobole au wanakamia sana nisijue sasa kwanini hivyo mi kilikaa miaka takribani 7 nilikitoa kwa maamuzi(nilijipa likizo fupi ya manyamu manyamu) sio kwa kukerwanna shost yangu hii njia amedumu nayo miaka mitano na aliwwka cha miaka kumi katoa juz anasema amechoka mumewe anakigusa
It's so hard .Mnaoiweza hongereni mi siiamini baada ya kunipiga tukio matata sana
Aisee hongera, umekomaa kuweza kuhandle hiyo namna, kilinipata kitu kizito sana🤣wengine bado tuna roho ndogo kufanya abortion hatuwezi, kuna dogo juzi kimempata akaichomoa chap tu kama yupo kwenye menstrual, nilisikitika na nilimuona kumbe ni gaidi kuliko mimi naeonekana gaidiUkamleta junia bila kutaka🤣🤣, hapo mwenye changamoto ni Me, sio wote wanaweza. Nina 10+yrs na nashukuru sijawahi kuvurunda.
Kipi bora, kulea mtoto asiye wako au kuletewa maradhi ya kudumu ndani?
Uzazi wa mpango ni mbinu za umalaya uliopo ndani ya ndoa.
Mkuu mimi nimeshindwa kabisa kumwagia nje 😂😂😂🤣 yaani nikikalibia mshindo akili inakua haipo kabisaKumwaga nje mnavyoisema utafikiri ni jambo jepesi tu