Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa asee😁😁Sasa sio wanaume wote wanajua kuangalia ute huo
Ebu wape somo wasikae kizembe☺️
ubaya hizi njia zinatofautiana kati ya mtu na mtu, mwengine hazimsumbui mwengine zinamsumbua ni kisanga kucheza kwa akili kunywa majivu mamaDuh! Sasa njia ipi ya kisasa yenye afadhali?
Sababu ile kitanzi wengine wanasema hawapokei mshahara matumbo yanawauma
Labda kiliwekwa vibaya ila kuna wanawake km 4 walikiri kinaongeza masapta sapta mi mwenyewe niliwekaga kipindi flani weeeeeee ni moutooDuh! Sasa njia ipi ya kisasa yenye afadhali?
Sababu ile kitanzi wengine wanasema hawapokei mshahara matumbo yanawauma
Aaah! Nilisahau wewe ni mchaga☺️Pesa asee😁😁
Duh! Kuna kunywa majivu🙄ubaya hizi njia zinatofautiana kati ya mtu na mtu, mwengine hazimsumbui mwengine zinamsumbua ni kisanga kucheza kwa akili kunywa majivu mama
You are welcome my dear😂😂😂My dikshenari imekua updated .. my pleasure Mwenyekiti.
na sijawah kutumia sindano kutokana nasakia zinakausha vyote nyege na uzazi, ila hizi njia hatuna namna sie tusioweza kunywa majivu n mwendo wa kujisweka tu vidude kuliko kupata mimba isiyokua na mipangoYeah ukimkuta dokta anaejua kazi yake anakataa kabisa hata mie alinikatalia na hakuwa ananijua basi alishukiwa roho ya huruma maana wengine alikuwa anawadunga ila kwangu alikataa,
hujui? na inafanya kaz perfectDuh! Kuna kunywa majivu🙄
Tumia kalenda yake Kisha achana na uzazi wa mpangoMimi ni kijana nina miaka 24 tafadhari nina shida.
Naomba unisaidie maana Nina mke na mtoto mmoja toka mke wangu amejifungua kiufupi Sina furaha na maisha kabisa maana baada ya kujifungua tu tulikwenda hospitali na tukaweka uzazi wa mpango lakini baada ya hapo mke wangu amekosa hisia na Mimi kabisa maana imekuwa mpaka Sasa hatuwezi kushiriki vizuri maana hata nikihitaji kukutana nae yeye hana muda na mimi kulingana hata nikikutana nae haoneshi hata ile hali ya kuwa anahisi yupo na mimi.
Please nisaidieni
Sindano ipigwe marufuku ila huyu maza si hataki pipo wazae hawaezi kuizuia ila ni mbaya sanana sijawah kutumia sindano kutokana nasakia zinakausha vyote nyege na uzazi, ila hizi njia hatuna namna sie tusioweza kunywa majivu n mwendo wa kujisweka tu vidude kuliko kupata mimba isiyokua na mipango
Pia kuna njia nyingne ya kupima joto la uke ,Basal body temperature ( BBT) unakua na hicho kipimo mda woteAaah! Nilisahau wewe ni mchaga☺️
kitanzi? au njia ganiLabda kiliwekwa vibaya ila kuna wanawake km 4 walikiri kinaongeza masapta sapta mi mwenyewe niliwekaga kipindi flani weeeeeee ni moutoo
Nitamleta shemeji yako umfundishe hiyo ya utePia kuna njia nyingne ya kupima joto la uke ,Basal body temperature ( BBT) unakua na hicho kipimo mda wote
yaani na hospital nyingi za govt hazipatikan ni vijiti, vitanzi (kwa hospital za rufaa) condom sindano wanachomea huko private au maduka ya dawaSindano ipigwe marufuku ila huyu maza si hataki pipo wazae hawaezi kuizuia ila ni mbaya sana
Hivi hii movement iko serious kabisaa..tuseme mara ngapi ndio mtaelewa
KATAA KABISA NI UTAPELI
JOBTRUTRUE/kiaaaaaaazi kweli kweli
kalenda ni very complicated, akibadili tu mazingira mambo yashaharibika trust me hii njia wengi imewasalitiTumia kalenda yake Kisha achana na uzazi wa mpango
Hiyo ya ute inapaswa mwanamke na mwanaume wote waijue kwa pamoja , nitakutumia kitabu chake cha kiswahili ,najua kingereza kitakusumbua😁😁😁Nitamleta shemeji yako umfundishe hiyo ya ute
Ndio kitanzikitanzi? au njia gani
Asante kwa kunitukana🙄,najua kingereza kitakusumbu😁😁😁