Mke wangu amekosa hisia na mimi baada ya kuweka uzazi wa mpango

Mke wangu amekosa hisia na mimi baada ya kuweka uzazi wa mpango

Duh! Sasa njia ipi ya kisasa yenye afadhali?
Sababu ile kitanzi wengine wanasema hawapokei mshahara matumbo yanawauma
ubaya hizi njia zinatofautiana kati ya mtu na mtu, mwengine hazimsumbui mwengine zinamsumbua ni kisanga kucheza kwa akili kunywa majivu mama
 
Duh! Sasa njia ipi ya kisasa yenye afadhali?
Sababu ile kitanzi wengine wanasema hawapokei mshahara matumbo yanawauma
Labda kiliwekwa vibaya ila kuna wanawake km 4 walikiri kinaongeza masapta sapta mi mwenyewe niliwekaga kipindi flani weeeeeee ni moutoo
 
Yeah ukimkuta dokta anaejua kazi yake anakataa kabisa hata mie alinikatalia na hakuwa ananijua basi alishukiwa roho ya huruma maana wengine alikuwa anawadunga ila kwangu alikataa,
na sijawah kutumia sindano kutokana nasakia zinakausha vyote nyege na uzazi, ila hizi njia hatuna namna sie tusioweza kunywa majivu n mwendo wa kujisweka tu vidude kuliko kupata mimba isiyokua na mipango
 
Mimi ni kijana nina miaka 24 tafadhari nina shida.

Naomba unisaidie maana Nina mke na mtoto mmoja toka mke wangu amejifungua kiufupi Sina furaha na maisha kabisa maana baada ya kujifungua tu tulikwenda hospitali na tukaweka uzazi wa mpango lakini baada ya hapo mke wangu amekosa hisia na Mimi kabisa maana imekuwa mpaka Sasa hatuwezi kushiriki vizuri maana hata nikihitaji kukutana nae yeye hana muda na mimi kulingana hata nikikutana nae haoneshi hata ile hali ya kuwa anahisi yupo na mimi.

Please nisaidieni
Tumia kalenda yake Kisha achana na uzazi wa mpango
 
na sijawah kutumia sindano kutokana nasakia zinakausha vyote nyege na uzazi, ila hizi njia hatuna namna sie tusioweza kunywa majivu n mwendo wa kujisweka tu vidude kuliko kupata mimba isiyokua na mipango
Sindano ipigwe marufuku ila huyu maza si hataki pipo wazae hawaezi kuizuia ila ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom