Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
hana hisia dudu la nje la kazi gan? la ndani limemshinda lannje ataliwezaAkionja dudu la nje tu umekwisha
Kwisha
Kwisha
Kwisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hana hisia dudu la nje la kazi gan? la ndani limemshinda lannje ataliwezaAkionja dudu la nje tu umekwisha
Kwisha
Kwisha
Kwisha.
Kumwaga nje mnavyoisema utafikiri ni jambo jepesi tuSioni faida ya kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa tena wanandoa
Mpige mkeo siku zote, hizo siku 7 huwezi kuvumilia? Kama ukishindwa kumwaga chini nayo ni tabu?🤔
😂😂 Mmh umejifunza wea?Sioni faida ya kutumia njia za uzazi wa mpango za kisasa tena wanandoa
Mpige mkeo siku zote, hizo siku 7 huwezi kuvumilia? Kama ukishindwa kumwaga chini nayo ni tabu?🤔
Hakuna jambo jepesi!Kumwaga nje mnavyoisema utafikiri ni jambo jepesi tu
I was there na mke wangu wakati huo. So i understand yet haikuwa mara ya mwisho, yes naelewa kuna changamoto sasa kazi ni yake yeye na mke wake waongee… ndoa ni team worksisi tukishangia leba mara ya kwanza mnajua viapo tunavyojiapiza? yani ushakwenda ushaujua uchungu ushaleta kiumbe halaf unasema nirudi tena kule hapana ndio fasta unajikinga kwanza angalau mtoto akue huyu itakua ameeka kijiti mkewe ndio kina hizi mambo
Na sindano ni mchonganishi sana vinakata genye zote mwilinisisi tukishangia leba mara ya kwanza mnajua viapo tunavyojiapiza? yani ushakwenda ushaujua uchungu ushaleta kiumbe halaf unasema nirudi tena kule hapana ndio fasta unajikinga kwanza angalau mtoto akue huyu itakua ameeka kijiti mkewe ndio kina hizi mambo
Kwa hapa umekurupuka na kampeni yenu iliyoisha nguvu ya kataa ndoa. Sasa hapa kosa la ndoa ni lipi hadi ushupaze shingo kuwa kataa ndoa na ndoa ni utapeli?tuseme mara ngapi ndio mtaelewa
KATAA KABISA NI UTAPELI
JOBTRUTRUE/kiaaaaaaazi kweli kweli
of course, wanatakiwa either akabadili njia hiyo na waangalie namna nyingine ya kujikinga na ujauzito usiotarajiwaI was there na mke wangu wakati huo. So i understand yet haikuwa mara ya mwisho, yes naelewa kuna changamoto sasa kazi ni yake yeye na mke wake waongee… ndoa ni team work
mimi sindano nilishauriwa na dokta nisitumie kama nahitaji uzazi na uzima wa ndoa yanguNa sindano ni mchonganishi sana vinakata genye zote mwilini
Ushauri wa mtu mlozi na wa aliyepagawa na mapepo huu. Inasikitisha kwa aina hii ya vijana wasio na faida ndani ya nchi yetu.Akionja dudu la nje tu umekwisha
Kwisha
Kwisha
Kwisha.
Ninadhani ashaikinai ndoa na huenda anagawa nje.
Kama issue ya uzazi wa mpango nunua chumvi ya mawe kila baada ya sex achukue jiwe moja aingize kunako. Haina maumivu wala madhara. Maku yake itaongezeka ladha na hisia atapata
Duh! Sasa njia ipi ya kisasa yenye afadhali?Na sindano ni mchonganishi sana vinakata genye zote mwilini
Sasa sio wanaume wote wanajua kuangalia ute huoHuwa njia ya uzazi wa mpango salama ninayo pendekezaga ni billings ovulation methods, ya kutazama ute wa uzazi.
Yeah ukimkuta dokta anaejua kazi yake anakataa kabisa hata mie alinikatalia na hakuwa ananijua basi alishukiwa roho ya huruma maana wengine alikuwa anawadunga ila kwangu alikataa,mimi sindano nilishauriwa na dokta nisitumie kama nahitaji uzazi na uzima wa ndoa yangu
😂😂😂My dikshenari imekua updated .. my pleasure Mwenyekiti.kitombwimbwi