Dah. Pole sana jamaa ila uzazi wa mpango ni janga nitatoa shuhuda chache.
1. Mwaka 2012 nilikuwa na pisi yangu kali kweli tako la kuombea mkopo kwa kuwa alikuwa hajawa tayar kupata mtoto akaweka kijiti kilichotokea ni tako kunywea na gumbo kuwa kubwa kama ana kitambi cha kiribatumbo na harufu mbaya kutoka puani 24hrs
2. Mshkaji wangu mkewe baada ya kujifungua akachoma sindano matokeo yake mke kubridi miezi miwili mfulizo na kufunga miezi sita bila kubrid matokeo yake akafanyiwa oparation kwan aligundulika na uvimbe tumbon.
3. Shemeji angu kila uzazi alotumia mara kichwa kuuma mwezi mzima mara kutapika mara kuhara lakn kimbembe akawa akibridi ni tone tu ndio hutoka mwisho wa siku nae uvimbe na kikampelekea kutolewa kizazi
4. Mwaka 2019 kuna binti alikuwa mfanyakazi wa kiwanda x cha nguo pale morogoro tulimzika kwa sababu ya uzazi wa mpango. Kwa ilivyoelezwa ni kwamba aliweka kijiti na mwisho wa siku kijiti kikatoka mkononi ikawa inatembea mwili mzima HAPA WATAALAM WATATUAMBIA KAMA INAWEZEKANA.
LAKINI NAMANI EE! kama mtu hajui kalenda na hawezi kutumia salama condom acha atumie uzazi.
maana nna jamaa angu hapa eti anatumia njia ya kienyeji kuwa akimaliza jigijigi anakunywa majivu au mafuta ya nyonyo😀😀😀 kilichompata ana watoto 5 wamepishana mwaka moja moja.