Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Mke wangu amekubali nimuadhibu viboko vitano ili yaishe

Anaishi na mwanamke tapeli na mwenye amekiri zaidi ya mara moja kuwa mwanamke muongo muongo sana!
Jamaa mpuuzi sanaaa, nimdharau mamaee

Au anadhan akiwa hivo ndo anakua MWANAUME MWEMA

BOYAA

Sijapata kuona tokea nmezaliwa hahahaahaha

Utadhan yeye ndo anatunzwa


Yaan Pesa yako..nyumba yako,.maisha yako..watoto wako...katokee kajitu kakupe shida Kisa tumbo lake lilitumika kumbeba mtoto wako????


Sindo hawahawa wanaotoa mimba kila kukicha ????


Mamaeeeeeee .
 
Ye anahisi maziwa yanapiga super glue kule chini
Hahahaha boya sana mkuu.


Mimi kuna Manzi nilimtongoza kimasihara anamtoto wa.miezii minne,

Kwa ufupi niliamua kumwonea huruma mtoto .


Sasa wake mwaka nanusu??? Anatiwa vibayaaa

Maana mtoto anaachwa kwa DADA MTU .
 
Hilo wazo lakua na bwana wake bado halijaniingia kwasababu hi kipi kilimuzuia kumleta bwana ake nyumbani? wakati iko peke yake nyumbani na kuna uhuru na ulinzi wakutosha, pamoja na hayo huyu mwanamke akili zake nazijua sio za kufuata bwana 'libido' yake iko low sanaa pia simu yake na imonitor bila yeye kujua hamna kitu kama mahusiano naona ni ujinga na makuzi ma mambovu kutoka kwa wazazi wake.
Libido yake iko low kwa kila mtu au iko low kwako tu? Hizi libido kuna sehemu zinakuwa low kuna sehemu zinakuwa high, yaani chapalachapalachapala! acha kuisemea libido ya mkeo. Kwanini uko naive hivyo?

Halafu hilo la kuogopa nalo ni jipya, Mwanamke anapaogopaje kwake? acheni maisha ya bongo movie nyie. Huyu ndiye anayetegemewa kulea hao watoto na wawe watu bora na majasiri?
 
Jamaa mpuuzi sanaaa, nimdharau mamaee

Au anadhan akiwa hivo ndo anakua MWANAUME MWEMA

BOYAA

Sijapata kuona tokea nmezaliwa hahahaahaha

Utadhan yeye ndo anatunzwa


Yaan Pesa yako..nyumba yako,.maisha yako..watoto wako...katokee kajitu kakupe shida Kisa tumbo lake lilitumika kumbeba mtoto wako????


Sindo hawahawa wanaotoa mimba kila kukicha ????


Mamaeeeeeee .
Hahahahah jamaa level ya uboya wake ni SGR! Mwanamke anahitaji dakika 5 tu kukusaliti! Yani anainamishwa hata uwani kwako anapigwa tako tatu anakuwa kamezeshwa manii!

Masiku yote hayo ambayo hakuwepo around home! Yeye anaamini mwanamke ametoka siku hio tu ambayo alikuwa ndio anakuja asijue kwamba huenda jamaa aliamua kuchakata cha mwisho mwisho maana anajua mume akirudi atambana hawara wake!
 
Hahahaha boya sana mkuu.


Mimi kuna Manzi nilimtongoza kimasihara anamtoto wa.miezii minne,

Kwa ufupi niliamua kumwonea huruma mtoto .


Sasa wake mwaka nanusu??? Anatiwa vibayaaa

Maana mtoto anaachwa kwa DADA MTU .
Eeh mtoto anaachwa kwa dada na lao moja ina maana anapigwa sound na kuliwa mzigo kwa kwenda mberee!!!
 
Libido yake iko low kwa kila mtu au iko low kwako tu? Hizi libido kuna sehemu zinakuwa low kuna sehemu zinakuwa high, yaani chapalachapalachapala! acha kuisemea libido ya mkeo. Kwanini uko naive hivyo?

Halafu hilo la kuogopa nalo ni jipya, Mwanamke anapaogopaje kwake? acheni maisha ya bongo movie nyie.
He he he inawezekana hajui kuipandisha libido isijekuwa ile zima taa tulale! Wakati kuna mtu akikushika mizuka yote inapanda!
 
Hahahahah jamaa level ya uboya wake ni SGR! Mwanamke anahitaji dakika 5 tu kukusaliti! Yani anainamishwa hata uwani kwako anapigwa tako tatu anakuwa kamezeshwa manii!

Masiku yote hayo ambayo hakuwepo around home! Yeye anaamini mwanamke ametoka siku hio tu ambayo alikuwa ndio anakuja asijue kwamba huenda jamaa aliamua kuchakata cha mwisho mwisho maana anajua mume akirudi atambana hawara wake!
JAMAA LIMENIPA HASIRA SANA ,SIO KWA HUI UDHAIFU NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA ANAOFANYIWA.


[emoji117][emoji117]NI.HIVI, KIUMBE ANAYEITWA MWANAMKE NI.LAZIMA YAAAN NILAZIMA YAAN NILAZIMA, NARUDIA NI LAZIMAAAAAAAAAAAAA
[emoji117]AKUTIII
[emoji117]AKUHESHIMU
[emoji117]ASIKUVURUGE KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE.

HILO NI LAZIMA SIO OMBI

NAHAPO HAIJALISHI HUYO.MWANAMKE ANA
[emoji117]ELIMU
[emoji117]KAZI
[emoji117]UCHUMI WAKE.


YAAAN NI MARA MIA, URUHUSU ASEPEEE ZAKE NA ELIMU YAKE, NAKAZI YAKE NA UCHUMI WAKE, LAKINI SIO AKIUKE MISINGI HIYO MITATU.

YAAN MWANAUME
[emoji117]UNA ELIM
[emoji117]UNA KAZI
[emoji117]UNA BISHARA
[emoji117]UNA PESA
[emoji117]WEWE NI HB NA MWONEKANO SAFI
[emoji117]UNA MBEGU ZENYE UWEZO WA KUTUNGISHA MIMBA.


ALAFU ATOKEE KIUMBE MWANAMKE ETI AKULETEE UJINGA, KISA TU NI MREMBO WA UMBO?? ANAKAZI?? ANAELIM?? ANA PESA???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


NITAKUA WA MWISHO KUUKUBALI HUU UJINGA.
 
Hahahahah jamaa level ya uboya wake ni SGR! Mwanamke anahitaji dakika 5 tu kukusaliti! Yani anainamishwa hata uwani kwako anapigwa tako tatu anakuwa kamezeshwa manii!

Masiku yote hayo ambayo hakuwepo around home! Yeye anaamini mwanamke ametoka siku hio tu ambayo alikuwa ndio anakuja asijue kwamba huenda jamaa aliamua kuchakata cha mwisho mwisho maana anajua mume akirudi atambana hawara wake!
Tena hiyo siku walokutana kuongea, angempima OIL.., K ilikua inashahawa nyingi mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
JAMAA LIMENIPA HASIRA SANA ,SIO KWA HUI UDHAIFU NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA ANAOFANYIWA.


[emoji117][emoji117]NI.HIVI, KIUMBE ANAYEITWA MWANAMKE NI.LAZIMA YAAAN NILAZIMA YAAN NILAZIMA, NARUDIA NI LAZIMAAAAAAAAAAAAA
[emoji117]AKUTIII
[emoji117]AKUHESHIMU
[emoji117]ASIKUVURUGE KWA NAMNA MOJA AU NYINGINE.

HILO NI LAZIMA SIO OMBI

NAHAPO HAIJALISHI HUYO.MWANAMKE ANA
[emoji117]ELIMU
[emoji117]KAZI
[emoji117]UCHUMI WAKE.


YAAAN NI MARA MIA, URUHUSU ASEPEEE ZAKE NA ELIMU YAKE, NAKAZI YAKE NA UCHUMI WAKE, LAKINI SIO AKIUKE MISINGI HIYO MITATU.

YAAN MWANAUME
[emoji117]UNA ELIM
[emoji117]UNA KAZI
[emoji117]UNA BISHARA
[emoji117]UNA PESA
[emoji117]WEWE NI HB NA MWONEKANO SAFI
[emoji117]UNA MBEGU ZENYE UWEZO WA KUTUNGISHA MIMBA.


ALAFU ATOKEE KIUMBE MWANAMKE ETI AKULETEE UJINGA, KISA TU NI MREMBO WA UMBO?? ANAKAZI?? ANAELIM?? ANA PESA???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


NITAKUA WA MWISHO KUUKUBALI HUU UJINGA.
Hats off bro!!! Hamna kitu umebakisha! Hawa mabwege wanaozingatia usawa wa kijinsia ndio wanafeli big time
 
Nilivyosafari kuenda kwenye shughuli zangu za biashara takriban mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu hayupo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa huko na nyumbani hamna mtu yeyote kuna giza kote, nikakagua nyumba yote na Kigari changu nikaona vyote viko salama nikamshukuru Mungu kwa hilo, nilienda kwa majirani labda wana taarifa yoyote kawachia na yuko wapi wakaniambia huyu hayupo nyumbani karibia mwezi na wiki niliduwaa

Nikampiga simu yake, mbona haupo nyumbani uko wapi? kaniambia iko kwa Dada yake Kinondoni nikamuomba anipe funguo wa nyumbani nipate kuingia na kupumzika, ka nialekeze nije nimsubirie kwenye kituo fulani nikaenda faster usiku huo nilivofika nikampigia simu takriban dakika 10 Dada mtu kajitokeza na funguo akanipa sikumsemesha kitu nikaondoka zangu mpaka nyumbani nikaingia ndani nikaona kila kitu kipo sawa ila kuna dalili za kuwa nyumba imekaa zaidi ya mwezi bila watu.

Sikumpigia simu tena kwasababu nilikuwa na hasira za kufa mtu nikajipa time nitulie kwanza, ila nilikua najiuliza huyu mwanamke nimfanye nini, kumtimua sio rahisi kwasababu ana kitoto changu kichanga mwaka moja na nusu kina nyonya, kwao hakuna mazingira mazuri kulea mtoto japo wanaishi Town ila mama aliekuwa nguzo ya familia alishafariki, Baba yake kashastaafu maisha yao kwa jumla sio, hawana uhakika wa kula milo mitatu, nyumba yao niya urithi tena wako zaidi ya watoto nane.

Mimi niko 38 na mke wangu iko 34 kumuacha manaake ni wakika wa kulea watoto wangu wawili utakua mgumu lakini kwasababu kipato chao ni duni sanaa, huyu mwanamke kanifanyia visa vingi kwanza ni muongo sana alishawahi kunificha kifo cha Mama yake kashaniongopea mambo mengi lakini kwasababu hayana madhara ya moja kwa moja na ya puuzia tu, nilifikia maamuzi mtoto wetu wa std 4 kumpeleke shule ya bweni sio kwamba nilipenda hapana kumuepusha kuiga tabia mbaya za mama ake.

Niseme tu mimi sina bahati katika kupata mke sahihi, kwasababu kabla ya huyu nilikua kuna Dada moja tume date nae takribani miaka 4 tukabahatika na kupata mtoto kilicho kuwa kimebakia nikuenda ku kujitamblisha kwao tu, ila yule demu hapana, alikuwa anasafiri almost kila weekend yani yeye na safari za kuenda makwao, aruhusi, mauleedi Dua, yalikua too much paka makonda wa ma busi ya kuenda Tanga wakaanza kumjua alikua anajua mabus yote ya route iyo duh nikaona huyu anifae kabisa nikampiga chini.....sasa this time nikashirikisha wazee wangu wanitafutie mke serious kwa kweli wazee hawakuchelewa wakaniambia tayari njoo muonane nikaenda nikaridhia na nikafanya utaratibu wa kumchukua, nilikaa nae kama mienzi mitatu duh nikaja kumkuta kumbe anakula mirungi (veve) nilichoka nikaona sina namna(mke wakutafutiwa ni shida). ndo nikaja kumpata huyu, ila nimemchoka vituko vyake ila sina la kufanya, pesa yangu elimu yangu havinisaidie kwasasa isipo kuwa uvumilivu tu.

Leo kama saa nane huyu bibie (mke) kanipigia simu kuniuliza hatima yake.....nikamwambia mie siwezi kuongea hi issue kwenye simu pata sehemu tuongea ana kwa ana akanielekeza pa kumkuta tuyaongee, nikaendesha ki (baby walker) changu paka pale, nilivofika akaanza kuwa mkali najifanya kuleta mambo ya nyuma nikawa kimya kwasabb alilenga kuniondoa kwenye mada, tu nikamuuliza anataka lipi kajibu kurudi nyumbani kwanini ulipacha eti ana paogopa duh nikamuuliza sasa ukurudi unaenda kukaa nani kwasababu baada ya wiki moja naenda kusafiri tena utapakimbia? Akasema hapana eti hatarudia. Ila huyu mama muongo mambo mengi anaapa ila anayarudia tu.

To cut the story short nilimpa option tatu achague moja. Kum -suspend kwa miezi mitatu akiwa kwao au aombe talaka au nimpige viboko vitano. Kaamua nimchape viboko vitano yaishe. ila personally am not a violent man na sijawahi kuchapa mke yeyote hili jambo lime nipa wakati mgumu sanaa, namimi sitaki unafiki nataka nafsi yangu iridhike, akifanya adhabu yangu yoyote.

Wakuu ndo nimemfikisha home sina hata 30minutes sijui ndo nimchape au kuna adhabu nyingine zaidi ya hiyo mnishauri, ila kumbukeni huyu mwana mke ni msumbufu sanaa muonģo ila sijawahi kupata ushahidi wowote wa uzinzi kwake. Naomba ushauri na uzoefu wenu ahsanteni.
Kiufupi mwanamke akienda kwao au kwa ndunguze hua anaenda pia kukutana mabwana zake wa zamani na hata wapya,kumrudisha nyumbani ni kufuga nyoka ukizani anajutia makosa na kumbe anakuona mjinga,anaweza toa hata machozi lakini ni chenga la macho,usimuamini hata kidogo utakuja kulia
 
Nilivyosafari kuenda kwenye shughuli zangu za biashara takriban mwezi moja na nusu, jana nilirudi nikakuta mke wangu hayupo kasafiri na kuenda kwa Dada yake kukaa huko na nyumbani hamna mtu yeyote kuna giza kote, nikakagua nyumba yote na Kigari changu nikaona vyote viko salama nikamshukuru Mungu kwa hilo, nilienda kwa majirani labda wana taarifa yoyote kawachia na yuko wapi wakaniambia huyu hayupo nyumbani karibia mwezi na wiki niliduwaa

Nikampiga simu yake, mbona haupo nyumbani uko wapi? kaniambia iko kwa Dada yake Kinondoni nikamuomba anipe funguo wa nyumbani nipate kuingia na kupumzika, ka nialekeze nije nimsubirie kwenye kituo fulani nikaenda faster usiku huo nilivofika nikampigia simu takriban dakika 10 Dada mtu kajitokeza na funguo akanipa sikumsemesha kitu nikaondoka zangu mpaka nyumbani nikaingia ndani nikaona kila kitu kipo sawa ila kuna dalili za kuwa nyumba imekaa zaidi ya mwezi bila watu.

Sikumpigia simu tena kwasababu nilikuwa na hasira za kufa mtu nikajipa time nitulie kwanza, ila nilikua najiuliza huyu mwanamke nimfanye nini, kumtimua sio rahisi kwasababu ana kitoto changu kichanga mwaka moja na nusu kina nyonya, kwao hakuna mazingira mazuri kulea mtoto japo wanaishi Town ila mama aliekuwa nguzo ya familia alishafariki, Baba yake kashastaafu maisha yao kwa jumla sio, hawana uhakika wa kula milo mitatu, nyumba yao niya urithi tena wako zaidi ya watoto nane.

Mimi niko 38 na mke wangu iko 34 kumuacha manaake ni wakika wa kulea watoto wangu wawili utakua mgumu lakini kwasababu kipato chao ni duni sanaa, huyu mwanamke kanifanyia visa vingi kwanza ni muongo sana alishawahi kunificha kifo cha Mama yake kashaniongopea mambo mengi lakini kwasababu hayana madhara ya moja kwa moja na ya puuzia tu, nilifikia maamuzi mtoto wetu wa std 4 kumpeleke shule ya bweni sio kwamba nilipenda hapana kumuepusha kuiga tabia mbaya za mama ake.

Niseme tu mimi sina bahati katika kupata mke sahihi, kwasababu kabla ya huyu nilikua kuna Dada moja tume date nae takribani miaka 4 tukabahatika na kupata mtoto kilicho kuwa kimebakia nikuenda ku kujitamblisha kwao tu, ila yule demu hapana, alikuwa anasafiri almost kila weekend yani yeye na safari za kuenda makwao, aruhusi, mauleedi Dua, yalikua too much paka makonda wa ma busi ya kuenda Tanga wakaanza kumjua alikua anajua mabus yote ya route iyo duh nikaona huyu anifae kabisa nikampiga chini.....sasa this time nikashirikisha wazee wangu wanitafutie mke serious kwa kweli wazee hawakuchelewa wakaniambia tayari njoo muonane nikaenda nikaridhia na nikafanya utaratibu wa kumchukua, nilikaa nae kama mienzi mitatu duh nikaja kumkuta kumbe anakula mirungi (veve) nilichoka nikaona sina namna(mke wakutafutiwa ni shida). ndo nikaja kumpata huyu, ila nimemchoka vituko vyake ila sina la kufanya, pesa yangu elimu yangu havinisaidie kwasasa isipo kuwa uvumilivu tu.

Leo kama saa nane huyu bibie (mke) kanipigia simu kuniuliza hatima yake.....nikamwambia mie siwezi kuongea hi issue kwenye simu pata sehemu tuongea ana kwa ana akanielekeza pa kumkuta tuyaongee, nikaendesha ki (baby walker) changu paka pale, nilivofika akaanza kuwa mkali najifanya kuleta mambo ya nyuma nikawa kimya kwasabb alilenga kuniondoa kwenye mada, tu nikamuuliza anataka lipi kajibu kurudi nyumbani kwanini ulipacha eti ana paogopa duh nikamuuliza sasa ukurudi unaenda kukaa nani kwasababu baada ya wiki moja naenda kusafiri tena utapakimbia? Akasema hapana eti hatarudia. Ila huyu mama muongo mambo mengi anaapa ila anayarudia tu.

To cut the story short nilimpa option tatu achague moja. Kum -suspend kwa miezi mitatu akiwa kwao au aombe talaka au nimpige viboko vitano. Kaamua nimchape viboko vitano yaishe. ila personally am not a violent man na sijawahi kuchapa mke yeyote hili jambo lime nipa wakati mgumu sanaa, namimi sitaki unafiki nataka nafsi yangu iridhike, akifanya adhabu yangu yoyote.

Wakuu ndo nimemfikisha home sina hata 30minutes sijui ndo nimchape au kuna adhabu nyingine zaidi ya hiyo mnishauri, ila kumbukeni huyu mwana mke ni msumbufu sanaa muonģo ila sijawahi kupata ushahidi wowote wa uzinzi kwake. Naomba ushauri na uzoefu wenu ahsanteni.
Usithubutu kumchapa
 
WEWE NI TAHIRA, BWEGE, JINGAAAA MAMAEE.

YAAAN KWANZA NI MUONGO

PILI, HAKUA KWA DADA YAKE, ALIKUA KWA BWANA NDIO MAANA FUNGUO KAKULETEA DADA YAKE.( WANAWAKE.WACHEPUKAJ WATAKUAMBIA ALIOGOPA UTAMPIGA ,UONGOOOOOOO)
UKWELI NIKUA ALIKUA KWA JAMAA, NAIVO AKAONA INSHU KUAGA GHAFLA.

TATU, YAAN YEYE NDO ANAKUAMBIA WAPI MKUTE???? MSENGEE WEWE ,LIDHAIFUUUU FALAAA WEWE..NAWEWE UKAENDESHA KIDUDS KAKO KUMFATA ??? MANYOKO ZAKO.

NDIO MAANA AKAONA AWE MKALI KUBADILI MADA

NNE, UKUMAA NI KUMPA ADHABU ZA KUCHAGUA , WEEE FALA KABISA, YAAAN UMPE OPTIONS??? MAMAEE ETI VIBOKO VITANO????

AMEKUONA FALAAAAAAAA MBWAAA KENGEEE KABISAAAAA.


BOYA WEEE HUONI KUA DEM KESHAKUPIMA KAONA WEE NI MWANAUME DHAIFU SANA????? KWA TAARIFA YAKO, DADA YAKE NAYEYE MWENYEWE WOTE WANAJUA HUO MCHEZO , NAANAJUA HATA AFANYEJE HUWEZ MUACHA.


MPUUZI WEWE, ET NAWEWE UNASEMA HUWEZI KUMUACHA???

[emoji117][emoji117][emoji117]KWA TAARIFA YAKO ALIKUA KWA BABA MTOTO WAKE .

KUBALI KATAAA, HUYO MTOTO SIO WAKO. NA INAWEZEKANA KABISA HAO WATOTO WOTE SIO WAKOOOOO.


[emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]KUZAA NA MWANAMKE MTOTO AU WATOTO SIO.KIGEZO CHA YEYE KUKUDHARAU NAKUKUTENDA UTUMBO HUO.

YAAN WEEE SIJUI NIKAJAMAA KA PWANI.


HUYO DADA MTU ANAKUBALIJE KUKAA NA MKE WA MTU MWENYE MTOTO????


FALAAA WEWEE, HUNA AKILI, WEWE NI MJINGAAAA WA KUPINDUKIA.


NMEKUTUKANA.
Mkuu wala halina shida kuna uhuru wa fikra na kusema. watu kama nyie nimuhimu katika jamii, pasipo kua na giza huwezi kuelewa nakujua umuhimu wa mwanga, kwahiyo na giza lina umuhimu wake pia......Big up bro take it easy
 
Hats off bro!!! Hamna kitu umebakisha! Hawa mabwege wanaozingatia usawa wa kijinsia ndio wanafeli big time
Ayayaa yaan ukimfanyia mwanamke ubwege wa kujifanya usawasawa, ubebi bebi maninaaa, Cheka na nyani uoneee.. Zidisha mazoea na mbwaa uone atakachokufanya .

Hawa viumbe TOKA DUNIA IMEUMBWAA, VITABI VYOTE VYA DINI PANDE ZOTE.

VINAWAONYESHA NI WATU AMBAO WANATAKIWA WATUTIII. WASITULETEE UJINGAA KWA NAMNA YOYOTE ILE. ILI MRADI TU WEE MWANAUME UNAMPENDA HUYO MWANAMKE NA KUMTUNZA KWA NAMNA MBALIMBALI.


SUALA LA UTII, KUHESHIM. KUTOKUKUVURUGA NI LA LAZIMA, HALINAGA MAJADILIANO.


Diplomasia ikishindikana, Makofi yafuate, ikishindikana, Piga chiniiiii.


Wee angalia, Ndoa zinazodumi siku hizi nizile ambazo, Baba wa nyumba ni Baba aa nyumba kwelikweli. Acheki na nyani., kwenye kufoka anafoka, kwnye makofi anapigaaaaa kwenye kutoa vikwazo vya kiuchumi anatoaa.

AKILI YA MWANAMKE IMEUMBWA KATIKA HALI YA KUJIPATIA FURAHA KUTOKA NDANI YA UDUME WA MWANAUME..

YAAN WEEE UNAVYOKUA UNPREDICTABLE AND UNCERTAINTY, MARA UNA BEBISHA, MARA MAKOFI, MARA UNAMPIGA VIKWAZO , NDIVO AMBAVYO YEYE ANAKUA NA FURAHAA.

HIYO NI ASILIAAAA.. UNALOKUA BEBI BEBI KWAKE, ANAKUONA BOYAAA.



[emoji117]Kuna demu ni Mkuu wangu wa Department yeye saizi ni Singo maza , alinileteaga pigo za kijingaa, ooohoo Hata mume wangu mpaka tunakwaruzana na kuachana hakuwah kunipiga makofi, ohooo kuna siku mpaka nilitaka mpeleke polisi aliponitishiaa kunipiga, akaniomba msamahaaaa mpaka magoti.

Huyu demu ana maweee yaan anajiweza kiukweli na lina shule kubwa.

Ni demu niliyegundua anataka mwanaume umnyenyekee sanaaaaa yaan ufuate anachotaka.

Kuna siku limenipanda kichwan , NILILIPIGA KIPIGO MWANANGU ,NILILIPIGA SANAAA MPAKA AKABEBA FUNGUO WAKE WA GARI LIKAONDOKA USIKU HUOHUO ,LIMERUDI KWAKE .


LIKAJUA NITALITAFUTA, SIKU TATU KIMYAAA, BAADAE JION MOJA ,NASHANGAAA LINAPAKI GARI YAKE NJE YA NILIPOPANGA.

NIKALIKALIBISHA, TUKAONGEA YAKAISHA.


Hawa ni.kuwaishi kama vile unampenda, kama vile humpend yaaan hueleweki.
 
Poleni sana wanaume wenzangu mnaopitia changamoto za ndoa sisi wadogo zenu acha tupambane na ajira kwanza huko tutakuja tu
 
Back
Top Bottom