Mke wangu ameniacha njiapanda

Yani wewe akili yako ya upelelezi ni 0.... Ilitakiwa utengeneze full picture ambayo hawezi ruka ikiezekana hadi umwite mshikaji na aje then unamwaga huyo mwanamke mazima.. umeharibu ushahd yani
 
Ndo maana tunashauriwa kabla hatujapata wenzi wa maisha inatakiwa tuchague kwa umakini sana Ili akiwa na tabia mbovu ujue hayo ni matokeo ya uchaguzi wako so you pay the consequences.
 
Jamani hizi stress za kujitakia. Mbususu hapa duniani tuna share jameniiii. Usiumize kichwa wee fukuza, chukua pisi kali nyingine tulia nao.
 
Sawa ila huyo hakuwa mke wa mtu alikuwa kahaba tu. Je wewe unataka kutwambia uko tayari kugongewa?
Akiamua kugawa atagawa tu, ndiyo maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili
 
Kwanza we ni jinsia gani? Tuanzie hapo, jibu kama ni Mwanaume basi achana na huyo mkeo ila kama we ni KE ua jinsia yoyote nje ya ME endelea kuishi na huyo mwanamke
 
Kwani wewe ulimwoa akiwa bikra? Kama hakuwa Bikra usipoteze muda,unachopaswa kumwambia tayari wewe ni mke wangu,achana na hao uliokuwa nao kabla sijakuoa.Kumbuka hata wewe kabla ya kumuoa umetembea na wanawake wangapi?
Balance na fair!
 
Udhaifu
 
Mbona simple, tafta mdada pisi Kali mpe namba ya jamàa, wawasilianee, kisha waamuanapo kukutana nawe jitokezeee, ukiwa apoo mwite na mkeeeoo mwongeee, hahaa pisi Kali kuliko mkeeoo
Wacha motoo uwakeee
 
Huyu mke wangu ajae japo nilimkuta hajawahi banduliwa, hua sitaki kabisa kushika sim yake na hua nakasirika sana akinisogelea kunionyesha kitu kwenye sim yake hasa videos za tiktok. Yeye yangu kashaifanya kama yake hua namwambia kimoyo moyo 'shauri yako'
 
Nikapiga jamaa akapokea mke wangu akagoma kbs kuongea nikakata simu.
Nikaenda zangu sitting room nikamuacha room
Binafsi Mwanamke akiwa tu na kiburi, Jeuri, hasikiiii au wale wa kila kitu mabishano huwa naacha siku hio hio,,,,na sijawai fikiri ni uamuzi Mgumu kuacha Mwanamke.....

Wewe Mkeo analiwa nje,,na umejiridhisha kabisa... KUMUACHA ndio the only option ambayo ni sahihi,,,, BUT unaweza kumsamehe pia kutokana na Imani yako,,namna mnavyoishi na kiwango chako cha Uvumilivu.

Tunaweza kukushauri UMUACHE halafu ukashindwa ku-handle stress baada ya kumuacha ukaishia Kujinyonga,,sonona,presha n.k...kumbuka: (Kuacha ni kwa Wanaume timamu na waliokomaa ki-Maamuzi tu,,Weak men don't try this at home)

Mwisho kabisa,, Ile Sauti uisikiayo ndani ya Moyo wako ndio inaitwa UKWELI,,,,hivyo basi Lolote utakaloamua kwa kusikiliza hio sauti litakuwa ni sahihi LAKINI kuachana nae huyo Mwanamke ni sahihi zaidi...

Be a Man, Stay Taliban.
 
kwa namna yoyote ile muache huyo mwanamke kuepusha mambo ya kuuana
 
Nalifanyia kazi bila kukurupuka kbs kamanda na hili ndilo nalifikiria kuliko yote kumpiga chini tu...
Msamehe. Inawezekana Yule Jamaa ndio huwa anajitongozesha Kwa mkeo. Fanya utafiti japo ni kazi ngumu kama hajawahi kutembea nae tangu awe na wewe acha Hilo lipite. Sio kila pambano lazima uwe mshindi.
 
Usipooa bikra ujue umeliwa, hujui ameshapita kwa wanaume wangapi?..yaani nikianza kufikiria jinsi wadau wanavyosimamia ukucha unajikuta unahairisha kuoa.
Bikra zipo za tomato sauce na sriracha.tulia wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…