Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Mke wangu amenipiga picha za makalio na kuzisave kwenye gallery

Kutakuwa na kikao cha wanaume siku ya jumamosi saa tisa alasiri, tafadhali wasilisha hoja yako kikaoni.

Watakaoshindwa kufika watumie zoom kwa address hii..
 
Kwakuwa majibu hayaridhishi
Ingekua ni mimi nisingekua na la ziada nae baada ya kuhakikisha simu yake ninayo, natimua wala sifikirii mara mbili
Maisha yaniwazishe na mwanamke anisumbue,

Wakorintho 7:27-28
 
Mkuu umeangalia vizuri kweli hayo makalio ni yako ?
Maana wanaume wote tunafanana makalio ... Ni machafu yana ukurutu hayapakwi mafuta.
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Ameyatamani
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Siku jifanye umekosea njia ndipo utajua matumizi ya hizo picha.
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Kwa hiyo unalalaga matako wazi?
 
Huku mnapost usen****** ngoja nizame love connect nikatafute goma mie..
 
Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.

Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.

Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.

Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
daah wallah jf ni kisima cha burudani
 
Wewe ndiye mwenye makosa mkuu,kuna sheria ya usiri yaani sheria inayomlinda mtu kuwa na siri zake binafsi,hata kama ni mkeo au mtoto wako,mama yako,baba yako,mume wako huna haki ya kuchunguza siri zake.akijua unafanya hivyo na kama ushahdi anao anaweza kukufikisha ktk dawati la jinsia adhabu yake ni miezi 6 gerezani au faini isiyopungua milioni mbili au vyote kwa pamoja.. Kaa kmy subiri siku akizisambaza, wewe ndo utakuwa na haki ya kumhoji,kumfkisha mahakamani kwa hatua stahk za kisheria.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 aloo ulalaji gani uo adi ufunuliwe hustuki. Pole sana, mkalishe kwa busara umuulize lengo hasa za picha za kufedhehesha hivyo lilikuwa ni lipi?
Alikuwa anamfanyia assessment kama ana marinda, unajua wanawake wanaogopeshwa sana zama hizi, kuwa kuna waume za watu wanapelekewa moto.

Amuulize tu kistaarabu. Pia inawezekana mke ana matatizo ya kisaikolojia ya kupenda picha za uchi
 
Back
Top Bottom