Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AstaghafullullahNi kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Nimeamka Leo option ya ku-like au dislike haipo mpaka muda huu na sikutokea tu from nowhere kuanza ku-dislike.Lini umezuiwa ku-dislike?
AmeyatamaniJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Siku jifanye umekosea njia ndipo utajua matumizi ya hizo picha.Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Kwa hiyo unalalaga matako wazi?Jana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
daah wallah jf ni kisima cha burudaniJana niliishiwa salio kwenye simu yangu nikamuomba mke wangu aniazime simu yake nipate kumpigia jamaa yangu.
Nikapiga kwa ninayemtaka. Hapo alikuwa anakoga nikasema wacha nizame kwenye gallery nione picha za kipenzi changu❤️❤️ asee sikuamini nilichokiona.
Nimekuta picha zangu 71 za makalio tu tena yakiwa naked(uchi)😭😭😭 yaani mimi nikilala kumbe huwa ananifunua ananipiga picha.
Bado sijamwambia naombeni mnisaidie ushauri nimfanye nini.
Nimecheka mpaka baa nzima wameshtuka😂😂😂😂😂😂😂Wanawake sijui wanaambiana nini kuhusu makalio yetu wakiwa kwenye vikao vyao. Kuna mwingine aliwahi kushtuka usiku akakuta mkewe ana mmulika na tochi matakoni.
Shangazi tunakuheshimu sana Makalio tupake mafuta ili iweje!! Mafuta yanapakwa sehemh zinazoonekana tu uso na mikonoNi kwa sababu yamepauka...
NB: Wanaume mpake mafuta makalio yenu jamani...
Ili iweje sasa 😂😂😂Ni makubwa?
Alikuwa anamfanyia assessment kama ana marinda, unajua wanawake wanaogopeshwa sana zama hizi, kuwa kuna waume za watu wanapelekewa moto.🤣 🤣 🤣 🤣 aloo ulalaji gani uo adi ufunuliwe hustuki. Pole sana, mkalishe kwa busara umuulize lengo hasa za picha za kufedhehesha hivyo lilikuwa ni lipi?
😀😀😀😀😀Daaa sema sio mbaya mkeo anajaribu kutafuta soko ili mtoke kwenye nyumba ya kupanga