Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu

Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.

Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.

Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.

Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.

Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.

Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
Mkeo ana akili ndogo sana.
Muonyeshe msimamo soon atajifanyia atakavyo
 
Huenda amepata mchepuko ambaye hafurahishwi na hizo nywele. Hivyo amelazimika kuheshimu matakwa ya Mchepuko .
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa.
Alipaswa akushirikishe hasa kama huwa unamweleza namna unavyozipenda nywele zake. Mbali na kunyoa hata kama alitaka kuweka dawa ilipaswa akushirikishe. Sisi wengine tunawashirikisha wapenzi wetu hadi mitindo tunayotegemea kwenda kusuka ili watuchagulie mmoja au watushauri.

Wanaume wengi wanapenda sana nywele, na kitu mwanaume anachokipenda kwa mwanamke sio cha kukipuuzia eti kwa madai "kama ulinipendea nywele" anatakiwa ajue yeye ni pambo /ua kwa mumewe anatakiwa awe kwenye namna ambayo mume wake anapenda cha msingi mume awe anatoa huduma.
Sikujuaga kuwa una AKILI KUBWA hivi
 
Mkeo vile umeshamuoa anaona kamaliza kazi haitaji Tena kuwa smart, au ukute ana mimba na akizaa jiandae kujiachia kwake rafu, kunenepa Hadi utafte mchepuko. No wanawake wachache huendelea kujipenda baada ya ndoa, maana ndoa huamini wamefika mwisho.
Bibie
 
Vitu vya kudharau vya wenzi wetu hufanya mapenzi kufa licha ya kupewa papuchi ila vitu tunavo ignore ndo huua mapenzi
Watu wengi hawajui kuwa kabla mwanaume hajataka papa huwa kuna vitu vimetangulia kumvutia.
Huwa hatuparamii kila mwanamke isipokuwa aliyekuvutia
 
Sasa mtu upo ndani ya ndoa, ujisumbue iweje? Karibu chamani dea, ndoa tamu na chungu vile vile, tunapambana tyuuh.
Nyie ndio mnasababisha wanaume kuwa machokoraa kusaka papa mpya...tunza mvuto umtulize mumeo
 
Nimestuka kusikitia umesikitika mkeo kunyoa nywele nikatengeneza picha kwenye dunia yangu😄😄😄. Ila ndg sio poa kumfanya mkeo Kama kitu flani kisicho na maamuzi hata ya mwili wake pia nimependa jibu la mke kwa kukupa pole Kama umependa nywele
 
Kwani nyie wengine mlijipenyezaje hadi mkaoa[emoji2297][emoji2297]
 
Siyo sawa mkeo kunyoa nywele bila kukutaarifu. Sioni sababu kusema kweli hasa kama alikuwa siku zote anazitunza vizuri. Mchepuko labda unaweza kuweka sheria zake [emoji23][emoji23][emoji23] unajua michepuko pamoja na kuwa wanajua kuna mwenye mali zake lakini huweka sheria zao za kupingana na mume kwa mfano wiki hii yote usimpe K hadi mimi nikugegede weekend ijayo na K atatafuta kila sababu hata kama itazua varangati la kufa mtu na mumewe lakini K hatatoa hadi ampe kwanza mchepuko.
Acha uchochezi we mtoto!!
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Get a grip of your feelings...na jua ndoa sio lelemama..I tell you this ..kama upo sensitive hiyo ndoa miaka mitano haifiki...mwaka mmoja una catch feelings mkeo kunyoa .serious?..watakupola uyo mwanamke ushangae..maana apo saiz Kuna Wana ma office husband wamemletea zawadi kabisa kwa alivyo pendeza Zaid ....wew mumewe unamfungukia umeumia...watakukazia soon na unaonekana Mtu wa kukechi Sana kijana....


Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu

Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.

Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.

Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.

Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.

Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.

Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
 
Sikuwa nazipenda ,. Nikamuambia anyoe kama anataka kuwa nami.
 
Ujue nakaribia kuwa mkubwa nianze kufaidi kama wakubwa. Nimesoma humu mara nyingi tu wakubwa wanafaidi. [emoji12]
Subiri kwanza ukue mkubwa ndio utafaidi. Kwasasa uache uchochezi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Back
Top Bottom