Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

Mke wangu amenyoa nywele na zilikuwa zinanivutia sana

Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu

Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.

Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.

Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.

Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.

Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.

Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?

Nilishakua na madem tofaut tofaut na wote walikua wananishirikisha kwenye swala kama ilo upo sahihi mkuu
 
Bleach si hata ndefu unaweka tu[emoji1787][emoji1787]

Kaamua..

Nywele zinachosha..mimi binafsi siwezi kukaa na nywele more than 4 years. Hapa sijanyoa since 2017 na muda wowote nazikata naanza upya.
Kweli zinachosha
Ndo mana lazma uchague styles zipi zinakufaa

km mwanaume wako anapenda nywele ndefu kuwa makini
 
Mtoa mada
Mweleze wife anapendeza akiwa na nywele na ungependa aanze kusuka tena..
 
Kiukweli inaudhi bro, Ila mfikishie isia zako politely bila shangwe, kwann wife lkn umetoa nywele unajua napenda unapokua na nywele zako and naskia faari ata tnapoongozana safarini...... Atafunguka Ila take it easy maisha yanasonga. Inaweza kuwa kapata ushaur seem au kuvunjwa moyo na ma do wenzie
 
Kwa hiyo wewe pia unapoenda saluni kunyoa uwa unamshirikisha
 
Kuna binadamu mnacomplicate maisha


Hata kunyoa nywele mpeane taarifa

Khaaa


Maisha mafupi haya wewe baba!!!!


Kwanza kuna kipindi minywele inachosha tu!!!
 
Siyo sawa mkeo kunyoa nywele bila kukutaarifu. Sioni sababu kusema kweli hasa kama alikuwa siku zote anazitunza vizuri. Mchepuko labda unaweza kuweka sheria zake [emoji23][emoji23][emoji23] unajua michepuko pamoja na kuwa wanajua kuna mwenye mali zake lakini huweka sheria zao za kupingana na mume kwa mfano wiki hii yote usimpe K hadi mimi nikugegede weekend ijayo na K atatafuta kila sababu hata kama itazua varangati la kufa mtu na mumewe lakini K hatatoa hadi ampe kwanza mchepuko.
Yaani umeamua kumvuruga kabisa jamaa!!!
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu

Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.

Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.

Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.

Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.

Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.

Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
Kama kanyoa na mavuzi jua kabisa kuna mhuni kapelekewa upara wa papa ausugue
 
Hapo tayari mdudu keshaingia kwenye embe…[emoji1614][emoji276]
 
Bleach si hata ndefu unaweka tu[emoji1787][emoji1787]

Kaamua..

Nywele zinachosha..mimi binafsi siwezi kukaa na nywele more than 4 years. Hapa sijanyoa since 2017 na muda wowote nazikata naanza upya.

Hakikisha tunajadili hili kabla uamue, tutaonana wabaya.[emoji36]
 
Demu anataka aanze kuchonga wei na vipanki fulani vya kisistaduu.
 
Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu

Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.

Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.

Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.

Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.

Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.

Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
Pole
 
Bodaboda wake ndiyo anapenda awe na kiduku panki chenye way,huwa anasikia raha akimkaanga wa aina hiyo.
 
Back
Top Bottom