Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu
Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.
Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.
Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.
Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.
Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.
Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
Kweli zinachoshaBleach si hata ndefu unaweka tu[emoji1787][emoji1787]
Kaamua..
Nywele zinachosha..mimi binafsi siwezi kukaa na nywele more than 4 years. Hapa sijanyoa since 2017 na muda wowote nazikata naanza upya.
Yaani umeamua kumvuruga kabisa jamaa!!!Siyo sawa mkeo kunyoa nywele bila kukutaarifu. Sioni sababu kusema kweli hasa kama alikuwa siku zote anazitunza vizuri. Mchepuko labda unaweza kuweka sheria zake [emoji23][emoji23][emoji23] unajua michepuko pamoja na kuwa wanajua kuna mwenye mali zake lakini huweka sheria zao za kupingana na mume kwa mfano wiki hii yote usimpe K hadi mimi nikugegede weekend ijayo na K atatafuta kila sababu hata kama itazua varangati la kufa mtu na mumewe lakini K hatatoa hadi ampe kwanza mchepuko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama kanyoa na mavuzi jua kabisa kuna mhuni kapelekewa upara wa papa ausugueHabari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu
Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.
Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.
Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.
Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.
Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.
Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
Nilivyoona title tu nikazani ni nywele za kule downtown...kumbe wapi..!!
Bleach si hata ndefu unaweka tu[emoji1787][emoji1787]
Kaamua..
Nywele zinachosha..mimi binafsi siwezi kukaa na nywele more than 4 years. Hapa sijanyoa since 2017 na muda wowote nazikata naanza upya.
PoleHabari wakuu, mimi sio mgeni jamiiforums mara nyingi hapenda tu kuangalia nyuzi za watu na kuchangia inapobidi.Leo nimeona niwashirikishe yaliyonisibu
Nipo kwenye ndoa zaidi ya mwaka sasa na kati ya vitu vilivyonivutia na vinavyonivutia sana kwa mke wangu kwakweli ni nywele zake zilivyo ndefu na natural na yeye pia analifahamu hili manake nimekua nikimuambia mara kwa mara.
Cha ajabu Jana wife kafika nyumban amenyoa nywele zote na wala hakunifahamisha kama atanyoa na wala sikuona dalili zozote kama hili litatokea.
Kwa kweli imeniuma sana na mpaka sasa bado inauma nahisi kama amenidharau kwa kutokunishirikisha kwenye jambo la muhimu kama hilo.
Sura imebadilika ata kutoka nae out nadhani itakua changamoto nilimuuliza sababu za kunyoa anasema kua amezichoka nywele ndefu na wala hazitaki tena.
Nimemuambia ninavyohisi anadai kama nlipenda nywele na sio yeye basi ananipa pole. ninaanza kupata wasiwasi kua anaanza kubadilika manake naanza kuona kama dharau zinakuja kwa mbali.
Wakuu embu nitoeni wasiwasi, ni mimi nawaza vibaya ama ndo tayari mwanamke anataka kunipanda kichwani?
[emoji3][emoji3][emoji3]Imeenda na nywele kabakiwa na kifuu tu bustani ya Eden
[emoji3][emoji3] changamoto kwa kweli[emoji38]Dah maisha ya mahusiano sio lelemama kwa kweli