Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Huyo sio mke wako tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Latraaa wanatisha we mwambie nauli ikojuu mzigo Huna huku unaturenjoyNiaje wana gwan?
Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa
Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee
Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa
ukimpiga chini utakosa mke wewe, kuweni wavumilivu vumilianeni tabia zenu. Kumbukeni wakati mnaanzisha mahusiano mlipendana sana ila hamkujua kuwa grafu ya upendo hushuka mahusiano yanapopitia stage fulani. Kama mliooana mkiwa ni wala bata kuna wakati huja bata haliliki mpaka hicho kipindi kipindi kipite. Kama mkeo ni mzinzi piga chiniNiaje wana gwan?
Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa
Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee
Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa
Mpe talaka na nauli, tena haraka sana.Niaje wana gwan?
Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa
Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee
Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa
Wewe si ulioa matako tukakwambia ukasema Tabia mtavumiliana?Niaje wana gwan?
Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa
Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee
Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa
Hii yako nyuzi ya SitaDuh yaani leo tu nyuzi za matatizo ya ndoa ni 5 hadi muda huu watu wamechokana maisha yamekuwa na presha sana..
Nilitaka nilete uzi wangu pia ila nimeghairi nitamkabili mtu wangu kimyakimya ila lazima atapike nyongo mshamba sana mwanamke huyu.
Bora niishi single tu.
Hivi mazee nyie mnawaokotaga wapi?Duh yaani leo tu nyuzi za matatizo ya ndoa ni 5 hadi muda huu watu wamechokana maisha yamekuwa na presha sana..
Nilitaka nilete uzi wangu pia ila nimeghairi nitamkabili mtu wangu kimyakimya ila lazima atapike nyongo mshamba sana mwanamke huyu.
Bora niishi single tu.
Ila kuacha mke unayempenda ni kazi sana.Sasa endelea kumng'ang'ania akupige matukio.
Mwanamke akikuchoka ana uwezo wa kukuvumilia. Ndoa nyingi ikiwemo za wazazi wetu walishachokana ila walistahamiliana.
Ukiona mwanamke anakwambia amekuchoka na kutaka kuondoka kabisa elewa kuwa tayari keshapata mbadala wako.
Sasa jifanye king'ang'anizi ugeuke kuwa mchepuko kwa mkeo mwenyewe.
Kwenye maisha inafikia wakati kuacha mtu aende ndio busara na chaguzi pekee.
au mmi ndo sijaelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuaa [emoji23][emoji23][emoji23]au mmi ndo sijaelewa