DungaMawe
JF-Expert Member
- Jul 31, 2022
- 1,522
- 4,630
KATAA NDOA, KATAA UTAPELI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KATAA NDOA, KATAA UTAPELI
Kuna mapungufu madogo madogo ambayo binadamu wote tunayo na kuna mwanamke kutotaka kuwa na wewe na kukusaliti.Ila kuacha mke unayempenda ni kazi sana.
Mimi Mke wangu na mapungufu yake madogo madogo siwezi kumwacha hata iweje.
Mwanamke akishalamba dyudyu la nje kutulia hua ni ngumu
Hichi kikauli cha kikuda sana. Wanawake mnamuambiaga mtu huku moyoni mkimcheka na kusema, 'hili jamaa lifala sana'.Ila pole mwaya
jamani mi sipo hivyo😀😀Hichi kikauli cha kikuda sana. Wanawake mnamuambiaga mtu huku moyoni mkimcheka na kusema, 'hili jamaa lifala sana'.
Hahahaaa akae aongee na mkewe may be kuna tatizo walitatue
Amkaze vizuri...Hahahaaa akae aongee na mkewe may be kuna tatizo walitatue
😁😁😁Amkaze vizuri...
Hiyo nauli anaomba aende kukazwa vizuri huko...😁😁😁
Umeona eeh! Ampige pumb kisawasawa aache masihara 🤠
Amkomalie nae anakubalije aende kizembe hivo!Hiyo nauli anaomba aende kukazwa vizuri huko...
Usiishie kumpa nauli tu Mpe Hadi taraka tatuNiaje wana gwan?
Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa
Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee
Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa
Niaje wana gwan?
Aisee maisha ya ndoa ni kichefu chefu aisee na yanakera na kuchukiza kabisa aiseee ni very streful kabisa wakuu usikubali ushauriwe kuhusu mahusiano au ndoa maana ni kichefu chefu kabisa
Leo asubuhi mke wangu amenitamkia amenichoka, amechoka na anataka kurudi kwao na amesema anataka nimpe nauli.arudi kwao huko bariadi ila siku kadhaa alimtumia mtu picha zake mwanaume fulani huko kwao na alikua ana msisitizia huyo mwanaume aoe mwanamke wa kanisani aiseee na pia akawa anamwambia kama mwanaume amenichoka nipite huku aiseee
Natafuta mbinu nimpige chini na kiukweli nimemchoka kabisa