Mke wangu amesema amenichoka, amechoka na anaomba nimpe nauli aende kwao

Latraaa wanatisha we mwambie nauli ikojuu mzigo Huna huku unaturenjoy
Badoo mtasemaa
 
Kwa uzoefu wangu imetoka hiyo,anza kujipanga ila fun fact utaumia sana kujua huko bariadi anatembezewa paipu
 
ukimpiga chini utakosa mke wewe, kuweni wavumilivu vumilianeni tabia zenu. Kumbukeni wakati mnaanzisha mahusiano mlipendana sana ila hamkujua kuwa grafu ya upendo hushuka mahusiano yanapopitia stage fulani. Kama mliooana mkiwa ni wala bata kuna wakati huja bata haliliki mpaka hicho kipindi kipindi kipite. Kama mkeo ni mzinzi piga chini
 
Mwambie aende kwao.

Si ndo hao mnaooa wa kelelewa na wazazi wawili?
 
Mpe talaka na nauli, tena haraka sana.
Ila WANAUME tunakuomba usigeuke jiwe la chumvi akitaka kurudi!
 
Wewe si ulioa matako tukakwambia ukasema Tabia mtavumiliana?
 
Hii yako nyuzi ya Sita
 
Hivi mazee nyie mnawaokotaga wapi?

Mbona pisi kali za kueleweka zipo tele?
 
Ila kuacha mke unayempenda ni kazi sana.

Mimi Mke wangu na mapungufu yake madogo madogo siwezi kumwacha hata iweje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…