Mke wangu amesema amenichoka, amechoka na anaomba nimpe nauli aende kwao

Kwahiyo huna nauli ya kumpa mkuu?
KATAA NDOA
NI UTAPELI
TUNZA FURAHA YAKO
 
Ulivyofungua Uzi wako na "Niaje wana gwan" nikajua tu ndoa haiwezi kuwa salama.
 
Usiishie kumpa nauli tu Mpe Hadi taraka tatu
 
Ndoa nyingi hudumu tu pale mwanamke huwa hana chaguzi la pili. Kesha pata plan B huyo, ni oawaida.
 

Ila sababu unaijua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…