Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

Alex Kamgongaaa tena siku za karibuni tuu...!! Yani hakuna namna Mwanamke au mwanaume anaweza mtaja Mtu mwingine wakati mnatiana na Hawajagongana.. HAIPOO...HAIPOO

ALEX KAMT....BA MKEO.
Itakua ki masihara
 
Alex inabid aonywe tabia ya kutembea na wake za watu
 
Cha Kusikitisha sana ALEX hana maisha yanii[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27] Mkeo anatakiwa arudi kwao asubiri kupata mwanamme mwingine wa maana..!! Wanawake akili zao sijui zikoje anachepuka na mwanaume wa ovyoo...
 
Yaani miaka 24 unaoa?aisee hua mnawahi wapi na hizo ndoa?
Ndio maana zinawapa taabu saaana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…