Mke wangu amezidisha dharau

GO TO HELL NICE GUY. SORRY!
 
Hapo lazima uchanganyikiwe wewe ndiyo chanzo cha yeye kufanya hayo. Kosa lako la kwanza ni pale ulipomuendekeza baada ya kugundua anawasiliana na mume mwenzako. Kakuchukulia mwanaume poa.
 
 
Ukiona hivyo ujuwe "performance" yako ipo chini ya viwango.

Jiulize, wewe ulimpataje, wenzako washindwe? Na wewe si ulimpata kwa mtu?
 
Tafuta hela au kimbia hiyo familia au ugongewe upige kimya.kwanini ulioa huku huna hata smartphone,we mwehu kweli.
 
Mliooa muwage mnapeana wiki kila mmoja akachepuke ili ndani ya nyumba muishi kwa amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…