Mke wangu amezidisha dharau

Mke wangu amezidisha dharau

Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Bado mapema, ndoa nyingi huanza kutulia baada ya kupata watoto watatu au baada ya miaka 10
 
udhaifu unaouonesha ndo anatumia kukuadhibu......

mwanamke akishaanza kuchepuka achana naye....usalama wako unakuwa mdogo sana.....lolote anaweza kukufanyia
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Tulia broo ukitaka kufariki endelea kuumizwa kichwa na huyo kiumbe ,kosa Ni kuanza kumfatilia mara kukagua simu utajiumiza Fanya mambo yako mchukulie kama hayupo lasivyo utateseka
 
Niende moja kwa moja kwenye mada. Ni miaka minne toka nimemuweka ndani zamani alikua mtiifu tuu vizuri ila kuanzia mwaka huuu mwanzoni nimeanza kuona dalili ambazo sio nzuri. Kwanza nilishawai kuikagua simu yake kwenye call zake nikakuta anampigia Sana ex wake yaaan unakuta amempigia wameongea ata zaidi ya dakika kumi nikamuuliza akajibu tuu ni stori walikua wanapiga aliniuzi Sana nikataka kumfukuza arudi kwao aliomba msamaha na nikiangalia nina mtoto mdogo nikaona isiwetabu nikafunika kombe . Juzi juzi hapa anapigiwa simu na namba ngeni sauti ya mwanaume anajing'ang'ata tuuuu anadanganya tu unakuja kugundua ni mtu wanatongozana anadai anamtongoza tuuuu. Pia unamtuma labla aende dukani unakuta mtu anakaaa kabisa yaaan anasema mbali yaaan nimeumia Sana mke niliye muoa anakaaa kutumwa na Mimi. Ni mengi Sana huyu mwanamke anachangamoto Jana amenizilia simu na kutoa laini ya simu baada ya Mimi kumuomba simu niingie mtandaoni maana mm natumia kisimu kidogo. Naombeni ushauri jaman maana nahis kuchanganyiwa.
Sasa hapo unaomba ushauri tukuambie uvumilie au?? ACHA UFALA, Mwanaume ndani ya nyumba
 
Wewe umeshajichunguza na kujiona huna tatizo??
Ujue wanawake wanachukua muda mrefu mpaka kumchana makavu mtu tofauti na wanaume, wewe unamchana kua ana kiburi na mambo kama hayo anakausha tu, si ajabu na wewe una mabalaa yako.

Nenda nae mahali mtulie nae atoe lilo moyoni mwake.
Mwanamke asiyekuheshimu sio wa kumpeleka mahali mkaongee, ni kumkatia attention hapohapo hata km ni mke
 
Ulioa mke wa mtu mkuu 🤣🤣
Kaeni mjadiliane , muulize kama anataka uhuru mruhusu aende tu ! Usiache kutunza mtoto maana ugomvi wenu haumuhusu mtoto.
Hivi hii inakuwaje? Inawakumba wengi naona!

Kuna mshikaji wangu ndani ya mwaka 1 tu alitaka kumuacha mke wake.
 
Mwanamke asiyekuheshimu sio wa kumpeleka mahali mkaongee, ni kumkatia attention hapohapo hata km ni mke
Kuna sababu za kutoheshimika na makosa unaweza kua umeyafanya wewe hadi kutengeneza hizo roopholes za kutoheshimika.
 
Nabet......Mleta mada amempenda sana mkewe na mkewe anajua,mleta mada ana huruma sana,mke anajua mleta mada anapiga kamoya kila siku la mwisho mleta mada hajawai kuchepuka hata kwa bahati mbaya.
 
Jamaa hajui kutumia ukuni Vizuri. Mwanamke ukimtomba Vizuri hawezi kufanya hayo mawenge. Jifinze kutembeza ukuni wako vzr viungo vyake vipate takishishi ya moyo.
 
Back
Top Bottom