Mapengo 17
Mkuu pole sana ni dhahiri kabisa kuwa kukaa kwenu muda mrefu bila kupata mtoto kulimpelekea mke wako asiwe muaminifu kwenye ndoa na kuamua kutafuta njia mbadala,unahitaji utulivu wa hali ya juu hasa ukiwa na mkeo ili asigundue unamchunguza,la kwanza piga picha hizo kadi halafu save soft copy kwenye email yako,maana akigundua mabadiliko hiyo kadi anaweza ihamisha hapo home,nenda chunguza afya yako ya uzazi ukiambiwa uko fiti fanya yafuatayo.
Anza kuchunguza uhusiano wa mke wako na huyo jamaa kwanza kama mkeo ni mfanyakazi jaribu kupeleleza kama jina la huyo jamaa ni mfanyakazi mwenzie,kama sio itakubidi uanze kuchunguza mawasiliano ya mkeo na huyo jamaa utafanya vp hapo itakulazimu kuingia gharama kuwatumia watu wa makampuni ya simu kuchunguza namba gani inawasiliana na mkeo mara nyingi,au option ya pili ni kutumia mspy ila hii software inaweza kukuua kabla ya siku zako lazima uwe na kifua wanasema waswahili,utawezaje pata mawasiliano yake mnunulie simu mpya mkeo na kabla ya kumpa install hii software online then mpatie kama zawadi baada ya hapo mawasiliano yake yote utayapata kuanzia email,whtasup na simu zake endapo ataitumia hiyo simu kwa mawasiliano.
Ila usitumie hiyo software kama huwezi kuzuia hasira zako.
Mkuu pole sana ni dhahiri kabisa kuwa kukaa kwenu muda mrefu bila kupata mtoto kulimpelekea mke wako asiwe muaminifu kwenye ndoa na kuamua kutafuta njia mbadala,unahitaji utulivu wa hali ya juu hasa ukiwa na mkeo ili asigundue unamchunguza,la kwanza piga picha hizo kadi halafu save soft copy kwenye email yako,maana akigundua mabadiliko hiyo kadi anaweza ihamisha hapo home,nenda chunguza afya yako ya uzazi ukiambiwa uko fiti fanya yafuatayo.
Anza kuchunguza uhusiano wa mke wako na huyo jamaa kwanza kama mkeo ni mfanyakazi jaribu kupeleleza kama jina la huyo jamaa ni mfanyakazi mwenzie,kama sio itakubidi uanze kuchunguza mawasiliano ya mkeo na huyo jamaa utafanya vp hapo itakulazimu kuingia gharama kuwatumia watu wa makampuni ya simu kuchunguza namba gani inawasiliana na mkeo mara nyingi,au option ya pili ni kutumia mspy ila hii software inaweza kukuua kabla ya siku zako lazima uwe na kifua wanasema waswahili,utawezaje pata mawasiliano yake mnunulie simu mpya mkeo na kabla ya kumpa install hii software online then mpatie kama zawadi baada ya hapo mawasiliano yake yote utayapata kuanzia email,whtasup na simu zake endapo ataitumia hiyo simu kwa mawasiliano.
Ila usitumie hiyo software kama huwezi kuzuia hasira zako.
Last edited by a moderator: