Mke wangu ana kadi mbili za kliniki, moja jina langu, lingine la bwana mwingine!

Mke wangu ana kadi mbili za kliniki, moja jina langu, lingine la bwana mwingine!

Mmeanza kuwa sio waoga eeeh!!! Wallah!!!! Atawarestisha in pici, hahahaha!!! Mumuache anilelee mie

Best hebu fanya tuonane kama utateremka mitaa ya huku kwe2, kuna ishu tuongee.

Halafu hebu nibeep na namba yako.... Wahuni waliniingiza mjini wakaninyaka simu.....
 
Pole, kwanza nakushauri usi panic tuliza boll. Kwa maelezo harakahara hizo ndizo athari za ndoa za utotoni; kwa sasa una miaka 28 na ndoa ina miaka 4 kwa maana ulioa ukiwa na miaka 24, ni wazi kabisa mwenzi wako alikuwa chini zaidi pengine 20 au hata 18(wewe ndiyo unayejua), sijajua standard ya life mliyo nayo kama nyumbani ji kila siku sikukuu au ndo kudunduliza(enzi zetu tulikuwa tunaita 'muambo'), bado mkachelewa kupata mtoto hapo mengi yanawrza kuwa yamepita au kupitia wakati kiakili na fikra,hekima na busara virikuwa bado kufuatana na age! Anyway,

bado nina strong belief kuwa huo ujauzito ni wako, ila kuna michepuko kwa mkeo, huenda ndiye mfadhiri wa maisha hapo home na hiyo kadi ndiyo ndoana ya huyo mchepuko. Ushauri(pata kivuli chake), weka mbali na nyumbani, mtumie mtu mwingine kama dada nk, awe karibu kufustilia nyendo haswa anapoenda kliniki na matembezi, utapata ukweli bila kuathiri mahusiano hapo home na mama mtarajiwa ili msiathiri hatima ya mtoto kiakili akiwa tumboni na wakati wa kuzaliwa kwani kuna pepo wa kukataliwa asiewe ndiyo makao yske hspo kwa maisha yake yote, hata utakapofahamika kuwa ni wako kwa DNA na kufanana na babu yako au wake aliyekufa zamani. Muhimu tulia.
 
Pole sana Mapengo 17
Kuna uwezekano huyo mwanamke amekufichia aibu kwa kukutafutia mtoto.

Hapo muite na msomee mashitaka yake.

Aking'angania kuwa mtoto ni wako, DNA ihusike, mkuu, ndo hapo utaamua iwapo utakua na kifua cha kutunza mtoto ambae sio wako, na kama ni wako, na kama ningekua ni mimi, namtimua kwa kosa hilo, make hata paroko atakupongeza.
 
Last edited by a moderator:
Inaonekana mwana jogoo hapandi mtungi au una mbengu changa.....hivyo mwanamke kaamua kujiongeza .
Pole sana kwa kupata mwanamke asiye muaminifu katika ndoa.
 
Mimi nipo bize na clinic my kaka ujue nakaribia kukuletea anko, Hata huu uzi nakosa lakusema, maana mtu mwenye ndoa kadi mbili si kujichosha bure, basi masingle lady itabidi wawe kadi tano lol.

Ninashukuru sana.
 
jichunguze kwanza ww unagobore au una SMG.utapata uwamuzi Wa kufanya
 
Swali la kwanza kabisa....kwa nini kadi mbili??
Inaonyesha huyu wa nje anajua mchezo wote....na anataka mtoto atambulike kwa jina lake!!!


Mimi nipo bize na clinic my kaka ujue nakaribia kukuletea anko, Hata huu uzi nakosa lakusema, maana mtu mwenye ndoa kadi mbili si kujichosha bure, basi masingle lady itabidi wawe kadi tano lol.
 
Swali la kwanza kabisa....kwa nini kadi mbili??
Inaonyesha huyu wa nje anajua mchezo wote....na anataka mtoto atambulike kwa jina lake!!!


Hakika ndio kilichonishangaza, kama mtu bado hajamaliza kustarehe anaolewa ili iweje??? Kwa nin usikae tu ukafanya yotee then ndio ukaolewa, hii si aibu ya familia sasa, mim nimekua speechless kwa hili.
 
Nadhani umepewa ushauri mzuri saana, cha kuongezea ukushatoa copy cards angalia expectation date (ED) kwenye kadi na ulinganisha na siku ambayo ali conceive ulikuwepo au ulikuwa umesafiri? However, kuwa makini saaaana coz inawezekana kweli mzee unatatizo la uzazi na wife akaaamua kutoa kiaina ili upate mtoto bila wewe kuhisi kama una tatizo la kuzalisha mtoto.....hivyo basiii kama itathibitika huwezi kuzalisha nadhanii..you know what is good for you.....
 
mbona haja sema kama majina ya mtoto yalio kwenye kadi ni sawa ?
inawezekan akdi yamtumwingine kammwekea

acheni kuhukumu
na wewe unaenda mpaka kupekua bagi lamkeo ulikua unatafuta nini ?
 
Sio ishu ya starehe....labda kachoka kukaa bila mtoto...kisha kapata mpenzi ili kutumiza lengo lake....na mpenzi kaweka masharti kwamba lazima mtoto awe 'wake'....
Hakika ndio kilichonishangaza, kama mtu bado hajamaliza kustarehe anaolewa ili iweje??? Kwa nin usikae tu ukafanya yotee then ndio ukaolewa, hii si aibu ya familia sasa, mim nimekua speechless kwa hili.
 
Hivi kuna kadi mpya za kliniki siku hizi? Kadi za Kiliniki zamani zilikuwa na jina la mtoto tu basi, sijaziona mpya zenye majina ya Baba na Mama kama hizi anazozisema huyu bwana hapa!!!!.

Tiba
Kuna Jina hadi LA mwenyekiti wa Mtaa
 
Back
Top Bottom