Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kuna kadi mpya za kliniki siku hizi? Kadi za Kiliniki zamani zilikuwa na jina la mtoto tu basi, sijaziona mpya zenye majina ya Baba na Mama kama hizi anazozisema huyu bwana hapa!!!!.
Tiba
Nawashukuru wakuu ila hatujawahi kuchelewa kupata mtoto pale tulipohitaji kuzaa, pia nawashukuru kwa ushauri kwamaana yawezekana nina matatizo bila kujijua japokuwa awali tulikuwa tunaangalia siku ya kufanya mapenzi kuwa iko salama au la hadi pale tulipoamua kuwa na mtoto.
Yaani amejitahidi kuipamba hii hadithi mpaka nimekumbuka writing skills lessons they say the last paragraphs ndizo huwa na maana ya taarifa. Kwa uandishi huu pekua vizuri utakuta na kadi ya tatu.Unaandika kwa kero kweli paragraph 6 zote ni blah blah tu.Sasa sikia wewe huyo mtoto sio wako na utakua una matatizp ya kuzalisha nenda kapime shahawa zako ujue.
Hivi kuna kadi mpya za kliniki siku hizi? Kadi za Kiliniki zamani zilikuwa na jina la mtoto tu basi, sijaziona mpya zenye majina ya Baba na Mama kama hizi anazozisema huyu bwana hapa!!!!.
Tiba
Du yaani wewe ni mzee wa miaka zaidi ya mia
Rejea original post yako hapo Juu mkuu,umesema mwenyewe kuwa mlichelewa kupata mtoto ila sasa hivi unakana tena!!....khaaa!! una nia ya kupata solution kweli???
Nawashukuru wakuu ila hatujawahi kuchelewa kupata mtoto pale tulipohitaji kuzaa, pia nawashukuru kwa ushauri kwamaana yawezekana nina matatizo bila kujijua japokuwa awali tulikuwa tunaangalia siku ya kufanya mapenzi kuwa iko salama au la hadi pale tulipoamua kuwa na mtoto.
Hivi kuna kadi mpya za kliniki siku hizi? Kadi za Kiliniki zamani zilikuwa na jina la mtoto tu basi, sijaziona mpya zenye majina ya Baba na Mama kama hizi anazozisema huyu bwana hapa!!!!.
Tiba
zipo jina la na baba na mama na elimu ya baba na mama na kazi ya baba..izo ni mpya
Asante kwa kunitoa tongotongo. Ila naona kama that is too much details kabla ya mtoto kuzaliwa au?
Tiba
Hivi kuna kadi mpya za kliniki siku hizi? Kadi za Kiliniki zamani zilikuwa na jina la mtoto tu basi, sijaziona mpya zenye majina ya Baba na Mama kama hizi anazozisema huyu bwana hapa!!!!.
Tiba
Kadi ya klinik inakuwa na jina la mama mtarajiwa na baba mtarajiwa lzm yajazwe hayo majina,yaan jina la alokupa mimba
Jaman mko wapi ke? miss chagga, Apologise lady , valentine charty , Mamndenyi Diva Beyonce BADILI TABIA christine ibrahimu, Mama Lao, @munkar First Lady na wengne wengii