Mke wangu ana Mawasiliano na Mkwe na Mashemeji wa X wake. Pia ana account ya Social Network ambayo ameniblock siwezi kuiona anachoweka huko

Mke wangu ana Mawasiliano na Mkwe na Mashemeji wa X wake. Pia ana account ya Social Network ambayo ameniblock siwezi kuiona anachoweka huko

Wewe kama umeoa basi humpendi mkeo

Huwezi shabikia mwanaume mwenzio ampe Talaka mke wake....
Kama Umeoa, utakubaliana namm kwamba mwanaume anahitaji

Heshima Toka Kwa mkewe .
UTII Toka Kwa mkewe.
Upendo Toka Kwa mkewe.
Mapenzi Toka Kwa mkewe .


Kwann ngono ni ya mwisho, Kwa sababu ngono unaweza ipata Kwa Wanawake wengine.

Ila utii Heshima, Upendo, ndio vinavyojenga Familia.


Acha kukaa na janamke kisa linakupa UCHI alafu masuala ya Msingi yanyokupa Amani na na kuonyesha uanaume wako ndan ya familiar MKEO anayechezea.


Mke wa Jamaa anawasiliana na Ndugu wa ex wakez ni waz wameachana Kwa sababu zingine na pengine hata mwanamke anamtoto huko ila kamficha jamaa, na km hana basi bado anaendelea kuliwa huko .


Pili, kufungua akaunti akamblok Mumewe, inatosha tu kumpa Talaka.

Tatu, KUENDELEA kumpost ex wake naaneno ya mahabaz ni kumdharau Mumewe, na ni wazi huyo si Mke, Bali ex anaendelea kumla.




MTOA MADAZ MPE TARAKA HUYO PIMBI HARAKA IWEZEKANVYO.
 
Kama Umeoa, utakubaliana namm kwamba mwanaume anahitaji

Heshima Toka Kwa mkewe .
UTII Toka Kwa mkewe.
Upendo Toka Kwa mkewe.
Mapenzi Toka Kwa mkewe .


Kwann ngono ni ya mwisho, Kwa sababu ngono unaweza ipata Kwa Wanawake wengine.

Ila utii Heshima, Upendo, ndio vinavyojenga Familia.


Acha kukaa na janamke kisa linakupa UCHI alafu masuala ya Msingi yanyokupa Amani na na kuonyesha uanaume wako ndan ya familiar MKEO anayechezea.


Mke wa Jamaa anawasiliana na Ndugu wa ex wakez ni waz wameachana Kwa sababu zingine na pengine hata mwanamke anamtoto huko ila kamficha jamaa, na km hana basi bado anaendelea kuliwa huko .


Pili, kufungua akaunti akamblok Mumewe, inatosha tu kumpa Talaka.

Tatu, KUENDELEA kumpost ex wake naaneno ya mahabaz ni kumdharau Mumewe, na ni wazi huyo si Mke, Bali ex anaendelea kumla.




MTOA MADAZ MPE TARAKA HUYO PIMBI HARAKA IWEZEKANVYO.
Mkuu huyo mwanamke atabadilika tu naamini ndoa yao bado ni changa sana...

Swali ni kwamba alishawahi kumuona akiwa na huyo X wake kipindi hiki yupo ndani ya ndoa....?

Au alishasikia X wake anakula tena mke wake?
 
Mambo.

Mi Ni mwanaume mimeoa muda si mrefu Sana, nampenda mke wangu, lakini changamoto ninazoziona hata raha ya ndoa siioni. Tatizo ninaloliona kwa mke wangu Kwanza Ni Mawasiliano na Mashemeji zake na Mkwe wa X wake.

Hili Jambo nimejaribu kumueleza aliache naona Mawasiliano yapo vile vile. Nimegundua Jambo lingine ana Account ya Social network ina picha Nyingi alizopiga na X wake, na ameandika maneno mengi ya mahaba kumuhusu huyo X wake anavyompenda. Kiukweli nimeumia kwa kuwa nampenda.

Hiyo account ipo active anaitumia Mara kwa Mara kuandika maneno ya mahaba anavyompenda huyo X wake. Mpaka leo nimeona maneno mengine ya mahaba.

Najikuta naumia kwanini alikubali kuolewa na Mimi ili Hali Moyo wake Bado unampenda X wake.

Nawaza na kuwazua sikupenda kuoa na kuacha Ila changamoto hii ya kuwa na Mke ambae ametunza picha za X wake na Mawasiliano na mashemeji, naona Kama ipo siku atarudi kwa X wake. Au Tuta shere(Magonjwa mengi ya zinaa).

Naomba ushauri wako, ndugu Yangu.
Unafuatilia vya nini?
 
Mkuu huyo mwanamke atabadilika tu naamini ndoa yao bado ni changa sana...

Swali ni kwamba alishawahi kumuona akiwa na huyo X wake kipindi hiki yupo ndani ya ndoa....?

Au alishasikia X wake anakula tena mke wake?
Hana haja ya kutafuta kama Ex bado anakula au lah


Kitendo Cha mwanamke KUENDELEA kumpost X wakez maana yake wanamawasiliano.

Kwa ufupi, hata ule usiku wakuamkia sherehe, walikulana
 
Hapana boss mi mfanya biashara.. sijataka kumuonyesha mke wangu Mali zangu zote Wala account zangu zote. juzi nimeingiza 26m sijataka hata kumwambia.
Hapana boss mi mfanya biashara.. sijataka kumuonyesha mke wangu Mali zangu zote Wala account zangu zote. juzi nimeingiza 26m sijataka hata kumwambia.
 
hili suala ongea na mkeo na ukiona anazidi,ita wazazi wake,akizidi ongea na viongozi wa dini na akizidi,anzisha maongezi ya kuvunja ndoa
Mahangaiko haya yote ya nin?,ushauri wangu piga chini wanawake wapo wengi
 
Mambo.

Mi Ni mwanaume mimeoa muda si mrefu Sana, nampenda mke wangu, lakini changamoto ninazoziona hata raha ya ndoa siioni. Tatizo ninaloliona kwa mke wangu Kwanza Ni Mawasiliano na Mashemeji zake na Mkwe wa X wake.

Hili Jambo nimejaribu kumueleza aliache naona Mawasiliano yapo vile vile. Nimegundua Jambo lingine ana Account ya Social network ina picha Nyingi alizopiga na X wake, na ameandika maneno mengi ya mahaba kumuhusu huyo X wake anavyompenda. Kiukweli nimeumia kwa kuwa nampenda.

Hiyo account ipo active anaitumia Mara kwa Mara kuandika maneno ya mahaba anavyompenda huyo X wake. Mpaka leo nimeona maneno mengine ya mahaba.

Najikuta naumia kwanini alikubali kuolewa na Mimi ili Hali Moyo wake Bado unampenda X wake.

Nawaza na kuwazua sikupenda kuoa na kuacha Ila changamoto hii ya kuwa na Mke ambae ametunza picha za X wake na Mawasiliano na mashemeji, naona Kama ipo siku atarudi kwa X wake. Au Tuta shere(Magonjwa mengi ya zinaa).

Naomba ushauri wako, ndugu Yangu.
Pole mkuu!

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Wewe hadi umeoa basi unaakili timamu.

unasema unampenda mkeo basi zidisha upendo ipo siku ataacha hayo mambo mkuu.

Ndoa sio mchezo mkuu...kuoa na kuacha unajitia GUNDU tu....

Tuliza akili itulie huwenda pia anakupima IQ yako inauwezo wa namna gani katika kufikilia.....ACHANA NA MHEMKO
Uenda sijaelewa, yaani mke huenda anampima akili mumewe kwa kuwa na side social account ambayo ina husika zaidi na ex-wake, hiyo hapana ni kumtetea mwanamke ambaye sio muaminifu, in short jamaa kabeba bomu anytime litalipuka.
Nb: siku zote mwanamke ni muaminifu wa hisia zake.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Usimlaum kwanini anachati nao, hujampa strict terms & conditions za ndoa yenu. Hilo picha litaisha tu hiyo ndoa ni changa unatakiwa usimame kama kichwa kulitatua hili usikimbie..mtengeneze mkeo awe vile utakavyo akisuasua make plan B. Usipalilie hii kitu itatanua moyo wako. Wake up man
Wewe ndio umemshauri sasa..jamani ndoa si lelemama...hivi mtaacha wangapi?...labda ndio hivyoo muendeleze hiyo slogan yenu ya kataa ndoaa....katika real life wenzenu maisha yanaendeleaa
 
Back
Top Bottom