james bendui
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 693
- 690
U welcome🤣🤣 disco limeingia Ngorongoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
U welcome🤣🤣 disco limeingia Ngorongoro
Nimeshindwa kuelewa hii ni compliment ama ni dongoyou're a man in a woman's body
Why some men don't want to take responsibilities?Kama sio muajiriwa, waombe ukweni kwako(mama yake kama yu hai) aende kujitizamia kwao mpaka atakapo jifungua.
Ni Complimnt kabisa....uncompromisedNimeshindwa kuelewa hii ni compliment ama ni dongo
Sema i'll take whateva you meant 😃
unatutetea sana mpaga tunakushangaaNimeshindwa kuelewa hii ni compliment ama ni dongo
Sema i'll take whateva you meant 😃
Assume mshamba_hachekwi kakwambia hiviNi Complimnt kabisa....uncompromised
unatutetea sana mpaga tunakushangaa
Inategemeana na circumstance and situation on the topic matter
sawa kuanzia leo tutakuwa tunakualika kwenye vikao vyetuSitetei
I only speak my mind
HahahaHuyu mjinga nyie mumemuelewa?
😆Huyu mjinga nyie mumemuelewa?
Sio yakoHivi mwanamke akiwa na mimba ya miezi miwili inampelekea kubadilika kabisa maana mimi mke wangu kabidilika sana yaani mpaka imefikia hatua ya kutaka kumuacha.
Mama yake kaishazaa, kaishakaa na wajawazito vya kutosha hivyo inakuwa jambo bora zaidi.Why some men don't want to take responsibilities?
Yaani akushinde wewe umpelekee usimbfu mama yake ambaye naye amezeeka kajichokea anahitaji kupumzika?
Hiyo ngoma akomae nayo ndio uanaume huo
Umenikumbusha kisa kimoja kuna mtu kwa ofisi aliwakera watu nami nikiwemo si wakanijaza upepo nikamcharaze makofi sheria inanilinda na akilianzisha wanamvaa akanyee ndoo🤣🤣🤣🤣 yaan walinigeuza chambo kisa🤰hakuna wakunigusa wale wehu sanaVitu vya kawaida hivyo,mama mjamzito hata ikitokea ameua kuna mazingira yanambeba inasomeka manslaughter!
Mvumilie tu yatapita!
Mimba sio yako mkuu .....juna mmoja anamimba yangu nimemwambia amsumbue mmewe maana namdai mil 5 hataki kulipa nimeamua nimpigie mkewe na imekuwa bahati anamimbaHivi mwanamke akiwa na mimba ya miezi miwili inampelekea kubadilika kabisa maana mimi mke wangu kabidilika sana yaani mpaka imefikia hatua ya kutaka kumuacha.