Mke wangu ana mimba ya miezi miwil lakini kabadilika sana

Mke wangu ana mimba ya miezi miwil lakini kabadilika sana

kuleta mambo ya wake zetu humu jukwaani ni ukosefu wa adabu, hivi na wake zetu wakiamua walete mapungufu yetu humu, itakuwaje? suala la mimba linajulikana kabisa kwamba mtu lazma abadilike, kila kitu kitabadilika ndani, kila kitu namaanisha kila kitu, mimba sio kipele, wewe ukipata jipu tu la siku kadhaa kadhia yake unaiona je ukibeba mimba itakuwaje, kuna wakati inabidi tuwapongeze wake zetu kwa kutubebea hizo mimba ama kama huitaki hiyo mimba, itoeni ili mkeo awe kama zamani ama tafta mgumba. stupid, ni marufuku kuleta aibu za ndani mwako upenuni, mpe pongezi na si kumsakama..sisi wengine tunatamani wabebe hizo mimba kila mwaka maana kuna gape tunapita nazo humo humo, ukiagizwa bamia aa saba ya usiku unapata visa ya kurekebisha na mambo zingine za usiku, mimba ni fursa
 
Je utaacha wanawake wangapi?

Tumia njia za kumvumilia MTU na kujua anapitia nini

Afya ya mwili huwa inaathiri AF ya Akili kwa kiwango kikubwa and vise versa is true.
 
Mfukuze! Ujauzito sio ugonjwa!!

Tandika makofi mpaka aache ujinga, ujauzito kitu gani bana!? Hata panya wanapata ujauzito!

Sijui kwanini huwa sikutani na wajinga wa aina hii, maana mimi mwenyewe ndio bingwa wa drama kweli kweli, ukianzisha movie utajuta kunijua.

Ndio maana Mungu ananiepusha sana na watu wajinga, vinginevyo Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii......

MIMI SIPANGIWI wala SICHEZEWI..... Ni jiwe KweRi kweRiii
Yaani mpaka Kuna vivyonga vinavyo zaa havileti visirani vya Bongo movies ije iwe binadamu Tena lenye miongo kadhaa ya kuidhi na akili kubwa kuliko wanyama na wadudu? So unfare and selfish inaudhi.
 
Back
Top Bottom