mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,966
- 2,634
Hadi siku anayoenda labour 🤩🤩Vipi bro hakupi mbususu? Alafu wajuzi ebu semani mimba ya miezi mingapi mwisho kumgegeda mkeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi siku anayoenda labour 🤩🤩Vipi bro hakupi mbususu? Alafu wajuzi ebu semani mimba ya miezi mingapi mwisho kumgegeda mkeo
Wajinga huwa wanakutana na wajinga wenzao. Mimi siwezi kuwa na mwanamke wa namna hii.Sijui kwanini huwa sikutani na wajinga wa aina hii, maana mimi mwenyewe ndio bingwa wa drama kweli kweli, ukianzisha movie utajuta kunijua.
Mwanamke akipata mimba na anakupenda ni raha sana.Sio yako
Hapa Jamii Forums kila mtu anamiliki Toto Muruaa wala usitutambie😆😆Kuishi na mwanamke Kuna hitaji sana Kuomba Mungu, Uvumulivu na Akili nyingi.
Nashkuru Mungu ni mwaka wa nne sasa namiliki Toto moja MURUAAAAA yaan zuri kudadeki,
Na twins juu , Aloooh wee
Kutuma wanafanya kusudiKutumwa supu ya kongoro usiku
Kitapika tapika
Kuambiwa unanuka
Kuambiwa mafuta yana harufu mbaya 🤣🤣
Asante😘😘🥰Kutuma wanafanya kusudi
Ila hii kunuka ipo kabisa
Na mafuta kuwa n harufu mbaya Sio kusudi ni Kweli.
Ulioa shetani.....Pole sana.Mwanzo nilikuwa cjui hz issue picha linaanza nimefika home usiku saa tatu nikaomba maji ya baridi ya kuoga kaweka ya moto. Nilikuwa nimechoka usiku anataka nigeuke nikamwambia nipo hovyo nimechoka na natakiwa niamke hasubui sana niende kazini siakaanza kunifunua shuka kwamba siwezi kulala kama sitageuka walau tutazamane. Nikabeba shuka nikaenda sebuleni, kabeba jagi la maji kaja kanimwagia. Aisee nikaona issue nikavaa nikaenda kulala guest. Kumbe nyuma kanifatilia akanipigia Cm nikapokea kwahyo ndo umeamua kunikimbia kwenda kwa wake zako? Nikamwambia nimeenda kulala kwa jamaa yangu akanijibu mbona nasikia mwangwi wewe umelala guest sasa ngoja tuone. Sijakaa sawa nasikia dada wa mapokezi anatembezewa kichapo. Aisee ile natoka chumbani nakuta ni wife kidogo ampasue mtu nilimtandika kofi moja mungu na Mtumie nilifikili nimeuwa. Alipo nyanyuka mbio kaenda polisi kushitaki damu zinamtoka puani cjakaa sawa polisi hawa hapa. Kufika kituoni kumbe polisi wananifahamu wanamuuliza huyu hapa tumemleta kwahyo njoo kesho kutwa tuna mpeleka mahakamani. Mwanamke kwani mm nimewaambia tuna ugonvi naomba mnipe mme wangu niende naye nyumbani. Kuja kufahamu kumbe ni mimba ina miezi mitatu.
Mzee mpaka hapo ulikuwa hujajua ni Mimba yako? 3months?Kuja kufahamu kumbe ni mimba ina miezi mitatu.
Mwanamke akibeba mimba yako kwahiari yake mwenyewe hakusumbui na hata mabadiliko yake utajikuta upo automatically kuyapokea, ila kama alikuambia hataki mimba ukamlazimisha utavuna ulichokipanda otherwise uwe na misimamo mikali sana , hekima, busara na kumpuuzaHivi mwanamke akiwa na mimba ya miezi miwili inampelekea kubadilika kabisa maana mimi mke wangu kabidilika sana yaani mpaka imefikia hatua ya kutaka kumuacha.
Anayapokea na kuya adopt kwani mamilioni kwa mabilioni ya wanawake si wanapata mimba kila karne? So hakuna kipya.Mwanamke akibeba mimba yako kwahiari yake mwenyewe hakusumbui na hata mabadiliko yake utajikuta upo automatically kuyapokea, ila kama alikuambia hataki mimba ukamlazimisha utavuna ulichokipanda otherwise uwe na misimamo mikali sana , hekima, busara na kumpuuza
Hata kama ulilazimisha as long as anakupenda everything will be smoothMwanamke akibeba mimba yako kwahiari yake mwenyewe hakusumbui na hata mabadiliko yake utajikuta upo automatically kuyapokea, ila kama alikuambia hataki mimba ukamlazimisha utavuna ulichokipanda otherwise uwe na misimamo mikali sana , hekima, busara na kumpuuza
Hapo sasa ndio uanamume....wajua hali haina control atakuchukias ujute.....ndio ilivyo wafuate wakubwa watakujuza....vumilia ndio ilivyo utaambiwa unanuka utoke ndani nyumbaHivi mwanamke akiwa na mimba ya miezi miwili inampelekea kubadilika kabisa maana mimi mke wangu kabidilika sana yaani mpaka imefikia hatua ya kutaka kumuacha.
JoanahSijawahi kuwa na mimba lakini NAHISI wanawake wanatake advantage ya kuwa na mimba kama kigezo cha kuvumiliwa tabia zozote watakazoanzisha huku wakitegemea kuvumiliwa kwa hali yao
#NoOffense
Kama hana tatizo gegeda mpaka anaenda leba,Vipi bro hakupi mbususu? Alafu wajuzi ebu semani mimba ya miezi mingapi mwisho kumgegeda mkeo
Na style ipi ni nzuri wakati huoKama hana tatizo gegeda mpaka anaenda leba,
Mmh,hizo zinakuwa ni mimba au mapepo?Mwanzo nilikuwa cjui hz issue picha linaanza nimefika home usiku saa tatu nikaomba maji ya baridi ya kuoga kaweka ya moto. Nilikuwa nimechoka usiku anataka nigeuke nikamwambia nipo hovyo nimechoka na natakiwa niamke hasubui sana niende kazini siakaanza kunifunua shuka kwamba siwezi kulala kama sitageuka walau tutazamane. Nikabeba shuka nikaenda sebuleni, kabeba jagi la maji kaja kanimwagia. Aisee nikaona issue nikavaa nikaenda kulala guest. Kumbe nyuma kanifatilia akanipigia Cm nikapokea kwahyo ndo umeamua kunikimbia kwenda kwa wake zako? Nikamwambia nimeenda kulala kwa jamaa yangu akanijibu mbona nasikia mwangwi wewe umelala guest sasa ngoja tuone. Sijakaa sawa nasikia dada wa mapokezi anatembezewa kichapo. Aisee ile natoka chumbani nakuta ni wife kidogo ampasue mtu nilimtandika kofi moja mungu na Mtumie nilifikili nimeuwa. Alipo nyanyuka mbio kaenda polisi kushitaki damu zinamtoka puani cjakaa sawa polisi hawa hapa. Kufika kituoni kumbe polisi wananifahamu wanamuuliza huyu hapa tumemleta kwahyo njoo kesho kutwa tuna mpeleka mahakamani. Mwanamke kwani mm nimewaambia tuna ugonvi naomba mnipe mme wangu niende naye nyumbani. Kuja kufahamu kumbe ni mimba ina miezi mitatu.