Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awaache tu wote wazae. Ila aandae tu bajeti ya watoto kwenda shule bada ya miaka minne hivi; bajeti ya kula huwa sio tatizo. Shule nyingi za primary siku hizi ziko kwenye 2M kwa mwaka. Kwa watoto 2; ni 4M; ataweza tu.Wakuu
Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa,ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja.
Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba.
Me nimemshauri amuache wife wake azae ila mchepuko utoe tu.
Nyie mnampa ushauri gani huyu raia?
Mkuu hebu urushe huo waraka wa serikali hapa, kwa faida ya wengi hapa JF.Mimi 2019 niligombana na wife nikajitenga kdg huko nikatembeza mashine na kujikuta nina mimba tano tofaut nimetegeshewa wote kumbe wanalia gape ile nafasi ya wife
Ghafla wife nae akanambia ana mimba nilichoka
Atlast nilitoa tatu(Mungu anisamehe) wawili wakagoma katakata
Nikarudiana na wife akazaa nikamweleza kuhusu mimba hizo mbili akaelewa life likasonga
Wale madem walioamua kuzaa walijua me na wife over walichoka wakabaki kutishia kumwambia bila kujua anajua tayali
Walitarajia kupata matumizi makubwa nimefata walaka wa serikali namna ya kuhudumia mtoto wa nje wamechoka akili
Fungua Uzi mkuuShemeji yangu aliachiwa mke wa rafiki yake awe anamsaidia wakati mume amekwenda kusoma Ulaya. Yule mama alikua na kila kitu ila hakujua kuendesha gari. Kila Jumamosi shemeji alimpleleka shopping.
Kutahamaki shemeji anamimba, nyumbani house girl ana mimba na mkewe ana mimba.
House girl alifukuzwa kazi na mke, alikomaa ofisini kwa jamaa akimwambia harudi kwao kwani alitoka kwao akiwa bikra. Ilibidi jamaa atafute chumba.
Hapo ndio anatakiwa kuonysha uanaume wake, sio anatia tu mimba halafu majukumu anakimbia, he should be responsible for his own actionsWakuu
Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa,ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja.
Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba.
Me nimemshauri amuache wife wake azae ila mchepuko utoe tu.
Nyie mnampa ushauri gani huyu raia?
Nina mwanangu nimegraduate nae,yaani tuna maliza chuo mtaani katia mimba tatu na wote walijifungua salama.
Hahahahhaha sasa taadhari anaetakiwa kuchukua ni mwanaume au wewe mwenye goli? We unajua leo upo kwenye siku zako unapeleka K bila kujali! Kwanini usimpelekee baharia siku ukimaliza bleed tu?Kwani unapostarehe bila kuchukua tahadhari unakuwa unategemea nini sijui mivulana mingine ikoje,yaani unakuta limtu halitaki mtoto lakini halichukui tahadhari yoyote
DuuhShemeji yangu aliachiwa mke wa rafiki yake awe anamsaidia wakati mume amekwenda kusoma Ulaya. Yule mama alikua na kila kitu ila hakujua kuendesha gari. Kila Jumamosi shemeji alimpleleka shopping.
Kutahamaki shemeji anamimba, nyumbani house girl ana mimba na mkewe ana mimba.
House girl alifukuzwa kazi na mke, alikomaa ofisini kwa jamaa akimwambia harudi kwao kwani alitoka kwao akiwa bikra. Ilibidi jamaa atafute chumba.
Hahahaha 4M kwa mwaka wakati shule za laki kwa mwaka zipo kibao tu😅!Awaache tu wote wazae. Ila aandae tu bajeti ya watoto kwenda shule bada ya miaka minne hivi; bajeti ya kula huwa sio tatizo. Shule nyingi za primary siku hizi ziko kwenye 2M kwa mwaka. Kwa watoto 2; ni 4M; ataweza tu.
Za bure nazo zipo..Hahahaha 4M kwa mwaka wakati shule za laki kwa mwaka zipo kibao tu😅!
Acheni kujitwisha mizigo isio na maana afterall watoto wenyewe watakuja kuwa wauza mishkaki barabarani😅
Elfu 60 kwa mwezi, mwenyewe nishapelekwa ustawi nikaambiwa hivyo.Mkuu hebu urushe huo waraka wa serikali hapa, kwa faida ya wengi hapa JF.
Za bure wameondosha sahizi Ada mwanzo mwisho kuanzia JanuaryZa bure nazo zipo..
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hahahaha 4M kwa mwaka wakati shule za laki kwa mwaka zipo kibao tu[emoji28]!
Acheni kujitwisha mizigo isio na maana afterall watoto wenyewe watakuja kuwa wauza mishkaki barabarani[emoji28]
Wote mnatakiwa kuchukua tahadhari hasa wewe mwanaume usotaka mtoto,ukiwa huwezi kuchukua tahadhari jiandae na matokeoHahahahhaha sasa taadhari anaetakiwa kuchukua ni mwanaume au wewe mwenye goli? We unajua leo upo kwenye siku zako unapeleka K bila kujali! Kwanini usimpelekee baharia siku ukimaliza bleed tu?
Sasa mie ndio nina mfuko wa uzazi au wewe? Why wanawake mnakwepa kuwa responsible? Katika wanawake niliokuwa nao ni mmoja tu ndio alikuwa keen kujua siku zake wengine wote ni mpaka niwahesabie mzunguko mimi😅Wote mnatakiwa kuchukua tahadhari hasa wewe mwanaume usotaka mtoto,ukiwa huwezi kuchukua tahadhari jiandae na matokeo