Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja, mchepuko ana ujauzito wa miezi mitatu

Mke wangu ana ujauzito wa mwezi mmoja, mchepuko ana ujauzito wa miezi mitatu

Yaani umeongea bonge la point. Kwa hiyo tuishi na wake zetu kwa akili sio vimada au wadangaji.

Kweli wanaume tunao zini na wanawake hatuna akili kabisa which means wanawake nao wanao zaa na mwanaume huyo wasitegemee mazuri maana wamekubali kuzaa na mwanaume ambaye hana akili.

Two wrongs dont make a right.


Tatizo linaanza siku nyingi ndio Mwenyezi Mungu hapa akasema na wanaume hapa akawaambia....

Mithali 6: 32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake


Na Mungu alijua akawatahadharisha wanaume watumie akili zao. Mungu anajua mwanaume mwenye kutumia akili ana uwezo wa kuzuia maafa na kukaribisha baraka, Ila siku hizi wanaume wengi sio wote, sijui hawana akili au hawataki kutumia akili🤣🤣🤣

Hata Mungu anawashangaa
 
Wakuu
Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa,ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja.
Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba.
Me nimemshauri amuache wife wake azae ila mchepuko utoe tu.
Nyie mnampa ushauri gani huyu raia?
Miezi mitatu atoe?
 
You know the kid pimping all over the world
A hundred carats got me all over your girl
YEAH, five freaks and my Gucci duffle bag
A corporate thug, I run with a Playaz Circle
I got a Field Mob that'll Disturb your Peace
Blowing Sean Jay, all we do is smoke
Finish counting my bread and I was getting some h3ad
What's up? #Grew Up Screw Up
 
Shemeji yangu aliachiwa mke wa rafiki yake awe anamsaidia wakati mume amekwenda kusoma Ulaya. Yule mama alikua na kila kitu ila hakujua kuendesha gari. Kila Jumamosi shemeji alimpleleka shopping.

Kutahamaki shemeji anamimba, nyumbani house girl ana mimba na mkewe ana mimba.

House girl alifukuzwa kazi na mke, alikomaa ofisini kwa jamaa akimwambia harudi kwao kwani alitoka kwao akiwa bikra. Ilibidi jamaa atafute chumba.
Unaupendaga huu mfano![emoji38][emoji38][emoji38]
 
Mimi 2019 niligombana na wife nikajitenga kdg huko nikatembeza mashine na kujikuta nina mimba tano tofaut nimetegeshewa wote kumbe wanalia gape ile nafasi ya wife
Ghafla wife nae akanambia ana mimba nilichoka
Atlast nilitoa tatu(Mungu anisamehe) wawili wakagoma katakata
Nikarudiana na wife akazaa nikamweleza kuhusu mimba hizo mbili akaelewa life likasonga
Wale madem walioamua kuzaa walijua me na wife over walichoka wakabaki kutishia kumwambia bila kujua anajua tayali
Walitarajia kupata matumizi makubwa nimefata walaka wa serikali namna ya kuhudumia mtoto wa nje wamechoka akili
Chaiii
 
Dah kweli uzinzi ni mzigo mazee[emoji848][emoji848][emoji848]
Ukae ukijua tukifa tunaenda kuzaliwa tena sayari nyingine kama ulikuwa mwanaume duniani unaenda kuzaliwa mwanamke and viceversa,
So tegemea hicho ulichowafanyia hao wanawake unaenda kufanyiwa the same thing, tena na wanaume tofauti hadi karma iishe [emoji34][emoji56][emoji56]
Naked truth[emoji3590][emoji3590]
 
Wakuu
Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa,ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja.
Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba.
Me nimemshauri amuache wife wake azae ila mchepuko utoe tu.
Nyie mnampa ushauri gani huyu raia?
Noma Sana
 
Wakuu
Jamaa angu kaniaomba ushauri hapa,ana mchepuko wake una mimba ya miezi mitatu na wife wake nae leo kamwambia ana mimba ya mwezi mmoja.
Yeye amepanga kuwaambia wote watoe hizo mimba.
Me nimemshauri amuache wife wake azae ila mchepuko utoe tu.
Nyie mnampa ushauri gani huyu raia?
Unzinzi una bring nothing but confussion and chaos.
And huyo jamaa alikuwa na option ya ku choose amani( atulie na mke wake) or chaos( michepuko)

Well its seems he is not a man of peace, amechagua chaos, let him deal with it
 
Tatizo linaanza siku nyingi ndio Mwenyezi Mungu hapa akasema na wanaume hapa akawaambia....

Mithali 6: 32
Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake


Na Mungu alijua akawatahadharisha wanaume watumie akili zao. Mungu anajua mwanaume mwenye kutumia akili ana uwezo wa kuzuia maafa na kukaribisha baraka, Ila siku hizi wanaume wengi sio wote, sijui hawana akili au hawataki kutumia akili🤣🤣🤣

Hata Mungu anawashangaa
Sasa jamani kweli kwa vicodom hivi wanavyovaa wanawake undhanai hiyo akili ya mwanaume itafanya kazi wakati wote.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ni mjinga na mkrugenzi wa Wajinga ni huyo Rafiki yako yaan kwa kifupi wewe na huyo msela nye wako ni pipa na mfuniko, nnaomba Mungu atakaekubali huo ushauri wa kutoa Mimba imuue
 
Mimi 2019 niligombana na wife nikajitenga kdg huko nikatembeza mashine na kujikuta nina mimba tano tofaut nimetegeshewa wote kumbe wanalia gape ile nafasi ya wife
Ghafla wife nae akanambia ana mimba nilichoka
Atlast nilitoa tatu(Mungu anisamehe) wawili wakagoma katakata
Nikarudiana na wife akazaa nikamweleza kuhusu mimba hizo mbili akaelewa life likasonga
Wale madem walioamua kuzaa walijua me na wife over walichoka wakabaki kutishia kumwambia bila kujua anajua tayali
Walitarajia kupata matumizi makubwa nimefata walaka wa serikali namna ya kuhudumia mtoto wa nje wamechoka akili
Aisee kuna vichwa vina matukio hata Shetani anaogopa
 
Mimi 2019 niligombana na wife nikajitenga kdg huko nikatembeza mashine na kujikuta nina mimba tano tofaut nimetegeshewa wote kumbe wanalia gape ile nafasi ya wife
Ghafla wife nae akanambia ana mimba nilichoka
Atlast nilitoa tatu(Mungu anisamehe) wawili wakagoma katakata
Nikarudiana na wife akazaa nikamweleza kuhusu mimba hizo mbili akaelewa life likasonga
Wale madem walioamua kuzaa walijua me na wife over walichoka wakabaki kutishia kumwambia bila kujua anajua tayali
Walitarajia kupata matumizi makubwa nimefata walaka wa serikali namna ya kuhudumia mtoto wa nje wamechoka akili
Waraka unasemaje Mkuu?
 
Lea tuu Bro maana wakati una-jigging matokeo yake huwa yako wazi. Ukiangalia familia za kizamani mnaweza kuta watoto wako kumi au zaidi na hata wa nje wanaweza kuwepo na wote wakalelewa ipaswavyo. Ila siku hizi watu wamekua waoga sana na visingizio viiiiingi.
 
Mimi 2019 niligombana na wife nikajitenga kdg huko nikatembeza mashine na kujikuta nina mimba tano tofaut nimetegeshewa wote kumbe wanalia gape ile nafasi ya wife
Ghafla wife nae akanambia ana mimba nilichoka
Atlast nilitoa tatu(Mungu anisamehe) wawili wakagoma katakata
Nikarudiana na wife akazaa nikamweleza kuhusu mimba hizo mbili akaelewa life likasonga
Wale madem walioamua kuzaa walijua me na wife over walichoka wakabaki kutishia kumwambia bila kujua anajua tayali
Walitarajia kupata matumizi makubwa nimefata walaka wa serikali namna ya kuhudumia mtoto wa nje wamechoka akili
Duhh[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom