Mke wangu anadai niifukuze familia ya kaka nyumbani

Shemeji mtu anakaa sebuleni na night dress? Unamtoaga out (peke yenu) kunywa bia? Mkeo ana haki ya kulalamila na usipoangalia utampindua bro wako.

Tafuta hela huyo shemeji akapange kwingine kama una nia ya dhati kabisa kunusuru ndoa yako.
 

Bila shaka wewe ndiye mkewe wa @navin-govind kwa kuwa mmekuja kulianika wanajamvi tuwashauri si vibaya tukachangia mawazo yetu:

1. Mume na shemeji yako mnapotea kama hamjapotea tayari.
2. Mtu mzima halelewi, ana kila kiungo, akili anayo, muda anao kwa nini alelewe?
3. Hiyo pesa mnayotumia kumlea muongezeeni kma ipo nyingine mpeni mtaji aanze kujishughulisha ailishe familia yake mwenyewe.
4. Gharama za shule za watoto, wasaidieni hadi mwisho.
5. Msisite kumsaidia kila atakapokwama huyo shemeji mtu na familia yake.
6. Mawifi mmalize uhasama, kaeni muongee myamalize.
7. Mawasiliano yote ya maendeleo ya familia yafanyike baina ya mawifi.


OVA. Jamaa unamla shemeji yako sisi sio watoto wadogo, na lazima hiyo dhambi ikutafune bwege wewe.




Mtanikuta zimbabwe.
 
Huyo dada anachofanya ni kama kumshukuru shemeji yake kwa mema anayomfanyia yeye na watoto wake!!! Ebu tuache kuwa na negative perceptions.....unafikiri kuishi nyumba ya watu ni kitu rahisi eeenh????
Swadaqta mkuu sijui nisemeje
Hii coment umeitoa
Kiusahihi sasa tena kwa fikra
Pana sanaaa hakuna jambo gumu kama kuka kwa mtu asee
Tena anailea familia yako asee sema watu fikra hasi ndo znmejaa
Hongera dada
 
Huyo dada anachofanya ni kama kumshukuru shemeji yake kwa mema anayomfanyia yeye na watoto wake!!! Ebu tuache kuwa na negative perceptions.....unafikiri kuishi nyumba ya watu ni kitu rahisi eeenh????
Jamaa kasema hata zaman mke wake alikuwa hampi hizo huduma
Zaidi ya dada wa kazi tu
Sasa watu sijui hawaoni huo msitari!
Watu wamekazana tu anaingilia majukum sio yake akat jamaa
Amekiri dada wa kaz ndo alikuwa
Akilfanyia hayo
Ya kumfungulia geti
 
Mkeo ana matatizo ila na wewe nae unamtoaje out shemeji unamwacha mke?
Kuna watu coment zenu short
Ila za kifikra sanaa
Huwa nakuelewa dada lake
Hapo kote kuna shida.
 
Swadaqta
 
Swadaqta
 
mwambie shemeji mwisho saa mbili awe ameshalala.asikufungulie geti.na mkeo mwambie hapo shemeji haondoki kama vipi aondoke aone nani atachekwa na dunia .fala sana asikutafutie dhambi bure.familia ya ndugu yako iteseke kisa mtu mmoja akwende huko
Sawa
 

Mleta mada anashangaza sana ati hataki familia ya kaka ake isambaratike wakati ya kwake iko kwa hati hati ya kusambaratika. Huyo Shemeji ni sawa na kukaribisha pepo na inawezekana ana pepo LA jela angalia usije ishia jela na wewe. Usimlaumu mkeo ati ana roho mbaya, mkeo hana roho mbaya na yeye anatetea familia yake. Mtafutieni cha kufanya huyo Shemeji kama hawezi akakae na wazazi wako akafanye hizo heshima huko wewe baki na watoto
 
Hahaha hahaha utamfanyaje
Na ndo kashamtengea[emoji23]
 
Swadakta
 
Fact
 

Mkeo kesha baini "mkakati OVU" wa shemejio ambao wewe wala hujashtukia na huonyeshi kushtuka hata tone pamoja na flirting zote hizo.

HUYO SHEMEJI ANATAKA KULALA NA WEWE.

Msikilize MKEO Kwakua Mkeo yupo sahihi kwa asilimia 100%.

Wanawake wanajuana katika mbinu za kutongoza na wanajuana kutambuana hisia zao kirahisi sana.
Mke wa kaka yako hapaswi kukaa hapo KWAKO muda wote huo. NI KUJILETEA MATATIZO.

Mtafutie Mradi na nyumba ya kupanga aondoke hapo home yeye na watoto wake, akakae kwake.

Mambo ya kuletewa Maji ya kuoga. Ni kama unalialia kua ungetaka uwe unapelekewa Maji. Kwanini unakuja usiku kila siku.?
Mambo mengine uangalie mwenyewe kama yako na tija ama la?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wanasema mke wako ana roho mbaya. .
Ila samahani tu, mi mwenyewe siwezi kuishi na familia ya shemeji yangu kwa miaka 7. .

Kwa nini hasingeenda kuishi kwenu ambapo ni ukweni kwake?
Afu mwanamke ajishugulishe kutafuta chakula, wewe utafute hela za ada za watoto wake na mahitaji
 
Duuuh pole sana. Ila mke wako ana visa, na hajui thamani yako kwake.
Shemej naye apunguze speed, ili muone kama zle uduma anazokupa kama mkeo ataweza kukupa ili wivu uishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…