Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Yaani amfukuze mke wake yeye aishi na shemeji yake huo utakuwa ujinga. Kinachotakiwa kama wazazi wapo wampeleke huyo mwnamke huko akawasaidie yeye abaki na watoto wa kaka yake, lasivyo nyumba itakuwa inawaka motoFukuza yeye hana adabu ufukuze ndugu zako huko mkeo ovyo saaana mwambie mi sijapenda kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani uko mbioni kumla shemeji. Kwasababu kwanza yeye atakua anakutaka, maana huenda kabla ya mme wake kufungwa alikua hamfanyi haya yote kwa mmewe
Pili kuna uzaifu fulani umeonyesha mbele yake kuhusu mkeo sasa anataka achukue hiyo advantage umtafune.
Hawa wote ambao wanasema huyu dada anaroho mbaya aithani alishaona mbele.
Ndg majibu umesha yapata.Ongeza na ya kwako kama mwanaume na baba wa familia, nusuru familia ya kakako awakute mkiwa na ule umoja aliowaachia,heshima,amani na upendo.Mungu ukutangulie kwani si rahisi!!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
4. Punguza mazoea yaliyopitiliza kwa shemeji yako, maana mnakoelekea utamla kabla kifungo cha jamaa hakijaisha au utaanza kumwonea wivu siku akipata lijamaa (kumbuka nae n binadamu mwenye hisia)
Kwani huyo mke wa kaka yake ni ndugu yake?Fukuza yeye hana adabu ufukuze ndugu zako huko mkeo ovyo saaana mwambie mi sijapenda kbs
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha... Shemeji anataka kulipa fadhila...Kwa awali tu nimegundua mkeo sio romantic kabisa ila ana wivu sana now tokana na treatmeant unayopewa na shemeji yako na jinsi unavyoipokea na kuinjoy hilo. Na kwa jicho la tatu ni kuwa shemeji yako ana hamu ya kuguswa baada ya kukaa long time bila huduma ya ndugu aliepo jela hivyo anatengeneza mazingira umle wewe na si mtu baki huko nje kuepusha fedheha. Ni ngumu kuelezea hilo kwako ila kwa vitendo tu...anataka msaada!
Kibinadamu sio kosa kukirimiwa ila kimazingira uliopo ni kosa mkuu hasa kama imefikia mnaitana na pet names. Hizo bonus anazokupa shemeji zinaweza kuwa kwa nia njema isipokuwa zinaleta picha tofauti kwa mkeo na kwa vile ye ndio mwenye mji lazma awe mkali maana asilimia 80% ya majukumu yake yamepokelewa na wifi yake katika hali ya kustaajabisha! Mkeo ana haki ya ku claim power yake.
Ongea na shemeji yako apunguze mazoea ya kuzidi najua ana nyege sana na dume lililo jirani ni wewe. Fanya kuongea nae mkiwa mbali at least aelewe hio hali inaleta mgogoro, ili mkeo nae apate amani, aione nafasi yake kwako zogo liishe.
Pia mkumbushe shemeji atambue nafasi yake ni kama mkimbizi tu hapo mjengoni na si vinginegyo.
Na kwa nini awahi kukupakulia chakula? asubiri mume wake atoke jela ndiyo atoe hiyo huduma,na pia mkeo anakuwa wapi mpaka unachotewa chakula? kuna shida mahali pia ww unamchukuaje shemeji bila mkeo kwenda baa? maswali ni mengi.Mwambie pia shemeji ako aache kuvaa night dress siting room, awe anavaa kipindi cha kulala tu. Pia anakiwa ajishushe tu, kwan hapo c kwake na asikuonyeshe mahaba zaidi hizo kaxi inabidi azifanye mkeo mwambie mkeo pia ajiongeze pia, mbaya zaidi wanawake huwa hawawezi ishi pamoja hilo nalo ni tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀 WAKAE KWA KUTULIA.Ila mwambieni ukweli shemejie nae kazidisha,unajua unapofika kwa watu unatakiwa Ku behave kwa mujibu wa maisha aliyoyakuta sasa na yeye huyo bi Dada kazidi kujitia tia kwa shemejie,kujikalisha sebuline na night dress kwa shemeji yake si picha nzuri,ipo siku jamaa yenu hapa ataja sema shetani alimpitia,yeye kama baba anatakiwa kiyakemea yote mbaya ili hao wanawake waishi kwa amani humo ndani sasa akiwa lege lege tutarajie ipo siku atateleza tu maana speed ya shemeji si ya kitoto wallah,kumpakulia chakula mume wa mtu inauma jamani wee! Mimi kwa kweli sitaki kabisa hiyo kitu bora mwanaume apakue mwenyewe maana kwenye kuinama kuvuta hotpot waweza pitisha vijimaziwa vyako kwa bahati mbaya kwenye mkono wa mume wa mwenzio mambo yakawa hovyo hovyo!
NYUMBANI KARIBUNI ILA MKIFIKA KAENI MBALI NA WAUME ZA WATU.
Sent using Jamii Forums mobile app
huwez jua labda katangulia mbele za haki…last activity 2019Lete feedback