Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Sidhani huyo anakupenda ndiyo maana anakwambia ufanye hivi tena hapo anajiachia haswaa hadi unahamasika kupiga shooKuna single mother naipiga, hua ananiambia kabisa nataka unifanyie hv na hv kwenye sex, kwahy huyo n malaya?
Kwanza kama hufahamu kama umemridhisha au la inaweza kuwa kweli kwasababu kwa mwanaume mwanamke akikojoa lazima unafahamu na unajua. Na kama anasikia raha mwanamke unajua kabisa kwamba huyu imekolea ukifeli hapa mkuu inakua shida.Habarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Sasa hilo ndio tatizo lenu wananchi, yn demu akiwa free kwako mnaanza kumuona malayaSidhani huyo anakupenda ndiyo maana anakwambia ufanye hivi tena hapo anajiachia haswaa hadi unahamasika kupiga shoo
Asante tumeongeza zana za kuwanyooshea kumbe inawatesa hivyo, Lamomy tunza hiiKwa mwanaume kuambiwa na mkeo humkojozi, wanawake huwa hawaelewi hili suala ni kama umempiga mtu na kitu kizito kichwani kama tani 7 hivi.
Unadhalilika kwa hali ya juu sana, please msitumie haya maneno kwenye ugomvi.
Sio woteAsante tumeongeza zana za kuwanyooshea kumbe inawatesa hivyo, Lamomy tunza hii
Tulia basiSio wote
Nimefurahi sana kujua namna wanavyoteseka kumbe wanachukuliaga serious tunayowaambiaHuyo muhanga 😂😂😂
Yani wewe madam utakua kamshangazi Fulani hivi lakini mume wako anafaidi sana maana unajua Hadi unakeraMpakie mcongo.....
Umuache uende wapi na wewe, kidogo tu unasusa.
Kama kweli limetokea, basi kuna tatizo kubwa.Habarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Mwanangu unamgonga vya utosi tu🤣🤣🙌🏻🙌🏻Mkuu kama ulimuoa ulikuta sio bikra ujue ulioa malaya na ukweli ni kwamba your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
Hiyo inawauma kinouma, au umwambie kibamia haki atajitema mate na kujisonya mpk anaondoka kwenye uso wa dunia 🤣🤣🤣Nimefurahi sana kujua namna wanavyoteseka kumbe wanachukuliaga serious tunayowaambia
MAWASILIANO ZERO, HUWA HAMUAMBIANI KITU GANI MWENZAKO ANAPENDA KUFANYIWA KITANDANI?Habarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Nimetulia kaa maji kwenye kijikoTulia basi
Nyoo ulivyo kazania afu ukute mtu ata hajali si utajinyonga kwa kamasi weyeeNimefurahi sana kujua namna wanavyoteseka kumbe wanachukuliaga serious tunayowaambia
Umeshaweka sharti mwishoni. Ushauri utakaopewa hautakufaa. Dunia hii ukiwaza sana kuhusu hali ya watoto itakuwaje hakuna atakayekuonea huruma kwa mikasa unayopitia.Habarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Hao ni wajinga tu, hivi kweli Mbaga Jr ina-make sense kulea bao la mwanaume mwenzako?Sasa ambao wameoa single mother 😂