Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Mke wangu anadai simridhishi kitandani

mwanaume wa kweli, unahakikisha unamkojoza kisha wewe ndo unamaliza. kwani wewe miaka yote hiyo hujui kama unamridhisha AU humrithishi? huo kwako ni udhaifu kutokujua hilo mapema
acha kupanic tafuta solution. Zipo
una umri gani?
Unachokisema ni ukweli mtupu✅
Ni jukumu la mwanaume kujua mapema kama mpenzi wako anafika kilele na kama hafiki ujue nini cha kufanya😪
Zaidi inashauliwa pia mwanamke awe wazi na amwambie mumewe ni wapi ukikaza spana bomba litamwaga maji💦
 
Kwa mwanaume kuambiwa na mkeo humkojozi, wanawake huwa hawaelewi hili suala ni kama umempiga mtu na kitu kizito kichwani kama tani 7 hivi.

Unadhalilika kwa hali ya juu sana, please msitumie haya maneno kwenye ugomvi.
Yaani maana yake aliwahi kuridhishwa au yupo anayemridhisha ila sio mumewe. Huyo ni WA kuacha aseee
 
Mkuu pole Sana but take it as a lesson. Utofauti wa huyo shem na wengine ni kafunguka. Swala la kukojoa kwa ke ni mahaba kwa ujumla na sio penetration km wadau wengi wanavyosisitiza Hadi kushauri mcongo. Jua namna ya kuzitumia vema parts za mwili wake, kwa mtiririko mzuri na kwa muda wa kutosha. Most men ni wabinafsi ktk mahaba na bahati mbaya hua hawajui sayansi ya orgasm ya ke wakidhani idadi ya mabao ndio kuridhisha. Be ready to learn. Waweza hata kutumia mitandao mf. YouTube mcheki Alex Grendi, Helena Nista, Marni your personal wing girl Kevin Anthony & Celine Remy wanaweza kukusaidia sehem ya kuanzia, as long as ni mke wako huna budi kumridhisha.
Hivi ndo wanaume tulivyo🤝
 
Shukuru Mungu kafunguka Japo kwenye uhalisia inaweza kuonekana chai ya moto
Wengi wanampotosha muomba ushauri. Kwa sisi watu wazima, hiyo mwanamke ni mzuri sana kwani kakuambia mkiwa wawili. Baada ya kununa na kujiliza humu, ni vyema mkae chini na kujadili nini cha kufanya ili aridhike.

Hajakudharau, mbaya angesema mtaani na ikufikie ila kama mmeongea wawili ndani hilo ni la kifamilia.
 
Ni watu wachache sana wenye kukubali kuambiwa ukweli,binafsi napenda sana kuambiwa ukweli,sipendi sifa za kijinga na ninapenda kujifunzia Kwa wale wanao nikosoa.


Humridhishi huo ndo ukweli chukua hatua,ulitaka akasemee ziwani aende na mamba!?
 
View attachment 3088963nakumbuka back in time nilikuwa mpiga nyeto machachali sana kudemu aliniambia unaume mzuri lakini dhaifu sana nilijisikia vibaya sana ...sikula siku nzima

najua hali unayopitia kaka mkubwa pole sana tafuta tiba ikiwezekana uwe unakula jack daniel kidogo kabla ya show
 
Afu lawama zote tunawasukumia wao
Kama anataka mke wa kudumu nae kwa ndoa huyu ni sahihi asilimia 85
Pia akumbuke yeye sio wa kwanza kuambiwa hivyo kwani wengi wanaume changamoto hii tunahusika nayo kikubwa atafute solution ili atatue tatizo ambalo litamfanya mwanamke wake ampende daima kwani mumewe atakuwa amejali hisia zake
 
Mkuu miaka yote hiyo haujajua tu formula? Ukikutana na mwanamke/mke/mchumba achana na malaya, hakikisha unamkojoza kwanza! Usiingize mb** kwanza, tumia vidole, ngumi, jembe, mbao, nyundo, misumari,vijiko, tofali vyovyote vile ilimradi akojoe ma aridhike kwanza! Akishamaliza sasa ndiyo zamu yako kuridhika! Hata ukipiga kimoja fresh.. kwasababu yeye atakuwa amesharidhika
 
Wala haihitaji ushauri kama miaka 3 hajapata alichoijia kwako

Mpe mkono wa heli nenda ustawi ulee mtoto kupitia ustawi wa jamii

Mwache akapate kwingine kile moyo wake unapenda
 
Sasa kaa nae chini
Muongee nini anapenda nawe unapenda
Muyatende

Mujaribu mapya yapo mengi, ingia online muyasome. Videos za mafunzo zipo nyingi pia YouTube.

Maisha aendelee, Furahia amekuambia ukweli.

Hongera sana kuwa na mke mwema, usijisikie vibaya. Kubali kubadilika utamkuta ulikuwa haupati ile raha ya cloud 9.
Ndio maana ni muhimu wana ndoa kuchepuka....
 
Sio kitu tu. Nna experience ya kutosha. Tatizo wanaume zile zuga zetu za aaahhh ahhhhhh mnaona km kweliiii tumefikaaaaa. Kumbe zuga tu zile, kumsaidie mwaname amalize akuondolee kero.
Ni wachache sn wanaoweza kumaliza kwa pamoja...na ile ina raha yake sana.
Unajua wanawake tunahitaji affection sana, tofauti na wanaume, mwanamme anaweza akipata joto la uke kdg tu akakojoa na akawa kesharidhika.
Na ndio maana wanawake hatuishi kuumwa viuno, mikojo imetukwama mnashindwa kuikwamua
Yaaan bora umesemaaa...hatuwezagi kusemaa
 
Pole sana broh. Muhimu sio kukata tamaa na tambua ni vizuri amekuwa muwazi kwako hivyo tambua la msingi ni kufahamu unakosea wapi??. Mwanamke anaweza akakojoa (kifika kileleni) kwa kutumia mbinu chache tu bila hata ya penetration just foreplay (labia Majora, labia minora, G-spot). Kuingiza uume na kutoa haimaanishi unafanya vizuri so ni vizuri wakati wa sex mkasemezana.​
 
Back
Top Bottom