Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Basi jitahd umridhishe. Madhali kakwambia ndio anakutaka bado huyo na anataka kuridhishwa na wewe na sio mtu mwengine.
Note: Kumridhisha mwanamke ni kumkojoza na sio kusuguuuuuuwaaaaa weeeeee mpk pakatoka cheche za moto. Unaweza wewe ukaenda hata round 4 na mwanamke akawa hata hajafika mahali anaona unampa kero tu.
We hushangai kuna wanawake wana mahusiano na wanawake wenzao na wanadumu tu, unadhani wanatiana matango!? Issue ni foreplay, tafuta namna ya kumkojoza mpk a-vibrate au apoteze faham japo dakika 1. Na ikiwezekana akwambie hasa nini utapomfanyia ndio ataridhika.
Naona kama una kitu🤔
 
Mwanamme ukiambiwa na mwanamke wako hujamridhisha umefanya makosa makubwa mawili.

1. Hujamridhisha.
2. Hujajua kuwa hujamridhisha mpaka uambiee naye.

Inatakiwa hata usipomridhisha ujue wewe kwanza kwamba hujamridhisha.

Yani ikibidi ujue huyu mwanamke sitamridhisha kabla ya game ujiandae kiufundi zaidi usituangushe kiumeni.
 
Tatizo unamridhisha mtu kwa kutumia dawa inayodumu kwa muda halafu ukute ana mtu anaemridhisha na hatumii dawa aani always yuko fit,naona hilo litakuwa tatizo kwangu
Hakuna cha dawa wala nn, na hakuna mwanamke asiyekojoa trust me, mkeo anakupenda sana na lemgon ake naamini ni Kutaka hii raha awe anaipata nyumbani.
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
We mpige katerero ata sema asante bebe😆😆
 
Naona kama una kitu🤔
Sio kitu tu. Nna experience ya kutosha. Tatizo wanaume zile zuga zetu za aaahhh ahhhhhh mnaona km kweliiii tumefikaaaaa. Kumbe zuga tu zile, kumsaidie mwaname amalize akuondolee kero.
Ni wachache sn wanaoweza kumaliza kwa pamoja...na ile ina raha yake sana.
Unajua wanawake tunahitaji affection sana, tofauti na wanaume, mwanamme anaweza akipata joto la uke kdg tu akakojoa na akawa kesharidhika.
Na ndio maana wanawake hatuishi kuumwa viuno, mikojo imetukwama mnashindwa kuikwamua
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
cha kujiuliza unaweza jirekebisha
Kama huwezi achana
 
Sio kitu tu. Nna experience ya kutosha. Tatizo wanaume zile zuga zetu za aaahhh ahhhhhh mnaona km kweliiii tumefikaaaaa. Kumbe zuga tu zile, kumsaidie mwaname amalize akuondolee kero.
Ni wachache sn wanaoweza kumaliza kwa pamoja...na ile ina raha yake sana.
Unajua wanawake tunahitaji affection sana, tofauti na wanaume, mwanamme anaweza akipata joto la uke kdg tu akakojoa na akawa kesharidhika.
Na ndio maana wanawake hatuishi kuumwa viuno, mikojo imetukwama mnashindwa kuikwamua
Uko sahihi mawasiliano ni muhimu siyo syota syota kama jogoo 🐓
 
Ni jambo la kawaida kwa wanandoa kupitia changamoto kwenye maisha yao ya ndoa, hasa katika suala la mahusiano ya kimapenzi. Ni muhimu sana kujaribu kuelewa na kutatua tatizo hili kwa njia ya mawasiliano yenye ufanisi na heshima.

Cheki video fupi HAPA
Kuna mambo kadhaa ambayo unaweza kufanya:

1. Ongea kwa Ufungwa:
Chagua wakati muafaka: Chagua wakati ambapo nyote mko watulivu na mnaweza kuzungumza bila kuvurugwa.
Eleza hisia zako: Mwambie mke wako kuwa unamjali sana na unataka kuboresha uhusiano wenu.
Sikiliza kwa makini: Mpe nafasi ya kuelezea hisia zake kwa undani bila kukatizwa.
Epuka kulaumiana: Zingatia kutatua tatizo badala ya kulaumiana.

2. Jaribu Kuelewa:
Tafuta sababu: Jaribu kuelewa ni nini hasa kinachomfanya mke wako ahisi hivyo. Je, kuna mabadiliko yoyote katika maisha yenu ambayo yanaweza kuwa yanachangia?
Uliza maswali wazi: Uliza maswali ya wazi ili kuelewa mahitaji yake vizuri zaidi.
Tumia lugha yenye heshima: Epuka kutumia maneno ambayo yanaweza kumuumiza au kumfanya ahisi kudharauliwa.

3. Tafuta Msaada wa Kitaalamu:
Mshauri wa ndoa: Mshauri wa ndoa anaweza kukupa zana na mbinu za kuboresha mawasiliano na uhusiano wenu.
Daktari: Ikiwa tatizo lina mizizi ya kiafya, ni muhimu kushauriana na daktari.

4. Jifunze Kitu Kipya:
Soma vitabu: Kuna vitabu vingi vinavyozungumzia kuhusu maisha ya ndoa na jinsi ya kuimarisha uhusiano wa kimapenzi.
Tazama video: Kuna video nyingi za kielimu mtandaoni ambazo zinaweza kukupa miongozo.
Ongea na marafiki: Ongea na marafiki wa karibu au ndugu ambao umewafanya kuwa na ndoa yenye furaha.

Mambo ya kuzingatia:
Angalia kwa umakini jifunze kwenye video hii HAPA

Usipoteze matumaini: Matatizo katika ndoa ni ya kawaida, na kwa mawasiliano mazuri na juhudi za pamoja, unaweza kutatua tatizo hili.
Usijilinganishe: Kila mtu ni tofauti, na kile kinachomfanya mwenza wako afurahi kinaweza kuwa tofauti na kile kinachomfanya mtu mwingine afurahi.
Jipende mwenyewe: Ni muhimu kujipenda na kujitunza ili uweze kuwa mwenzi bora.
Kujua zaidi nicheki HAPA
 
Mkuu this is serious ase! Shida yangu ni mtoto tu maana nmeshaona hakuna haja ya kukaa na mtu miaka mitatu hasemi shida yangu na kibaya zaidi aniambie tangu akutane na mimk kwa mara ya kwanza sikuwahi kumridhisha yaani directly anamaanisha sikuwahi kumkojoza inamaana kuna mtu ambae huwa anamridhisha.
Ujumbe wake umeuchukulia in a negative way,unadhani ni ajabu mwanamke kukaa na mwanaume asiyemridhisha hata Kwa miaka 5 bila kumwambia?mkeo ni jasiri Sana usimuache, unadhani ni rahisi Kwa mwanamke kumwambia mwanaume hamridhishi?
 
Mkuu this is serious ase! Shida yangu ni mtoto tu maana nmeshaona hakuna haja ya kukaa na mtu miaka mitatu hasemi shida yangu na kibaya zaidi aniambie tangu akutane na mimk kwa mara ya kwanza sikuwahi kumridhisha yaani directly anamaanisha sikuwahi kumkojoza inamaana kuna mtu ambae huwa anamridhisha.
Wenda hakukutana na huyo jamaa miaka hiyo kaja kukutana nae kabla hajakuambia. Amekanywagwa kisawasawa akaona msela huna jipya.

Jaribu kuangalia simu yake kuna mengi utagundua. Kwa hayo maneno Possiblity ya kwamba either amepigwa au alipigwa au anapogwa ni zaidi 90%
 
Wenda hakukutana na huyo jamaa miaka hiyo kaja kukutana nae kabla hajakuambia. Amekanywagwa kisawasawa akaona msela huna jipya.

Jaribu kuangalia simu yake kuna mengi utagundua. Kwa hayo maneno Possiblity ya kwamba either amepigwa au alipigwa au anapogwa ni zaidi 90%
Simu aachane nayo itampa stress halafu atajibiwa mbovu zaidi atamwambia unashindwa kuchimba mgodi ukiichunga simu yangu ndiyo utaweza kuchimba mgodi atatue hili tatizo mbona ni kitu rahisi sana
 
Back
Top Bottom