Mpaka kagundua humridhishi inamaanisha kapata wa kukulinganisha na wewe.
Shukuru Mungu kakakwambia kweli. Kuna options mbili, kufanya jitihada umridhishe, hii si lazma kwa phyisical kitombo maana hapo ulipofikia ndio majaaliwa yako huna maajabu zaidi, nogesha na vi foreplay nakshi nakshi za kumfyonza na kumnyonya kimahaba sio kama muumiani mnyonya damu.
Option ya pili ni kumruhusu aende kiroho safi ukae ukijua mmeachana, maana huyo kama hafanyi tayari ni swala la muda atafanywa ili aridhike.
Kuna wakati ni heshima zaidi kukubali kushindwa kuliko kung'ang'ania usiyoyaweza kuishia kudhalilishwa.