raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Basi aniachie mmApate masafura ya midomo kisha kumridhisha Mwanamke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi aniachie mmApate masafura ya midomo kisha kumridhisha Mwanamke?
Nime mpa ushauri huu kasema ni upuuzi
🤣🤣🤣Basi aniachie mm
Ndio maana nikampa ushauri awe anailamba tu kama vipi 😄🤣🤣🤣 Huyu kaja kutuchora Mkuu!
Haiwezekani amtoe mtoto wa watu kwao halafu hajui namna ya kumuhudumia haja zake.
Hii inategemea na yeye analichukuliaje tendo.ujisikie unamke mwema
Kuridhika kwamwanamke ni mambo mawili tu
(1)Jitahidi umkojoze
(2)Sugua kashata zichemke zikauke ...utanikumbuka
Mke itaneni nje kwenye harusi na matukio mbalimbali ukiwa mchumbani namkeo peleka shambalizi lamana Tena chukulia kahaba ukiweza
Za kuambiwa achanganye na zake. Mpaka hapa ameshapata the way forwardNdio maana nikampa ushauri awe anailamba tu kama vipi 😄
Anataka awe anakushindilia katika mapaja yake ili umnyonye. Kataa, mwanamke kukutaka umnyonye ni dalili za kukudharauHabarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Halafu humo ndani kuna nyama nyama zinazo washa washa,mke akisafisha mgodi anazigeuza direction ndiyo maana mdau ameshauri usimamie kama unavyo endesha baiskeli kwenye mlima, hahaha 😂ujisikie unamke mwema
Kuridhika kwamwanamke ni mambo mawili tu
(1)Jitahidi umkojoze
(2)Sugua kashata zichemke zikauke ...utanikumbuka
Mke itaneni nje kwenye harusi na matukio mbalimbali ukiwa mchumbani namkeo peleka shambalizi lamana Tena chukulia kahaba ukiweza
Mkuu this is serious ase! Shida yangu ni mtoto tu maana nmeshaona hakuna haja ya kukaa na mtu miaka mitatu hasemi shida yangu na kibaya zaidi aniambie tangu akutane na mimk kwa mara ya kwanza sikuwahi kumridhisha yaani directly anamaanisha sikuwahi kumkojoza inamaana kuna mtu ambae huwa anamridhisha.🤣🤣🤣 Huyu kaja kutuchora Mkuu!
Haiwezekani amtoe mtoto wa watu kwao halafu hajui namna ya kumuhudumia haja zake.
Mkuu this is serious ase! Shida yangu ni mtoto tu maana nmeshaona hakuna haja ya kukaa na mtu miaka mitatu hasemi shida yangu na kibaya zaidi aniambie tangu akutane na mimk kwa mara ya kwanza sikuwahi kumridhisha yaani directly anamaanisha sikuwahi kumkojoza inamaana kuna mtu ambae huwa anamridhisha.
Women huwa hawamaanishi wanachokisema.Mkuu this is serious ase! Shida yangu ni mtoto tu maana nmeshaona hakuna haja ya kukaa na mtu miaka mitatu hasemi shida yangu na kibaya zaidi aniambie tangu akutane na mimk kwa mara ya kwanza sikuwahi kumridhisha yaani directly anamaanisha sikuwahi kumkojoza inamaana kuna mtu ambae huwa anamridhisha.
Watu wanadhan tendo la ndoa ni nje ndani, wasijue kuna left and right movements piaHakuna mwanaume asiyeweza kumfikisha mwanamke.
Anakosa maarifa Tu .