Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Kwanza kama hufahamu kama umemridhisha au la inaweza kuwa kweli kwasababu kwa mwanaume mwanamke akikojoa lazima unafahamu na unajua. Na kama anasikia raha mwanamke unajua kabisa kwamba huyu imekolea ukifeli hapa mkuu inakua shida.
Uhsauri kaa chini muulize yeye anataka nini akulezee kisha jaribu hakuna anayeyushushwa duniani anajua kutomba tunajifunzia.....ukiweza kumridhisha tafuta mchepuko umfanye kama hivyo halafu tegesha ili akukamate i'ts called payback cause
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Kama kweli limetokea, basi kuna tatizo kubwa.

Chukulia jambo hili kiume zaidi kwa sababu unavyotutaka kukushauri juu ya watoto pekee bila kuunganisha jambo lote, tutakudanganya, haitawezekana, ushauri hautaunganika.

kukushauri ni lazima tuguseguse maeneo yote bro, ukatae ukubali.

Tuanze na historia yake kwanza, kisha tuje kwenye mahusiano yenu.

Yeye ni mzaliwa wa ngapi kwa wazazi wake.

Je alilelewa na wazazi wake wote katika ndoa?

Je kabla ya kumuoa wewe, aliwahi kuishi kinyumba na mwanaume mwingine?

Je ndoa yenu ina muda gani,
Kabla ya kufunga ndoa mlianza mahusiano ya kimapenzi kabla?

Je historia ya mahusiano yenu ulitumia nguvu kubwa, hasa nguvu ya pesa kumpata?

Je kabla ya kutamkiwa hayo, kuliwahi kutokea ugomvi ambao ulitokana na wewe kugundulika kuwa una mchepuko?

Je una mchepuko ambaye unadhani mkeo hajui?

Nitapenda maswali yangu ya dodoso uyajibu ili niweze kushauri sawa sawa.

Lakini kabla haujanijibu ninakupa angalizo:
Kuhusu kulea watoto, hakuhusiani na mapenzi na ndoa, kila jambo linajitegemea.

Chukulia mfano, je angelikufa ghafla hao watoto ungeliwaleaje?

Hilo la kwanza, la pili ni kwamba mapenzi hutoka rohoni na si kutokana na ngono pekee.

Hivyo kutokumridhisha kimapenzi, kunamaanisha muunganiko wa mambo mengi kiujumla wake, kunabeba mustakabali karibia wote wa maisha yenu ya ndoa.

Usije ukamnywea 'mkongo' ukidhani haumlali kiufasaha kama wengi naona wanakushauri humu, utakuwa umejidanganya pakubwa.

Nijibu hayo maswali nipate 'catch word' ya kuunganishia.
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
MAWASILIANO ZERO, HUWA HAMUAMBIANI KITU GANI MWENZAKO ANAPENDA KUFANYIWA KITANDANI?

Halafu inawezekanaje haujui kama mwenza wako amefika ama la? Bado hii hai make sense .
 
Pole sana mkuu!!
Ki ujumla huyo mwanamke mpaka kukuambia hivyo ameshafanya maamuzi yake so zingatia zaidi ambayo hajayasema sio hayo tu…
Na kukuambia hivyo maana yake kuna mahali anarishishwa na ndio maana ameamua kukueleza kama fimbo ya kukuchapia..

Elewa jambo moja mwanamke yoyote anaweza kuridhishwa na mwanaume yoyote endapo tu atakubali na yeye kutafuta namna kuridhika au kufika kieleleni .. kwasababu ni swala la kila mmoja wenu kutafuta furaha..
NB :- akili na hisia zake na mwili wake kwa vitendo ashiriki kutafuta huko kuridhika kutoka kwako..
KUNA HILI TATIZO
Kuna baadhi yake wanawake wameshapitia hizi njia za kujichua ambazo akishakubuhu huwa ngumu sana kuridhishwa na wanaume..
1. Kibomba cha maji moto cha chooni
2. Maumbile ya kiume bandia
3. Na nyinginezo ambazo kama mwanaume huwezi kuzishinda.

So fikiria mara 2 kujua chanzo cha tatizo na utatue..
 
Shida ya wanadamu kuambiwa ukweli. Na kiukweli wanaume wangu hudhani kufanya mapenzi kwa nguvu
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Umeshaweka sharti mwishoni. Ushauri utakaopewa hautakufaa. Dunia hii ukiwaza sana kuhusu hali ya watoto itakuwaje hakuna atakayekuonea huruma kwa mikasa unayopitia.
 
Mkuu kumuacha sio suruhisho kabisa nakushauri kama hukumkuta na bikra huyo alizionja sana huko nyuma shukuru alikuvumilia hata hiyo miaka 3
Na anakupenda muhimu msikilize kaa nae
Huenda ulaji wako ni dhaifu

Kingine muongeze mtoto hawa wakiwa na katoto Kamoja wasumbufu piga double double awe busy na Kulea tu

La mwisho aanze kusali akiwa karibu na Mungu hana mawazo mabovu
 
Back
Top Bottom