Tayari hapo hauna namna kwani uamuzi unao kwamba hauwezi kumwacha Kwa maslahi ya mtoto. Na hili litakutesa sana hauwezi kufanya maamuzi huruAkili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Pengine hao wahuni hawana makosa, usikute mkeo kawaambia hajaolewa, mkeo ndo mwenye makosa.Sema huyo/hao muhuni/wahuni nikimpata/nikiwapata,nahakikisha ubongo hana/hawana. Watu tunatumia gharama sana kutunza hizi familia.
Mkongo Huwa unatabia ya kupunguza hisia za mguso katika uume, inakuwa kama ganzi , hivo unachelewa kupiga, ikizoeleka Ina madhara kwa me,Hadi kifo kiwatenganishe....
Si mtoto kautaka mwenyewe.
Mtoto kautakaMkongo Huwa unatabia ya kupunguza hisia za mguso katika uume, inakuwa kama ganzi , hivo unachelewa kupiga, ikizoeleka Ina madhara kwa me,
Watu wa afya walikuja na " SEMA NAE"Mtoto kautaka
Mkuu tuliza sana kichwa kwenye hili,binafsi nakushauri jipime huduma uliyompa kwa miaka mitatu je uliona inamkidhi?Sema huyo/hao muhuni/wahuni nikimpata/nikiwapata,nahakikisha ubongo hana/hawana. Watu tunatumia gharama sana kutunza hizi familia.
Halafu anachukua tape kukipima ππYani kila akitulia anajichungulia kuhakikiπ π
Inawauma vizuri tyuuu usijikaze hapa ππKumbe mpo wengii wenye mawazo hasi
Yani kikisimama kama kimelala na kikilala km kimesimamaπ π π ningekuwa ndo wao ningejiuaHalafu anachukua tape kukipima ππ
Anaishia kulia, kikisimama km ndio kimelala
Kwan haya mambo c yanakuja automatically auMalaya umbwa FUKUZA nani alimridhisha mpk aone mumewe hamridhishi?? πππ
Nani kasema ππKwan haya mambo c yanakuja automatically au
Kuoa B2B MIDFIELDER matokeo yake ni haya.Habarini?
Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"
"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.
Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.
Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.
Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?
Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.
Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.
Ahsanteni
Nasikiaga etyNani kasema ππ