Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Mke wangu anadai simridhishi kitandani

Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Usiku mmoja kunywa juggermaister changanya na redbull jipe muda wa kutusha kupumzika baada ya kunywa afu iombe hio ndude
 
Mkuu miaka yote hiyo haujajua tu formula? Ukikutana na mwanamke/mke/mchumba achana na malaya, hakikisha unamkojoza kwanza! Usiingize mb** kwanza, tumia vidole, ngumi, jembe, mbao, vijiko, tofali vyovyote vile ilimradi akojoe ma aridhike kwanza! Akishamaliza sasa ndiyo zamu yako kuridhika! Hata ukipiga kimoja fresh.. kwasababu yeye atakuwa amesharidhika
Tena haibani bani tena yaani mwaaa
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Kwa hiyo sisi tukusaidieje?
 
Njooo mp nikuambie jambo muhimu sana ndoa yako itasimama imara mpaka yeye aseme baasi


Ninakusisitiza njoo mp
 
Tifua hata kalio lake ..........maana inawezekana kuna mhuhuni kaipitisha maabara ya dhambi.......sasa kaipenda na wewe hujawai hata tu kuikwaruza hata kwa bahati mbaya
Mimi nime mshauri ailambe kasema upuuzi
 
Habarini?

Ni leo ya asubuhi kabisa akaniambia kuna kitu anataka kuniambia,nikamwambia "sema mke"

"Unajua tangu tujuane huu mwaka wa tatu hujawahi kuniridhisha?" Hili swali limenistua mpaka nikaanza kumuonea huruma mtoto wetu mwenye miezi minne tu.

Swali hili nimeliona ni zito mno kwangu kwasababu sidhani kama nitakuja kuwa na uwezo zaidi ya ninaouonesha tangu tulipojuana na mpaka sasa hivi.

Kutokana na swali hilo pia moja kwa moja nikaona huyu simfai na wala hanifai tena yaani hakuna anaemfaa mwenzake kwenye suala la kuridhishana kitandani na kumbe ni mimi tu ndyo nilikuwa najiridhisha.

Akili yangu inaniambia kwamba niachane nae tu lakini akili nyingine inaniuliza huyu mtoto ataishije bila baba?

Yaani kiufupi nmeanza kupitia wakati mgumu sana kwenye hii ndoa.

Naombeni ushauri wenu lakini usahuri ulenge hasa kwa maslahi ya mtoto tu!.

Ahsanteni
Njoo PM nikuuzie vumbi la Congo ili umshone vzr mke
 
Aende atakako kuwa anaridhika.

Ila nafikiri ajaribu kufanya jitihada za kumrizisha
Nimekuja na suluhisho mwamba amuulize Kwanza mke swali hili, je unataka kubaki Afrika? Akikubali then afuate maujanja tuliyo muelekeza, you can not teach a dog old tricks, mbwa huwezi kumfundisha maujanja ya zamani atakuangalio tu labda hata kukusonya
 
Kabisaaaa....kwanza mke ambae hachepuki sio mtamu.
Mke anapaswa once in a while anaenda pigwa deliboloz jipya alafu alete mauna ja home kwa mume wake waburudike
Duh 🤸🏽‍♀️🤸🏽‍♀️🤸🏽‍♀️🤸🏽‍♀️
Sio tabia nzuri hiyo kufanyika.. Hakuna mwanaume atakubali labda... Kuwe na tatizo.

Haya Furahia hayo.. Ogopa magonjwa.. 😊
 
Km wewe unaridhika usimsikize akwendree.!!

Kila siku nasema suala la mwanamke kuridhika inategemea na mindset yake..!!
Akitaka kuridhika ataridhika tu labda km anakupa ujumbe kufikishwa kwa namna nyingine. ( Akifikia level hiyo achana naye MALAYA HUYO) 😂😂😂
Kuna single mother naipiga, hua ananiambia kabisa nataka unifanyie hv na hv kwenye sex, kwahy huyo n malaya?
 
Back
Top Bottom