Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

Ni muda tena napokea taarifa kutoka kwa familia hii ya rafiki yangu kuhusu mkewe ila nimeshindwa kumshauri hebu, tusaidiane pamoja wana JF....

Mke wangu nimeshindwa kumuelewa yaani maisha yake kama vile yananitatiza nikimueleza anasema ni wajibu wangu iko hivi...

Nimejiwekea utaratibu kila mwisho wa mwezi ninaenda dukani kwa mangi na kununua mahitaji yote muhimu ya nyumbani kwa mwezi unaofuatia, nazungumzia chakula na vitu vingine vidogo vidogo pamoja na kumpatia pesa za matumizi mwezi mzima.

Ila tatizo limeanzia pale ambapo mwanamke anapojaribu kuishi maisha ya kufuatilia tamthilia za mapenzi haswa za hawa Azam.

Yaani kuna tamthilia ya Azam TV (siifahamu jina) nahisi ni ya ki-spania, kuna mdada anaitwa Maria de pazi yaani yale maisha anayoishi ndiyo mke wangu anaishi kuanzia kazi hadi hisia kwanini.

Huyo Maria de poz alianzisha biashara ya kuuza keki, maandazi, skonzi na vitafunwa vingine mke wangu akaiga (hilo siyo tatizo) ila shida kila kitu anachotumia ni cha bajeti ya ndani ya nyumba.

Siku huyo Maria de pozi akiumizwa huko kwenye ma-tamthilia tambua na yeye kuwa na huzuni siku nzima yaani ole wako umuagize kitu utasikia "Si uchukue mwenyewe nyie wanaume ni wale wale tu.

Siyo kwa tamthilia moja bali hujirudia mara kwa mara siyo kwamba sipendi mke wangu kufanya kazi ila kila ninayomuamzishia inakufa zaidi ya tatu hadi duka la nafaka nimemueleza akae atulie wakati natafakari ni ipi inamfaa ila naona ni yale yale.

Siku tamthilia wakija na biashara hii yeye anahamia huko ikibadilishwa na yeye anabadilisha wakikasilikiana na yeye ananikasilikia nina mashaka tunakoelekea nitapoteza mke 😳😳😳

Wazo langu ni kuacha kulipia kifurushi ila nahofia kwenda kwa majirani maana anaweza kusimulia huyu na hawezi kukosa ata siku moja mimi mwenyewe huwa ananipatia simulizi na nikaja kugundua shida ni huyo de pozi....

Msaada jamani..😥😥😥😥😥."

Nawasilisha...........
Hahahahaaaaa.....! Kweli kuwa uyaone.
 
Kwa msaada zaid jibu maswalh yafuatayo je kitandani unamkaza iparavyo? Vipi ashawahi fika kileleni? Je umehakikisha hajakeketwa? NB ni tatizo mwanaume kuishi na mwanamke kimwanamke zaidi na kuuacha uanaume wako mwisho mwanamke hukuchukulia mwanamke zaid,, kama hujanielewa utanielewa siku nikifa
Punguzeni kuwazia ngono tu kutetea ujinga wa maisha ya mwanamke, kwani yeye ni roboti tu anaeendeshwa kwa rimoti ya ngono. Huu ujinga nauchukia sana maishani, ndio maana sanyingine mtu anaona mahusiano au ndoa ni mzigo, Maisha ni magumu nawewe badala ya kusaidiana myaendeshe vizuri nawewe unajiweka kuwa moja ya magumu ya maisha. Thats stupidity of life to its highest level.
 
Upo negative sana brother juu y mke wako, why ,km kweli ni hivyo ulivyosema maana yake ikitokea siku kwenye tamthilia Maria anapewa mapenz au ana furaha ndani ya nyumba, je na yy huwa na furaha na anakupa mapenz au ? What I mean huyo mshkaji wako why amekusimulia upande hasi tu wa mke wake na hio tamthilia? Its seem like ana changamoto zaidi ya hio ,au hampendi tena mwenzake?Trust me wanawake wengi wapo hivyo, awe na uvumilivu itakuja epsode ya mahaba atainjoi
Nyie mnaigiza maisha, mwanaume anayoyaweza hayo nampa hongera. Mwanaume naye akiwa hivyo humo ndani akukaliki. Ndoa ya mwanamke asiyejitambua ni aibu sana kwa wazazi.
 
Huyu ana akili za kitoto hajakua nenda nae hivyoo na mchane kabisa maisha ya tamthilia na yauhalisia ni vitu viwili tofauti au nimgonjwa wa akili huyo maana sisi enzi zetu za utoto tukicheki vandame kwenye vibanda umiza tunaenda kupractise kwa anaekuchoza so ulikuwa utoto huyo ninini sasa.
 
Unaishi na mtu ambaye hajui kama ameshaanza maisha na baadae watoto watamtegemea. Mkumbushe kuwa ubibi haip9 mbali na ndoa za kikristu siku hizi zinaachika.
Umenena vyema, maana juzi tulizika rafiki mwingine aliyepatwa na presha mara baada ya mke kuuza kiwanja cha familia bila taarifa kwa mume
 
Huyu ana akili za kitoto hajakua nenda nae hivyoo na mchane kabisa maisha ya tamthilia na yauhalisia ni vitu viwili tofauti au nimgonjwa wa akili huyo maana sisi enzi zetu za utoto tukicheki vandame kwenye vibanda umiza tunaenda kupractise kwa anaekuchoza so ulikuwa utoto huyo ninini sasa.
Ila miaka yake ni above 25
 
Kwa msaada zaid jibu maswalh yafuatayo je kitandani unamkaza iparavyo? Vipi ashawahi fika kileleni? Je umehakikisha hajakeketwa? NB ni tatizo mwanaume kuishi na mwanamke kimwanamke zaidi na kuuacha uanaume wako mwisho mwanamke hukuchukulia mwanamke zaid,, kama hujanielewa utanielewa siku nikifa
Mawazo ya kijinga kabisa sijapata kuona.
 
Kwangu nilikomesha huo ujinga kwa kutoa uchafu wa azam tv, sasa hivi ni mwaka na nusu wameshazoea, maisha na tamthilia havitangamani
Mimi nimemshauri asiunge kifurushi chochote wabakie na local channels wawe wanaoangalia channel za bongo na taarifa za habari.

Ila sijui kama atavumilia kabla ya kuchukua pesa ya matumizi na kuunga bundle la mwezi 🤔🤔🤔
 
Ni muda tena napokea taarifa kutoka kwa familia hii ya rafiki yangu kuhusu mkewe ila nimeshindwa kumshauri hebu, tusaidiane pamoja wana JF....

Mke wangu nimeshindwa kumuelewa yaani maisha yake kama vile yananitatiza nikimueleza anasema ni wajibu wangu iko hivi...

Nimejiwekea utaratibu kila mwisho wa mwezi ninaenda dukani kwa mangi na kununua mahitaji yote muhimu ya nyumbani kwa mwezi unaofuatia, nazungumzia chakula na vitu vingine vidogo vidogo pamoja na kumpatia pesa za matumizi mwezi mzima.

Ila tatizo limeanzia pale ambapo mwanamke anapojaribu kuishi maisha ya kufuatilia tamthilia za mapenzi haswa za hawa Azam.

Yaani kuna tamthilia ya Azam TV (siifahamu jina) nahisi ni ya ki-spania, kuna mdada anaitwa Maria de pazi yaani yale maisha anayoishi ndiyo mke wangu anaishi kuanzia kazi hadi hisia kwanini.

Huyo Maria de poz alianzisha biashara ya kuuza keki, maandazi, skonzi na vitafunwa vingine mke wangu akaiga (hilo siyo tatizo) ila shida kila kitu anachotumia ni cha bajeti ya ndani ya nyumba.

Siku huyo Maria de pozi akiumizwa huko kwenye ma-tamthilia tambua na yeye kuwa na huzuni siku nzima yaani ole wako umuagize kitu utasikia "Si uchukue mwenyewe nyie wanaume ni wale wale tu.

Siyo kwa tamthilia moja bali hujirudia mara kwa mara siyo kwamba sipendi mke wangu kufanya kazi ila kila ninayomuamzishia inakufa zaidi ya tatu hadi duka la nafaka nimemueleza akae atulie wakati natafakari ni ipi inamfaa ila naona ni yale yale.

Siku tamthilia wakija na biashara hii yeye anahamia huko ikibadilishwa na yeye anabadilisha wakikasilikiana na yeye ananikasilikia nina mashaka tunakoelekea nitapoteza mke 😳😳😳

Wazo langu ni kuacha kulipia kifurushi ila nahofia kwenda kwa majirani maana anaweza kusimulia huyu na hawezi kukosa ata siku moja mimi mwenyewe huwa ananipatia simulizi na nikaja kugundua shida ni huyo de pozi....

Msaada jamani..😥😥😥😥😥."

Nawasilisha...........
Cope nae na wewe igiza hivyo hivyo kama Dom
 
Back
Top Bottom