Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

[emoji23][emoji23][emoji23]

Wakati niko chuo, nilikua napenda Korean drama. Nikaanza kuwageza ongea yao mpaka wanavyo salimia.

Saiv napenda waingereza wanavyoongea kupitia series zao na sasa naona accent yangu inabadilika kidgokidgo

You feed your brain by what you watch..Ukizoea kuangalia waswahili wanaosutana na wewe ni rahisi ku adopt that behaviour.
 
Unajifunza kutokana unachokiona
Rejea observational learning theory.
Kikubwa ni mtazamo wa huyo mwanamke.
Tamthiloa angalia kwa kupata mafunzo mbalimbali lakini usiende kuyafanya maisha ya tamthilia yakawa maisha yako halisi.
Wale wanaigiza tu kupata pesa na ukute maisha yao ya uhalisia ni tofauti na wanayoyaigiza.

Akili kumkichwa
 
Punguzeni kuwazia ngono tu kutetea ujinga wa maisha ya mwanamke, kwani yeye ni roboti tu anaeendeshwa kwa rimoti ya ngono. Huu ujinga nauchukia sana maishani, ndio maana sanyingine mtu anaona mahusiano au ndoa ni mzigo, Maisha ni magumu nawewe badala ya kusaidiana myaendeshe vizuri nawewe unajiweka kuwa moja ya magumu ya maisha. Thats stupidity of life to its highest level.
yamekukuta nini? Broo ndoa c maneno ya biblia ndoa ni israel na palestina... Usiish na mwanamke kama ccm na kofia Nitakuelewesha nikipenda
 
Punguzeni kuwazia ngono tu kutetea ujinga wa maisha ya mwanamke, kwani yeye ni roboti tu anaeendeshwa kwa rimoti ya ngono. Huu ujinga nauchukia sana maishani, ndio maana sanyingine mtu anaona mahusiano au ndoa ni mzigo, Maisha ni magumu nawewe badala ya kusaidiana myaendeshe vizuri nawewe unajiweka kuwa moja ya magumu ya maisha. Thats stupidity of life to its highest level.
yamekukuta nini? Broo ndoa c maneno ya biblia ndoa ni israel na palestina... Usiish na mwanamke kama ccm na kofia Nitakuelewesha nikipenda
 
Ni muda tena napokea taarifa kutoka kwa familia hii ya rafiki yangu kuhusu mkewe ila nimeshindwa kumshauri hebu, tusaidiane pamoja wana JF....

Mke wangu nimeshindwa kumuelewa yaani maisha yake kama vile yananitatiza nikimueleza anasema ni wajibu wangu iko hivi...

Nimejiwekea utaratibu kila mwisho wa mwezi ninaenda dukani kwa mangi na kununua mahitaji yote muhimu ya nyumbani kwa mwezi unaofuatia, nazungumzia chakula na vitu vingine vidogo vidogo pamoja na kumpatia pesa za matumizi mwezi mzima.

Ila tatizo limeanzia pale ambapo mwanamke anapojaribu kuishi maisha ya kufuatilia tamthilia za mapenzi haswa za hawa Azam.

Yaani kuna tamthilia ya Azam TV (siifahamu jina) nahisi ni ya ki-spania, kuna mdada anaitwa Maria de pazi yaani yale maisha anayoishi ndiyo mke wangu anaishi kuanzia kazi hadi hisia kwanini.

Huyo Maria de poz alianzisha biashara ya kuuza keki, maandazi, skonzi na vitafunwa vingine mke wangu akaiga (hilo siyo tatizo) ila shida kila kitu anachotumia ni cha bajeti ya ndani ya nyumba.

Siku huyo Maria de pozi akiumizwa huko kwenye ma-tamthilia tambua na yeye kuwa na huzuni siku nzima yaani ole wako umuagize kitu utasikia "Si uchukue mwenyewe nyie wanaume ni wale wale tu.

Siyo kwa tamthilia moja bali hujirudia mara kwa mara siyo kwamba sipendi mke wangu kufanya kazi ila kila ninayomuamzishia inakufa zaidi ya tatu hadi duka la nafaka nimemueleza akae atulie wakati natafakari ni ipi inamfaa ila naona ni yale yale.

Siku tamthilia wakija na biashara hii yeye anahamia huko ikibadilishwa na yeye anabadilisha wakikasilikiana na yeye ananikasilikia nina mashaka tunakoelekea nitapoteza mke 😳😳😳

Wazo langu ni kuacha kulipia kifurushi ila nahofia kwenda kwa majirani maana anaweza kusimulia huyu na hawezi kukosa ata siku moja mimi mwenyewe huwa ananipatia simulizi na nikaja kugundua shida ni huyo de pozi....

Msaada jamani..😥😥😥😥😥."

Nawasilisha...........
yaani hapo ni kwako au kwake? unanyanyasika kwako na wewe ni mwanaume au?
wewe ndo unatakiwa kupanga nini cha kufanya nyumbani kwako na si mgeni, mkeo hapo ni mgeni, anatakiwa afuate unachotaka
 
Ni muda tena napokea taarifa kutoka kwa familia hii ya rafiki yangu kuhusu mkewe ila nimeshindwa kumshauri hebu, tusaidiane pamoja wana JF....

Mke wangu nimeshindwa kumuelewa yaani maisha yake kama vile yananitatiza nikimueleza anasema ni wajibu wangu iko hivi...

Nimejiwekea utaratibu kila mwisho wa mwezi ninaenda dukani kwa mangi na kununua mahitaji yote muhimu ya nyumbani kwa mwezi unaofuatia, nazungumzia chakula na vitu vingine vidogo vidogo pamoja na kumpatia pesa za matumizi mwezi mzima.

Ila tatizo limeanzia pale ambapo mwanamke anapojaribu kuishi maisha ya kufuatilia tamthilia za mapenzi haswa za hawa Azam.

Yaani kuna tamthilia ya Azam TV (siifahamu jina) nahisi ni ya ki-spania, kuna mdada anaitwa Maria de pazi yaani yale maisha anayoishi ndiyo mke wangu anaishi kuanzia kazi hadi hisia kwanini.

Huyo Maria de poz alianzisha biashara ya kuuza keki, maandazi, skonzi na vitafunwa vingine mke wangu akaiga (hilo siyo tatizo) ila shida kila kitu anachotumia ni cha bajeti ya ndani ya nyumba.

Siku huyo Maria de pozi akiumizwa huko kwenye ma-tamthilia tambua na yeye kuwa na huzuni siku nzima yaani ole wako umuagize kitu utasikia "Si uchukue mwenyewe nyie wanaume ni wale wale tu.

Siyo kwa tamthilia moja bali hujirudia mara kwa mara siyo kwamba sipendi mke wangu kufanya kazi ila kila ninayomuamzishia inakufa zaidi ya tatu hadi duka la nafaka nimemueleza akae atulie wakati natafakari ni ipi inamfaa ila naona ni yale yale.

Siku tamthilia wakija na biashara hii yeye anahamia huko ikibadilishwa na yeye anabadilisha wakikasilikiana na yeye ananikasilikia nina mashaka tunakoelekea nitapoteza mke 😳😳😳

Wazo langu ni kuacha kulipia kifurushi ila nahofia kwenda kwa majirani maana anaweza kusimulia huyu na hawezi kukosa ata siku moja mimi mwenyewe huwa ananipatia simulizi na nikaja kugundua shida ni huyo de pozi....

Msaada jamani..😥😥😥😥😥."

Nawasilisha...........
Oa mwingine mkuu ikiwa bado mapema. Hapo una kiazi sio mke. Mambo ya tamthilia yawe maamuzi ya maisha yako na yeye si utaingizwa shimoni siku mhusika anaye mpenda akicheat na yeye ata cheat pia. Huyo mwanamke fikra zake ni finyu sana kwa kweli
 
Mimi nimemshauri asiunge kifurushi chochote wabakie na local channels wawe wanaoangalia channel za bongo na taarifa za habari.

Ila sijui kama atavumilia kabla ya kuchukua pesa ya matumizi na kuunga bundle la mwezi 🤔🤔🤔
Hio sio solution, azam tv wana program zinazoharibu wadada wa kazi na wake zetu hata watoto, sijui wanafanya nn kuwapa hizo addiction, ilifikia pahali nyumbani kwangu siwezi shika remote kuanzia saa 1 jion hadi saa4 usiku, solution piga bei nunua dstv wanaprograms chache zisizo leta addiction, mie nna amani tele sasa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Wakati niko chuo, nilikua napenda Korean drama. Nikaanza kuwageza ongea yao mpaka wanavyo salimia.

Saiv napenda waingereza wanavyoongea kupitia series zao na sasa naona accent yangu inabadilika kidgokidgo

You feed your brain by what you watch..Ukizoea kuangalia waswahili wanaosutana na wewe ni rahisi ku adopt that behaviour.
Na sisi tunaopenda series za mazombi yuchukue tabia zao? Kujifunza kwa unachokiona ni sehemu ya ugonjwa wa akili, mtu mzima unae fikilia huwezi bebwa na kile unachotizama luningani, tazama luninga kama starehe tu baada ya hapo kafanye maisha yako ya kawaida
 
Subiri aanze kuangalia jua kali aishi km Maria au Madam Simba ndio utajua hujui 🤣🤣🤣
 
Siku akiona huyo Maria de paz kaenda kupigishwa Doggystyle kwa mchepuko basi na yeye ataiga
Pia akimuona Maria de paz kamuua mumewe basi na wewe atakuua ,
Oyaa oyaa oyaa oyaaaaaaa kimbiza Hilo sukule bobuuu
 
Msingi ukiharibika mwenye haki atafanya Nini ! Msingi ukiharibika mwenye haki anatakiwa kuwa imara hivyo jitaidi sana kuzungumza nae ukiona hakuelewi mwezi unaofuata punguza matumizi mwenyewe atashtuka na kifurushi kikiisha usilipie akikuuliza kwanini mwambie mambo yamebana pia unakuwa mkali kwamba sitaki Nije nikukute kwa jirani unasimamia nafasi Yako kama baba na atakuelewa na kuhusu biashara jitaidi kumkadhia sana unampa majukum kwamba nimekufungilia ofisi nawe katika kazi hii utakuwa na majukum haya kama ana akili atajitaidi kuwa mtu wa maongezeko
 
Back
Top Bottom