Mke wangu anaishi maisha ya ki-tamthilia, yananitesa haswa

😳😳😳😳...Duuuh kumbe mpo wengi...πŸ€’πŸ€’
 
Huna lolote Bali umejisikia tu kuja kutuhadithia hiyo tamthilia, haipendezi mwanaume kuangalia hizo tamthilia
 
Huna lolote Bali umejisikia tu kuja kutuhadithia hiyo tamthilia, haipendezi mwanaume kuangalia hizo tamthilia
yawezekana sina lolote ila nilisimuliwa huwa sina muda wa kuangalia tamthilia na kufuatilia series wengine mnaita season ila huyo maria de poz nilipata kumuona..

Pole kama haikupendez πŸ€”πŸ€”
 
Hii ni suruhu nzuri ila kuna kuhamia kwa jirani yeye anayo...
 

mental illness bro!! Ana kaugonjwa ka akili mpeleke kwa madakitar wa psychiatric
 
Tengenezeni movie
 
Hahahahaha


Wewe weka ujauzito tu.
 

Mpe cheo huyo awe Bi Mkubwa

Wale wa Cuba wananielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…