Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.

Mkuu, bila shaka we mwanapsycholia mzuri sana. Ushauri wako nimeufurahia sana. Thanks
 
Kweli wewe ni mimitungi, hizo ni siri za ndani,
Ulitakiwa uoongeee na mkeo ya kuwa hupendezwi na hiyo tabia na sio kutuambia sisi jukwaani hapa.

NB
Unataka tukushauri nini?? Umuache mkeo au??
 
Last edited by a moderator:
hahaa muwe mnakagua vizibo hivo kabla hamjawaowa wake zenu bana
 
Kweli wewe ni mimitungi, hizo ni siri za ndani,
Ulitakiwa uoongeee na mkeo ya kuwa hupendezwi na hiyo tabia na sio kutuambia sisi jukwaani hapa.

NB
Unataka tukushauri nini?? Umuache mkeo au??

Mkuu soma post yangu vizuri na uielewe kabla ya kupost.
 
Last edited by a moderator:
nafikiri mngemuona doctor, kama anajamba mpaka anashindwa kujizuia itakuwa ni serious problem. kwa sasa angalieni na aina ya vyakula mnavyokula. aache maharage kwa muda, yana gesi sana yale.
 
mimitungi , labda ni mtizamo tu (though I fully understand your frustrations!). Kuna mtu aliwahi kunitumia ujumbe huu (kama mzaha tu), lakini pengine unaweza kuonesha namna nyingine ya kulitizama tatizo lako!

"Ukiona umedumu na mwenzio kwa zaidi ya ya miaka miwili na kuendelea katika mapenzi na hajawahi kujamba mbele yako, achana nae 'fasta'. Kama anaficha kitu kidogo namna hiyo ni vingapi atakuwa ameshakuficha? Tafakari!"
 

Mkuu, kila mtu anajamba ila ni kuangalia unajamba wapi na wakati gani bila kumkwaza mwenzako, kwa mfano; chukulia mnakula au mnasali, sijui kama hata wewe utamwelewa.
 
mimitungi unaweza ukaona huko kujamba ndio kosa kubwa, ukashindwa hata kuona mazuri ya huyo mkeo. Lakini kuna watu wanatamani mke wao hata angekuwa anajamba hovyo tu, lakini wasiwe na tabia nyinginezo.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ha ha usikute unamla tigo wewe ... speed zimekatika
 
Siku akijamba mko chumbani mchape vibao nadhani atajua unamaanisha kweli hupendi.nachukia sanah mtu kujamba mbele yangu
 
sio siri mi napenda nijambe nijiachie mwenyeweeee kwa raha zangu
 
na wewe ulikuwa unapiga kitu cha gesi nini?

apana me aikuwa ivo bana mambo ya kawaida 2 namna wapenz wanavyoish kila m2 kumsimlia cjui ushamba, cjui ulimbukeni, kaah! Ata mama mkwe kusimliwa 2navyoishi! Hahahahahaaaaa nimecheka sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…