Mkeo anakupenda na anajiachia sana mbele yako.Usimchukie mkuu be romantic mtanie utani wa kweli hata akicheka ila meseji delivered.Mfano unaweza kumwambia mke wangu we kiboko ilo shuzi kama bomu la mbagala wakija wageni hapa lazima wapoteane au iyo gesi mamii ya Mtwara cha mtoto siku nyengine utasababisha maafa.Usipanic ishi kwa akili na uyo bibie yeye akikujambia hivyo anaona raha dizaini kama anakutania vile so na wewe muingie kwa njia iyo iyo ya utani wa kweli huku ukimpa somo taratibu.Ataacha tu.
Akijamba na ww jamba,inakuwa ni sehemu ya michezo yenu km wanandoa ivyo hutoona kero tena
Poa ukiweza mchukulie dawa ya kunywa yenye kutoa gesi ya manukato !Wazo la airfreshiner nimelipenda mkuu, thanks
Kweli wewe ni mimitungi, hizo ni siri za ndani,
Ulitakiwa uoongeee na mkeo ya kuwa hupendezwi na hiyo tabia na sio kutuambia sisi jukwaani hapa.
NB
Unataka tukushauri nini?? Umuache mkeo au??
wakati wa uchumba hii habari alikuwa nayo? isije ikawa umemuharibu weye...
kijambo kina raha yake jaman,
ukikinusa mwenyew...
Je huyo ni mkeo kweli unayempenda? Acha ujinga,je wewe ujambagi? Unataka avimbiwe kwa kukyogopa wewe? Na je unataka ajiachie kwa nani sasa? Mbona haukui? Hii si sehem ya kumshushia mkeo heshima,ungejiposti wewe mwenyewe,inaonekana haumpendi uyo mwanamke,mbona ni marashi kama uyatoayo wewe? Na je unajua madhara ya kutokujamba wewe? Au unamfungua buti ndo mana unamwona kinyaa baada ya kumwaribu? Kwa ushauri wa bure kama kweli unampenda mkeo,ebu jaribu kubana icho kijambo chako kwa siku ata mbili,kisitoke ata cha psiiiiiii,ndo utapata majibu ya kwa nini ajambe.
kama ushuzi ni kama kupiga miyayo, kauachie kwenye interview alafu uje uniambie..!!!
wakati wa uchumba hii habari alikuwa nayo? isije ikawa umemuharibu weye...
Alikuwa hana
mimitungi unaweza ukaona huko kujamba ndio kosa kubwa, ukashindwa hata kuona mazuri ya huyo mkeo. Lakini kuna watu wanatamani mke wao hata angekuwa anajamba hovyo tu, lakini wasiwe na tabia nyinginezo.Ndugu wana MMU,
Nimeishi na mke wangu kwa muda wa miaka 2 na tuna mtoto mmoja. Kwa ufupi tunaelewana sana, tatizo kubwa ni tabia yake ya kujiachia(ushuzi) mbele yangu. Nimejaribu kumweleza kama sifurahishwi na anavyofanya aingie chooni lakini yeye anacheka na kunieleza anapumua.
Sasa nimeongea mpaka nimechoka, nimeamua kuacha tu.
Naomba ushauri wenu, je kujamba mbele ya mpenzi/mume/mke ni kupumua tu? Na je akijamba mgeni akiingia ndani(imewahi tokea) na kukutana na harufu atatuanaje?
Please help
na wewe ulikuwa unapiga kitu cha gesi nini?