Mke wangu anajamba sana usiku, nifanyeje?

Status
Not open for further replies.

Haya makubwa yaani asiwe na mazoea na mkewe...so akawe na mazoea na nyumba ndogo aka choo?...maana kule kwetu mpui nyumba ndogo hujengwa pembeni ya nyumba kubwa na matumizi yake ni kujisaidia

Unajua sie wanaume wa ajabu sanaa, yaani mtu analishwa na barmed tena mchana kweupe but akilishwa na mkewe hataki....

Nyumba ndogo ikikujambia mpaka hata mdomoni unachekelea tuu kisa inakupa pampuchi any time u need....mkewe wa ndoa uliyepewa na muumba wako unaona akijamba ni kero...
 
Kwa hiyo wewe unampa ushauri gani?
 

Kwani we hujambi mkuu??
 
Hana adabu muonyee tu usimuache hilo ni tatizo dogoo maana mi nlidhani akijambaaa unakosa hewaa unazimiiaa
Je kwenye mambo yetu yale huaa anaajambaa????
 
Kila kitu huwa kina maana yake,na kila mwanamke anatoa dalili zake za kutaka kugegedwa labda yeye anatoa dalili hii ili ujuwe kuwa ana hamu ya dusheshe so chunguza ushuzi unalia sauti gani ?
 
Kila kitu huwa kina maana yake,na kila mwanamke anatoa dalili zake za kutaka kugegedwa labda yeye anatoa dalili hii ili ujuwe kuwa ana hamu ya dusheshe so chunguza ushuzi unalia sauti gani ?

Hahahahah
 

we ndo mumewe bana ajiachie kwa nani zaid yako!? yupo huru mbele yako kutoa gesi aina zote kuanzia za saut mpaka zile za kimya kimya!! ila mbele ya hadhira noma!
 
hakuna kipindi kinachokosa matangazo/wadhamini. So wacha mkeo atoe wadhamini asee.
 
muza

kuvumiliana beba ndo mzigo wako
 
Wana JF naomba dawa ya kukoroma. Siwezi lala ugenini kwani ni Aibu. Wenye mzaha waache nipate ushauri constructively pls!
Jaza magazeti mdomoni lala nayo kamq unatafuna hivi pili waone technician wa meno wale wanaochonga meno bandia wana vifaa watakutengenezea kuendana na size ya domo lako ambqcho kinazuia kukoroma baada ya muda ukitumia mdomo unazoea jipange siyo ishu ya sh elf kumi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…