Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Mkuu umesema kila kitu
 
Aseee,hivi hawa wanawake wana pepo gani?apumzike kwa amani dada
 
Yaani huyo akikutana na hawa Genz atatembea na MK47😁😁 maana ni pasua kichwa lakini tunaishi nao mimi wa dukani mmoja huyo anajulikana na wateja kuliko mimi ila ni Genz yaani ni heka heka
Yaan mtoto wa miaka nane anabeba tofali nimetafakari sana
All in all huyo dada ana majini
That is beyond human being
 
Achana nae huyo sio binadamu ni katili Sana mtoto wa miaka nane si Malaika huyo ana shida gani Anza kukataa kumusaidia mtoto wa kaka yake na nduguze ila ushauri wa Bure Achana nae ushauri wa kuwa umpeleke boarding Achana nao bado utakuwa hujatibu tatizo kwani hatorudi je nduguzo hawatokuja kwako usiangalie tu Tena anakutishia kuondoka usijipe stress za Bure kwa huyo jambazi achana nae Achana nae
 
She/He is only 8years jamani.
Dah.. dah kwa umri anahitaji malezi ya ndugu wa karibu ili kimjenga kwenye misingi Bora...
Lakini kama haiwezekani Bora apekekwe tu huko...mbn Kuna shule zinapokea tu...
 
Mkuu, Sijui kama utanisikiliza!
Tuliooa ni kama tunapata kapicha flani hivi.

Kuna watu wanakushauri umpige mkeo, Hapana.
Kuna watu wanakushauri umfukuze mkeo, Hapana.

Njia nzuri ya kulimaliza hili ni kuzungumza, mweleze mkeo hayo matendo anayofanya ni anawafanyia watoto wake pia.
Watoto wenu hawako salama hata kidogo kwa kutesa watoto wa wenzio.

Mwanamke kuwa na roho mbaya ni jambo la kawaida kabisa.
Hapa nakushauri uwe Kiongozi.
Ongoza hilo gurudumu la familia yako kwa Amani, umejua sasa hali ilivyo, inapaswa kukoma.

Nakwambia tu wanaoathirika zaidi na hiyo torture ni watoto wenu wenyewe!! Huyo mtoto wa Dada yako, anadhurika mwili tu.
Wakwenu waathirika in all perspectives!!

My brother be a man!! 💪
Play your part.
Tupunguze watoto wa Mitaani!!
 
Tumia madaraka yako vizuri mkuu, usiruhusu huyo mkeo akupande kichwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…