Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Kabisa huyo ni anastahili kufunguliwa kesi kama child abuser

Tena hii itakuwa ndio njia rahisi ya kuachana nae, maana huyo mwanamke akitoka hapa atakuwa na hasira sana na yeye kitu kitakachopelekea kutoendelea na hiyo ndoa.
Yes, hii ndio njia nzuri na sahihi zaidi ya ku-deal na huyo mwanamke shetani.
Awe makini Sana huyo mume, siku moja atakuja kufanyiwa uovu wa namna hii hii au zaidi ya huo. Huyo Mwanamke ni adui mkubwa sana kwa usalama wa huyo mume na ndugu zake, akiendelea kuwa naye ipo siku moja maadui wa nje pia wataweza kumtumia huyo mwanamke ili amuangamize na kumuua huyo mume. Kulikuwa na kisa kimoja Cha ukatili wa namna hii kilichomhusu jamaa mmoja alikuwa anaitwa Oscar (Kama sijakosea Jina), nasikia alikuwa Mhasibu katika Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), naye alikuwa anaishi na mwanamke shetani wa namna hiyo hiyo. Mwisho wa siku nasikia huyo mwanamke wake alishirikiana na "wauaji" wa nje na kufanikiwa kumuua mume wake huyo, inasikitisha Sana kusikia kwamba yule jamaa aliuawa kikatili Sana, inasikitisha.
Naamini Watu wa HESLB wapo humu mtandaoni, wanaweza wakatupatia shuhuda nzuri zaidi kuhusu mkasa mzima wa kuuawa kikatili kwa huyo mfanyakazi mwenzao aitwaye Osca. Nafikiri watakuwa wanakumbuka vizuri tukio Hilo.

Kwa hiyo huyo bwana awe makini sana na huyo mke wake katili, siku zake naye zinahesabika.
 
wanakaa watoto wa miaka 3 iwe wa 8,?

kwa hyo unataka amuache hapo huyo dada yako mwenye roho ya shwetwain amuue? au kwa vile nimesema hao watoto wako wafukuzwe hapo ndo kimekuuma.

KIAZI WAHEEED
Kukaa wanaweza kukaa lakini haimaanishi kuwa ni sawa. Hii tabia ya ku outsource malezi ya watoto wetu ndio imechangia mno kubomoka kwa jamii zetu. Mtoto wa chini ya miaka 12 anatakiwa alelewe na wazazi wake na sio institution.

Sasa badala ya kupambana na huyo unayemuita shwetwain unamkimbiza malaika asie na kos! Ni ujumbe gani unaoutuma? Kwa sababu shwetain hamtaki mtoto pale nyumbani hauoni kuwa utakuwa umemzawadia kwa kumuondolea huyo malaika? Stupid as stupid does.

Amandla...
 
Fukuza hio takataka mm siwez kua na mwanamke ambae hapendi ndgu zangu.. ww kaz yako ni kusaidia watu Baki tu hadi lin pumbavyu
 
Fukuza oa mwingine mwenye roho ya upendo kwanza wakat unalioa hukulijua kua lina roho mbaya wanaume wngine bana umezingua sana
 
Eeeh! Naandika nafuta, naandika nafuta..... Natamani kungekuwa na Ku comment kwa voice note
 
Piga chini huyo mke wako, kama umeweza kusomesha ndugu zake bila kinyongo chochote iweje huyo mtoto mdogo awe kero kwake. I'm short huyo mkeo siyo liziki yako , uko mbeleni utapata shida sana. Nguvu zikianza kukuishia atakukimbia na yeye. Piga chini mara moja. Hao wanawake wapo design hiyo kwenye jamii akikuta na wewe ni kibwetele atakupanda kichwani.
 
Wala hutakiwi kumuogopa mkeo mueleze tu anachokifanya sio sawa angekuwa yeye hayupo duniani ingekuwaje kwa wanae?
Kweli kabisa, anajihesabia haki kana kwamba Dunia ni yakwake na ataishi milele mabaya hayawezi kutokea kwake ,binafsi nongewaomba radhi wanangu kwakiwachagulia mama shetani na kuwatafutoa mama mdogo fasta IMEISHA IYO
 
Pole sana mkuu

Ila huyo mke ana roho mbaya
 
Yaani baba wa familia hujui kinachoendelea nyumbani kwako?
Wewe ni MPAMBUVA SANA.

Sijui una uamzi gani lkn mimi kwa upande wangu kile kitendo cha huyo mwanamke kuniambia kuwa huyo mtoto ni mchonganishi ama la yeye aondoke wala nisengeli tafuta ushauri kwa yeyote,huyo angelikuwa alishaondoka mapema.

Siku ukimtoa huyo mtoto kwa kutii amri za huyo Delilah mateso sasa yata hamia kwako.
 
Atafute pa kumuweka? Yeye ni mjomba na mjomba ni mama, ampeleke kwingine 😥Atatupa sababu Gani sisi ndugu zake? Akituelezea What happened automatic itatengeneza Chaos Sisi familia na mke wake.
Aonyeshe uanaume wake hapa. 🙂
 
Na akae akijua huyo mtoto akiondoka huyo shetani ataanza kumtesa huyu boya.
 


Kama sio chai wewe ndo umeolewa
 
mpaka unaandika huyo mke yupo tu? wanawake wana roho mbaya sana. wanaegamia kwao.wewe letq ndug zako siku 2 tu kanuna
 
Hilo ndio chaguo lako na ushazaa nae watoto wawili utakapomuacha fikiria mustakabali mzima wa watoto wako na wewe , Kama unaweza mtafutie shule nzuri ya boarding akakae awe anakuja nyumbani likizo tu. Na wewe uanze kuweka mipaka Kwa ndugu zake
Huo upuuzi sifanyi mimi.
Kama atachagua na kuwatesa watoto wangu basi sawa lkn siwezi kukaa meza moja eti ninazungumza na mwanamke wa namna hiyo.

Ni lazima ataondoka yeye na ndugu zangu wataendelea kula mema ya Nchi.
Huyo siyo mwanamke wa kuongea naye hata kwa kula chakula alichokipika,ni zaidi ya shetani.
 
Itakuwa wewe ni ndugu yangu.
 
Kuna asilimia kubwa hii story ni fake lakini ni uhalisia kwamba wanawake ndio viumbe wenye roho mbaya na katili hapa duniani. Hasa wao kwa wao. Na hii inazidi kama mwanamke mwenyewe ni wale washamba unsophisticated wenye hali ya chini. Afadhari kidogo wale classy.

Kama hii story ni ya kweli, basi wewe hufai kuwa mzazi. Mtoto wa dada yako ni kama wa kwako. Huyo shetani mliyekutana naye ukubwani ulitakiwa umvunje vilevile akili ikae sawa. Inshort huna mke hapo.

Alafu mtoto wa miaka 8 hapelekwi boarding school unless unapanga kumuua.
 
Kuhusu masuala ya mwanamke wa mtindo huo huwa sina muda wa kumumunya maneno.
Yawezekana usiku huohuo angelianza kuondoka yeye kabla hata sijampeleka mtoto hospital.
 
Kuhusu masuala ya mwanamke wa mtindo huo huwa sina muda wa kumumunya maneno.
Yawezekana usiku huohuo angelianza kuondoka yeye kabla hata sijampeleka mtoto hospital.
 
Mzee kifupi ulioa shetani, mtoto mpeleke boarding, anatishia kuachana mwambie yes unaweza kuachana nae kisa huyo mtoto, na kwa msisitizo mrudishe kwao, kusanya ushahidi kutoka kwa wapangaji wako, wachukulie maelezo na uwarekodi kwa sauti(sio video) nakiri hayo maelezo kichwani, kisha mpeleke kwao, wakikuuliza shida nini, waeleze A to Z, onesha hadi picha ya x ray za mtoto alipovunjika.. Waeleze wazazi wake kiunagaubaga, mbona we umelea watoto wa upande wa kwao bila tabu yoyote, hukatai mtoto kufunzwa lakini mkeo hafunzi ni anamtesa mtoto, na kwa hilo uko radhi kumpiga kibuti mazima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…