Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Mke wangu anamtesa sana mtoto wa marehemu dada yangu

Mwanaume unatakiwa kua na authority kwako, mi siwezi kukaa na mwanamke eti kitu kidogo anatishia aende kwao, ungemuacha aende huko na usimfate mpaka arudi mwenyewe, la sivyo ashajua udhaifu wako, Kila mkigombana atakua anatishia kwenda kwao


Kuhusu huyo mtoto, kama Kuna ndugu mwingine anaweza kukaa nae basi fanya mpango huo wewe ugharamikie Kila kitu kwa makubaliano kabisa, kuanzia mavazi,elimu,chakula,matibabu etc... Mtoto kukaa sehemu anaponyanyaswa huathirika physiological.... Mnamletea shida tu za badae huyo mtoto



Hilo lishemeji ulilitoa wapi?
Kuna wanawake wasenge sana huyo hata akipigwa ni sawa.
 
Mwanamke mkatili wala sio wa kumchekea!
Unampigaje mtoto na tofali?
Si uuaji huo?

Wanawake baadhi yetu ni kama mapepo vile , mxiiiiiiiieee!
kutesa malaika wa watu hana mama pengine wala baba, af we unalala ndani sijui wanawazaga nn!
BEEN AN ORPHAN so najua hii hali inavyoweza kujeruhi kabisa nafsi kiukweli!
Inasikitisha sana kwakweli kwamba mtu amekosa namna ya kumuadhibu mtoto mpaka anamponda na kipande cha tofali as if anapiga mwizi...

Halafu sijui kwanin tu hizi domestic violence zinazopigiwa kelele ni zile za mwanaume kumpiga mwanamke tu.... ni nadra sana kusikia hao wanaharakati wenu wakipigia kelele unyanyasaji unaofanywa na wanawake kwa watoto.
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Piga chini hiyo takataka
 
Hiyo mbwa ungeibetua kwanza yaan wakati unampeleka mjomba hosptal naye ungempleka akatibiwe yaaan unipigie mjomba wangu kizembe zembe tunamalizana ...Baadhi ya wanawake wanaroho mbayaa sana hapa kitaa hapa kuna jamaaa aliachana na mkewe akachukua single maza moja hivi mshikaji nae ana mtoto mmoja na huyu mtoto ndo mama yake na huyu mwamba walipambana wakajenga mji.Single maza kaja na mwanae lakini cha ajabu alikua anamtesa mtoto wa mwanaume ile mbaya ila mwanae anaishi nae poa tu.Ajabu mshikaji kakolea hasikii haoni ndugu wameamua kumchukua mtoto yy kabaki analea ile malaya na mtoto ambaye sio dam yake ajabu sana hii.
Mpumbavu huyo asubiri kifo tu kutoka kwa huyo single mother wake
 
Yaani sisi baadhi ya wanawake ni maroho mbaya,eti katumwa kuwagombanisha mtoto mdogo namna hiyo tafuta la kumuweka huyo mtoto maana mke wako hamtaki afu kabla ya kumtafutia pa kukaa hvi
Kwani hapo nyumbani kwako mke ni wewe au yeye ni mke? Namaanisha kiongozi wa familia yako ni nani
 
Nimehisi kulia mwenyewe..Dah hapo pagumu lakini kama mwanaume hapo unatakiwa bandidu sana..

Lakin kubwa zaid haya mambo yanahitaji sana msaada wa Mungu,

Jitahid kama kichwa cha familia kujenga na kutengeza ukaribu wa familia. Jitahid kuwa mtu wa kuwah nyumban kabla watoto hawajalala. Weka utaratibu wa ibada za pamoja kila asubuh au jion au asubuh na jion kwa pamoja. Mungu anapokua katikat yenu husaidia kuzuia haya, hata kama watafanya kinafiki.

Kumbuka watoto wenzie (wako) kumuona mama yao anafanyabhaya na hata wao hawakuambii bas jua mkeo anawa harras mind zao na kuwafanya kuona kuwatesa wenzao ni jambo jema lisilo na shida.
Maadam hata wao hawajawah kukudokeza basi mkeo anaweza akaja kuwa tengeneza hata wao waje kuwa kinyume na wewe siku chache mbele.

TEngeneza ukaribu na waalimu wa mtoto shulen kila siku kuhakikisha mtoto amefika shule na amefika kwa wakat. Pata hata teacher mmoja wawil wafanye washkaji zako.

Tengeneza sana ukaribu na mpangaji wako huyo na mawasiliano ya kawaida ya mara kwa mara upate feedback za kila mara.

Introduce idea kwa mkeo ya kuwa na security cameras mahala pote pa waz kwa lengo la ulinzi na usalama wa nyumba yenu lakin lengo likiwa ni kuhakikisha uwaz ili mkeo aogope kufanya huo ukatili.

Jenga sana na rutubishabukaribu na wanao wa kuwazaa wafunze upendo, tenga muda wa kuwa nao wafanye kuwa na maadil na hofu ya Mungu ambayo mpaka sasa inaonekana hufany hicho kitu.
Wawe na uchungu wa kuoneana huruma. Ushagundua mkeo ni kiburi, usipokua makin atakutenganisha na wanao na hil utaliona baadae sana.

Mungu akusaidie sana ndugu yangu.
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Mwanamke akisema kama nimemchoka niseme arusi kwao,mda huo huo namwambia achague anachotaka kuondoka nacho.

Mpaka hapo wewe Jamaa jiandae kuteswa zaidi kama huyo mtoto umri ukisogea zaidi.

Huwezi kuishi na mtu wa hivyo ,Bora ukae mwenyewe na huyo mtoto
 
Juzi tu ulidai umemaliza chuo, hauna kazi maisha ni magumu sana.. Leo umeoa na una watoto wawili + mtoto ambaye ni ndugu wa mkeo Yuko form four + huyo mtoto wa dada ako anayepigwa na mkeo na ana miaka 8. Wote hao unawalea wewe... Au basi ngoja nikuache wakupe ushauri...
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Hao ndio wanawake,ngoja nitafute mtoto wa ndugu yangu nimuweke kwangu nijifunze kama huyu Yuko hivyo au laa.

Hapo Bado hujasema utasema tuu huko baadae 😂😂
 
Ongea na mkeo umuulize mtoto ana shida naye gani labda Kama ana muona jeuri na Kama kuna changamoto nyengine muitatue
Na umsisitize awe na upendo kwa huyo mtoto,inawezekana akabadilisha tabia yake
Ila ikishindikana chagua kumpa likizo mke au kumuhamisha mtoto
Hakuna Cha shida, wanawake 90% Huwa na wivu hawawezi kulea Watoto wa wengine hapo anapiga hesabunza mbali sana.
 
Hiyo mbwa ungeibetua kwanza yaan wakati unampeleka mjomba hosptal naye ungempleka akatibiwe yaaan unipigie mjomba wangu kizembe zembe tunamalizana ...Baadhi ya wanawake wanaroho mbayaa sana hapa kitaa hapa kuna jamaaa aliachana na mkewe akachukua single maza moja hivi mshikaji nae ana mtoto mmoja na huyu mtoto ndo mama yake na huyu mwamba walipambana wakajenga mji.Single maza kaja na mwanae lakini cha ajabu alikua anamtesa mtoto wa mwanaume ile mbaya ila mwanae anaishi nae poa tu.Ajabu mshikaji kakolea hasikii haoni ndugu wameamua kumchukua mtoto yy kabaki analea ile malaya na mtoto ambaye sio dam yake ajabu sana hii.
Akileta kesi majanga yanaanza.Sio sawa kuishi Kwa kukwamini mwanamke hata siku Moja,ndio maana tunaambiwa Ukiwa na 100,tumia 70 Kwa mambo ya nyumbani na 30 Iweke Kwa tahadhari Kuna siku itakusaidia.
 
Fukuza huyo mkeo kahaba asiyejali ndugu zako.. kabla ya kumfukuza mwingilie kinyume na maumbile akome kutesa watoto.
 
Kama ulikuwa huwajui wanawake linapofika swala la kutunza ndugu ndiyo hao! Lakini hata hivyo inategemeana na msimamo wako!
Labda tuanze na hapa! Ukisema ni mtoto wa marehemu dada yako,baba wa mtoto huyo ni nani? Yupo hai?
Kama yupo kwa nini kusiwepo utaratibu wa kumpeleka kwa baba yake?
 
Kabisa huyo ni anastahili kufunguliwa kesi kama child abuser

Tena hii itakuwa ndio njia rahisi ya kuachana nae, maana huyo mwanamke akitoka hapa atakuwa na hasira sana na yeye kitu kitakachopelekea kutoendelea na hiyo ndoa.
Hili hawezi Kwa sababu ni Mke wake sjo atakuwa na huruma nae na pia Watoto wake hawatamuelewa.

Ndio maana naionaga Bora hata kuo Mke mwingine
 
Kama mjuavyo sisi wanaume mara nyingi ni kuamka asubuhi na mapema na kuondoka, na kurudi ni usiku, muda ambao Mimi nashinda nyumbani ni jumamosi na jumapili.

Usiku wa kuamkia Jana alhamis mtoto wa marehemu dada yangu alianza kulia sana chumbani, akalia sana mpaka ikabidi niamke niende chumbani kwao Ili nione Kuna nini, nilivyo fika nilimkuta kakaa chini huku wenzie wamelala, nikamwuliza Kuna nini? Akanijibu mguu unamuuma sana, ikabidi niuangalie mguu, aisee nilijikuta nalia na Mimi, mguu ulikuwa umevimba sana, nikamwuliza ilikuwaje? Akaniambia mke wangu alimpiga na kipande Cha tofali.

Pale pale nikaenda kumwamusha mke wangu kumwuliza hiki alicho fanya, akawa amekataa na kuanza kumfokea mtoto eti anataka kutugombanisha, Nikasema sawa, ila kwanini mguu unafikia hatua hii ina maana alikuwa hamuoni? Akawa amezidisha hasira eti natafuta sababu kama nime mchoka niseme arudi kwao, nikaona maneno yasiwe mengi ikabidi nimpakie mtoto kwenye gari nikampeleka hospital usiku ule ule, iligundulika kuwa mfupa wa mbele wa mguu uliachia kidogo akafungwa P.O.P.

Nilivyo rudi nyumbani asubuhi Jana hiyo asubuhi ilibidi nishinde nyumbani, ikabidi nifanye upelelezi mana Kuna vitu niliiona haviko sawa, ndo mpangaji wangu mmoja akaniambia kama Kuna sehemu naweza kumpeleka huyu mtoto Bora nimpeleke vinginevyo itatokea hatari kubwa, mtoto anateswa mno na mara nyingi shuleni haendi, na siku alivyo mpiga na tofari alikuwa amemtuma vitafunwa asubuhi akachelewa kurudi, tofari alimpiga mbele ya wapangaji siku tatu nyuma, na siku zote hizo hakwenda shule.

Nawaza mtoto nimpeleke wapi, marehemu dada yangu baada ya kufariki 2022 tuligawana watoto sisi ndugu zake, hili tukio limefanya nimkumbuke marehemu dada yangu aliye fariki Kwa maumivu makubwa ya kansa akiwa mikononi mwangu, nawaza Bora kuachana na mke wangu kuliko kuacha mtoto wa dada ateseke ntakuwa nimemkosea dada.

Mke wangu alimchukua mtoto wa kaka yake anaishi hapa na anaelekea kumaliza form 4 Kwa Gharama zangu, ila mtoto wa upande wangu kashindwa kumlea Kwa miaka miwili tu,hii ni sawa kweli?

Halafu baada ya mtoto kuniambia kuwa yeye ndo alimpiga, muda wote saivi ni kumuangalia Kwa jicho Kali sana na kumwambia eti ametumwa aje kutugombanisha, mtoto wa miaka 8 anawezaje kutugombanisha?

Sikuwahi kumfikiria mke wangu kuwa anaweza fanya hiki alicho fanya kutokana na mambo ninayo wafanyia ndugu zake, na ndiyo maana huyu mtoto nilimleta hapa Kwa kuamini atamsimamia kama mwanae na kama anavyo wasimamia watoto wetu wawili.

Mpaka naogopa kwenda kazini na huyu mtoto kumuacha hapa, nahisi atampiga Yani
Hapo hakuna mwanamke brother huyu ni chuma ulete kwako fanya maamzi huo ni ugonjwa unakua
 
Kama ukwasi upo...mpeleke Boarding.Pia Fungal Kamera ndani...upate ushahidi ukamfunge jela hata miaka 2 akitoka atakuwa na nidham
 
Back
Top Bottom