Mke wangu ananidharau nifanyeje?

Mke wangu ananidharau nifanyeje?

Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.

Nawasilisha.

Pia soma: Asanteni Jf kwa ushauri wenu na hiki ndicho nilichokiamua
Ni kufua tu au Kuna lingine??? Je mwanzoni alikuwa hivyo?? Za kwake je anafua?
 
Ukimwambia afuee halafu akakukatalia huwa unachukua hatua gani??
 
Ni kufua tu au Kuna lingine??? Je mwanzoni alikuwa hivyo?? Za kwake je anafua?
Sio nguo tu kuna mengine na kuhusu kufua nguo zake yeye anafua ila zangu hafui na anatamka mbele ya watoto kuwa sikufulii
 
Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.

Nawasilisha.

Pia soma: Asanteni Jf kwa ushauri wenu na hiki ndicho nilichokiamua
Makosa uliyafanya tokea mwanzoni unaanza kuishi nae,miaka 8 unakuja kuumia Leo,hapo kumrudisha kwenye mkondo unaotaka itakugharimu sna ,na nikazi sna hata kama inawezekana
 
Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.

Nawasilisha.

Pia soma: Asanteni Jf kwa ushauri wenu na hiki ndicho nilichokiamua
Kuoa mwanamke mwengine nikujitafutia shida na kujiongezea majukumu. Jaribu kukaa na mke wako chini mwambie hupendezwi nahiyo tabia ikkshindikana mpeleke kwa wazee
 
UZI ULITAKIWA UISHIE HAPO KWENYE UMEOA (MRANGI)

UJue vijana tunakosea kujua tabia za makabila,
Huwezi kuishi na mke wa kirangi kama unavyoishi na mke mnyamwezi!

Huwezi ishi na mke wa kichaga kama unavyoishi na mke mzaramo!

Kila kabila lina mbinu zake, Tatizo kubwa lipo kwa waoaji wanaume sisi ndo hatutambui!
Kabla hujaoa kama huwezi kucheza na biti za hilo kabila kwanini unaoa?

Walangi ni wababe na ni watamu na ubabe wao , wachaga ni jeuri lakini ujeuli wao unafaida, wazaramo wana mauno wanafaida na mauno yao!

Ukitaka sifa za huku ulete kule utachemka tu!

Oweni wake wa matamanio yenu bhana mnatusumbua kutoa ushauri

Ajabu huyo unaesema hapeleki maji akiolewa na mwingine maji anatenga vizuri!

Siku moja jamaa alimuacha mwanamke kisa hakati mauno, lakini alikoenda kuolewa jamaa yake alikatiwa mauno balaa!

Hivyo tatizo siyo mwanamke ni namna ya kumuanzisha, unavyoanza naye ndivyo mtakavyomaliza
nimetamani ufungue uzi kwa comment yako
 
Wanaume wanawahi kutangulia kufa mapema kwa sababu ya kuzibeba tabia mbaya za wanawake zao waliokosa malezi bora.
 
Yaani kutokufuliwa nguo na kuwekewa maji bafuni ndo uondoke uhame mji wako uache na familia yako?
Labda kuna sababu nyingine hujaziweka wazi.
Wanaume acheni uvivu.
 
UZI ULITAKIWA UISHIE HAPO KWENYE UMEOA (MRANGI)

UJue vijana tunakosea kujua tabia za makabila,
Huwezi kuishi na mke wa kirangi kama unavyoishi na mke mnyamwezi!

Huwezi ishi na mke wa kichaga kama unavyoishi na mke mzaramo!

Kila kabila lina mbinu zake, Tatizo kubwa lipo kwa waoaji wanaume sisi ndo hatutambui!
Kabla hujaoa kama huwezi kucheza na biti za hilo kabila kwanini unaoa?

Walangi ni wababe na ni watamu na ubabe wao , wachaga ni jeuri lakini ujeuli wao unafaida, wazaramo wana mauno wanafaida na mauno yao!

Ukitaka sifa za huku ulete kule utachemka tu!

Oweni wake wa matamanio yenu bhana mnatusumbua kutoa ushauri

Ajabu huyo unaesema hapeleki maji akiolewa na mwingine maji anatenga vizuri!

Siku moja jamaa alimuacha mwanamke kisa hakati mauno, lakini alikoenda kuolewa jamaa yake alikatiwa mauno balaa!

Hivyo tatizo siyo mwanamke ni namna ya kumuanzisha, unavyoanza naye ndivyo mtakavyomaliza
Comment bora ya mwaka hii hongera mkuu dmkali
 
Habari zenu humu kwenye Jukwaa hili pendwa, mimi nimeoa mke ( Mrangi) na tumefanikiwa kupata watoto wa 3 wote wa kike sasa mke huyu mwaka wa 8 huu hajawahi kuniwekea maji bafuni wala kunufulia nguo zangu sasa watoto wangu hatimae wamekuwa na wameanza kujitambua, kinachoniuma ni kuona watoto wakishuhudia mimi kama baba wa familia nikiwa nafua nguo zangu mwenyewe mke nikimwambia anifulie wakati mwingine anajibu kabisa kuwa sifui hali hii inanishangaza na kunisikitisha sasa naombeni ushauri nioe mwingine au nifanyeje upendo kwake kiukweli haupo kutokana na anavyonidharau naomba ushauri wenu.

Nawasilisha.

Pia soma: Asanteni Jf kwa ushauri wenu na hiki ndicho nilichokiamua
Mwanamke jeuri mtafutie mwenzie!
 
Yaani kutokufuliwa nguo na kuwekewa maji bafuni ndo uondoke uhame mji wako uache na familia yako?
Labda kuna sababu nyingine hujaziweka wazi.
hiyo ni Moja, huenda kuna gumu zaidi!!!
 
Binafsi Mimi sipendagi dharau. Huwa Niko straight sana. Maisha magumu sana. Sasa kuishi kwa kumlamba mwanamke miguu hapana. Unajua wanaume tunaumia sana lakini bado Huwa tunajipa moyo eti ndio uanaume.. sio kweli, tunakuwa mishumaa tu!
Lazima ifike wakati atambue majukumu yake. Huyo umri ukiyoyoma ndio utaipata fresh.

Kuna mzee hapa alikuwa manager wa bank. Baada ya kupata matatizo ya kisukari akawa kipofu. Alinyanyasika ikafikia hatua watoto wa jirani ndiyo wanamsaidia. Akawa anasema natamani nyie ndiyo mngekuwa wanangu. Mke full manyanyaso. Watoto hawamjali. Anawaita wampeleke chooni hawaji mpaka anajisaifia papo hapo. Baada ya kufariki waliteseka kama mbwa. Na nyumba yenyewe Hadi ikaungua moto. Full laana.
Alijitoa kwa jasho awatunze mke na watoto malipo yakawa ndiyo hayo Tena.

Sometimes mazingira yanatufanya kuwa makauzu.
Alioa mwanamke mwenye laana,hata kuna familia watoto wote wanateseka na maisha wengine ni walevi mbwa, wengine matapeli wamemuibia hadi mama yao pesa za mafao,plus malaana kibao,mama yao alimnyanyasa Sana baba yake hata baba yao alipokufa awajarudi tena walizika tu na kuondoka. Kuna familia zinalaani kabla ya kuoa muhimu kuchunguza. Zamani watu kuoa wake wengi hawakuwa wajinga ilikuwa huwezi kosa familia zote wakawa na tabia au maradhi ya kufanana.
 
Wanaume inatakiwa mtambue KILA kabila linatabia zake na namna ya kuishi nao. Kumbuka maisha ya wengi yapo connected na mizimu na mizimu ndio useti mfanano wa tabia au hulka fulani labda tu mtu husika aamue kuishi nje ya tabia hizo kupitia mifumo mingine iliyomshape mfano elimu na dini. Huwezi ishi na mwanamke wa kizaramo kwa tabia za kikuria, huwezi ishi na mke wa kikuria kwa tabia za kizaramo ni lazima atakushika makalio, kama huna tabia za kijeshi au kibabe ngumi mkononi unapita kushoto oa tanga, pwani, nk. KILA kabila lina namna yake ya kuishi nao. Huwezi weka injini ya meli kwenye Fuso.
 
Back
Top Bottom