Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

Mke wangu ananiita honey kwa sauti mbele ya ndugu zangu na Mama mzazi

Ndugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.

Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kuwa la utani na upendo na c mind sana na mimi humiita my......
Mimi mume wangu ananiitaga baby mbele ya yeyote yule ,awe ndugu yake au yangu
 
Hata mimi hizo mambo sifagilii kabisa. We uliwahi mskia mama yako anamuita ivo baba yako hadharani? Au ndio hawako civilized.

Sasa fanya hivi mzee rekebisha ratiba ukienda na mkeo kijijini kuwa bize na mambo ya msingi kama, kuchimba kaburi, tembelea majirani mnaofahamiana, kukaa na wazee, kukaaa na classmates wako, kula mvinyo na wajuba ivyo yani, kurudi village kwangu huwa ni adventure.

Sasa wewe unakaa sijui jikoni mara sitting room siku nzima mke kila akipita anakuona, hapo utazingua.

Hapo mkeo kuna strategy anaipanga na inatuma message flani kwa jamii, na unajua watu wa bush uwezo wao wa kufikiri uko vipi kuhusiana na hayo maswala.

When you are in Rome, you do as the Romans do.
Kweli mjomba hayo makorokoro mi mwenyewe siyakubali wala nini,niite nyumbani tukiwa wawili inatosha as long as jamii na ndugu wanajua sisi ni mke na mume ,naonaga hakunaga haja ya huo upuuzi mbele ya watu. Ni muhimu kujua mazingira na kuACT accordingly ,sina hakika kama wanaume wengi HUWA wanafurahia huo upuuzi,sina hakika!!
 
Mzee hio honey unayoitwa ndio imefanya mfike miaka 11 ya hio ndoa...

Achana vitu vidogo hvo(japo vinakera,, vipo ki show off sana) .....focus kutafuta mipunga... Otherwise atabadili jina sio mda...

Afu umeoa ujue... Kaa kwa kutulia....
 
Unajibebishaje mpaka msibani banaaa kama sio uswahili huo!!!!
Muda wote badala kukaa na wanawake wenzio muomboleze wewe unajibanza tu kwa baby wako
Eti "baby umepata nyama au nikuongeze"
Mazafanta wanaume haya mambwembwe yakizidi hua tunaona kero, hebu kueni na staha acheni ulimbukeni wa kugelezea mapenzi.
Huna wa kukuita honey wee, tafuta bhana
Acha makasiriko lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani mapezi ni kuonyesha watu, bora mahaba hufanyie nyumbani kwenu.
Eeeeh sasa ila mapenzi ni kuogopa watu? Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna shangazi moja anae mfuata Baba angu kaniita na kuniuliza mwanangu ulibadili jina siku zote tunakujua unaitwa fulani au baba fulani mbona nasikia jina jipya? Sikumpa jibu la moja kwa moja......
Naomba nicheke kwanza, halafu nitaendelea ku comment baadae🤣 🤣🤣🤣
 
Sio kutokua romantic nataka kumwambia mke wangu aache kuniita hivyo mbele za watu hususani ndugu zangu na staki kumkatisha tamaa kwasababu ananiita kwa hisia kali (out of emotion) ila hajui kujicontrol kujua wapi pakuniitia hayo majina yake, naomba ushauri nimuanze je huyu mke wangu bila kumuathiri kihisia na kisaikolojia
Yaani jina nililozoea kumuita mume wangu niwe na mipaka kua nilitumie wakati fulani tu. Itakua ngumu sana aisee
 
Ndugu zanguni wa JF baadhi mtaniwia radhi wale ambao hawa tapendezwa na hulka yangu hi.

Nimeka na mke wangu sasa takribani miaka 11 baada ya ndoa ya kwanza kushindikana, huyu mke wangu nyumbani huniita hny jina ambalo na lichukulia kuwa la utani na upendo na c mind sana na mimi humiita my......

Sasa majuzi tulienda nyumbani kijijini kuhani pia na tulikuwa na kikao cha kujuana kama wana ukoo, ni mara yake ya kwanza kuenda nae kijijini kwetu, ila jambo lilonikera kwa mke wangu ni kunifuata fuata kila napoenda kukaa na ndugu kupiga stori na asiponiona kuniita kwa sauti honieeee ndgu wote walikua kimya, kumsikiliza yeye hana muda wa kushangaaa au kushituka kabisa.

Kuna shangazi moja anae mfuata Baba angu kaniita na kuniuliza mwanangu ulibadili jina siku zote tunakujua unaitwa fulani au baba fulani mbona nasikia jina jipya? Sikumpa jibu la moja kwa moja......

Sio kutokua romantic nataka kumwambia mke wangu aache kuniita hivyo mbele za watu hususani ndugu zangu na staki kumkatisha tamaa kwasababu ananiita kwa hisia kali (out of emotion) ila hajui kujicontrol kujua wapi pakuniitia hayo majina yake, naomba ushauri nimuanze je huyu mke wangu bila kumuathiri kihisia na kisaikolojia.
Daa watu hatuna shukrani.Ndiyo yaleyale yule Jf member aliyelalamika kwamba mke wake amemseve "Mbwa"
 
Kuna mwenzio kwenye simu kaseviwa MBWA wew una itwa Asali wa moyo una maindi ngoja aanze kukuita kikaragosi ndo utafurahi na nafsi yako
 
Na hapo ndio mtihani. Yaani niwe na kibarua cha kutafakari kwanza niko wapi ili nijue mume wangu nimuiteje?!!
Yeye sio mtu mzima lazima ajue mazingira tuliopo, niko hospitalia tunauguza baba mzazi unaanza kuniita kwa saut my sweetheart [emoji813] wodi yote inasikia loh
 
Back
Top Bottom